Edson Mabele wa kipindi cha Wallpaper - Star Tv

Edson Mabele wa kipindi cha Wallpaper - Star Tv

ni mshambaa hana swagga halafu ye anajiona born town mbayay

hahahhah msaide ushauri sasa. mi naanza kwa ushauri no:1 atafute mtu au mshauri wa mavazi au waa kumvalisha maana yale mavazi ni kama anakua katoka kufyatua matofali nikiangaliaga zile raba na kile kijinsi chake huwa nabadilisha channel faster, we H.E ongezea na wewe
 
Kwa wale mnaofatilia show ya wallpaper startv mtakua mnamfaham huyu jamaa..mie binafsi sijamkubali huyu mshkaji naona hana swagga na maujanja ya kuwepo pale...pia hata mwonekano wa kistaa hana kabisa bora akatangaze kipindi cha michezo tu...ni maoni yangu wakuu

Yaani usingeitoa wewe leo ningeiandika mimi kesho, kwakweli huyu kaka anahitaji msaada, na kile kislogani chake cha cherehani tararara..tararara nachekaga mpaka nakoma nabadili channel faster kama hakuna cha kuangalia bola niangalie katuni
 
Yan hta m nlikuwa nataman niseme hli swala, yan kwanza production2 ni balaa, mirang ya hovyohovyo mpaka macho yanauma, yan mi huwa naangalia tamthilia kwa shda2, hirachy ya hii kampun ya sahara media cdhan km wapo sawa kitaaluma, tatzo kupeana kwing, ptuuuuu....!
 
Asante kwa kuwakilisha hilo kipindi kizuri ila jamaa swagger zero
 
Zaidi ya BBC Swahili na taarifa ya habari kwa mbaaaali huwa siangalii Star Tv...
 
Watu wa humu mnajua kuchamba jamani, yani kaka wa watu akipita humu nahisi anaweza akaghairi kutangaza siku hiyo hahaha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hahahhah msaide ushauri sasa. mi naanza kwa ushauri no:1 atafute mtu au mshauri wa mavazi au waa kumvalisha maana yale mavazi ni kama anakua katoka kufyatua matofali nikiangaliaga zile raba na kile kijinsi chake huwa nabadilisha channel faster, we H.E ongezea na wewe

Kutokana na majukumu na mbio za maisha. nakosa muda wa kufatilia TV. Ila kuna siku niliona hiyo kipindi mwanzo nilizani ni "futuhi" ile comedy ya STAR TV, Seriously
 
yaani sana tu mkuu...

Mkuu kwanza skuwahi kufaham ratiba ya star tv, kuna sku nime_tune mida ya saa11 jioni ndo namkuta huyo jamaa yako, aseee nlichoka kabisa, jamaa hana Swaga yan ule mguso wa kuendelea kumtazama unapotea kabisa.

Jamaa sidhan kama yuko na washauri wazuri, hizo nguo anazovaa yan haziko systematic kabisa, kama ni tamthini nampa 46%, ajitahidi kubadilika aseee.
 
EATV sijui wana uchawi gani wale.....Majuzi nilikuwa naangalia habari kwenye hotmix ni noumaa ule mpangilio na usomaji hata habari za ITV cha mtoto.........Watangazaji wao sijui wanawatoa wapi......Production zao kali sana......hata kipindi cha skonga tulichojua kitakufa sasa hivi kinaendeshwa na wanafunzi wenyewe na wanaandaliwa vizuri hadi unashangaa........Kibongo bongo EATV ni next level kwa kila kitu.
Muangalie Musa Hussein wa sasa kwenye mwanadsm kule Clouds tv kama unaweza kuona kama yuko kwenye hata robo ya ubora alivyokuwa EATV!
 
EATV sijui wana uchawi gani wale.....Majuzi nilikuwa naangalia habari kwenye hotmix ni noumaa ule mpangilio na usomaji hata habari za ITV cha mtoto.........Watangazaji wao sijui wanawatoa wapi......Production zao kali sana......hata kipindi cha skonga tulichojua kitakufa sasa hivi kinaendeshwa na wanafunzi wenyewe na wanaandaliwa vizuri hadi unashangaa........Kibongo bongo EATV ni next level kwa kila kitu.
Muangalie Musa Hussein wa sasa kwenye mwanadsm kule Clouds tv kama unaweza kuona kama yuko kwenye hata robo ya ubora alivyokuwa EATV!

Mkuu kwan Alan hatangazi tena skonga? Huwa siangalii mara kwa mara.
 
EATV sijui wana uchawi gani wale.....Majuzi nilikuwa naangalia habari kwenye hotmix ni noumaa ule mpangilio na usomaji hata habari za ITV cha mtoto.........Watangazaji wao sijui wanawatoa wapi......Production zao kali sana......hata kipindi cha skonga tulichojua kitakufa sasa hivi kinaendeshwa na wanafunzi wenyewe na wanaandaliwa vizuri hadi unashangaa........Kibongo bongo EATV ni next level kwa kila kitu.
Muangalie Musa Hussein wa sasa kwenye mwanadsm kule Clouds tv kama unaweza kuona kama yuko kwenye hata robo ya ubora alivyokuwa EATV!

Kile kipindi cha skonga mkuu mimi nakipenda japo mtu mzima haswa sehemu Q&A pale nachekaga sana pale wanafunzi wanavyombwelambwela.
 
Mnae mdiskasi huyo hapo sasa
 

Attachments

  • 1405236451634.jpg
    1405236451634.jpg
    31.4 KB · Views: 372
Marahaba! Unajua Star TV tanzania wako nyuma sana kuanzia mpangilio wa vipindi hadi aina ya watangazaji wanao hitajika kwenye vipindi vya burudani.

Mimi Huyo jamaa sijawai kumuona wala kuona hicho kipindi Lakini sina doubt na yanayo semwa maana Star tv wanajulikana wako nyuma sana.

Tatizo wamejaza wazee kila kipindi wakati kuna vipindi vingine vina hitaji vijana wabichi.

Kuna tangazo lao mmoja ni la mashindano ya kudance sasa linatangazwa kama Habari za kitaifa vile kumbe burudani na lina tangazwa na watu walio zoea kutangaza habari za kisiasa halafu wazee daaa huwa nikiliona nacheka sana daaaaa .......

Star tv wana tatizo kwenye aina ya watu wa kuajiri, Wao wana fikiri kila mtangazaji ana faa kwenye kila idara na cha kushangaza muda wote huo hawajifunzI kwa wenzao EATV.

Ujawahi kumuona ila maelezo kibao,nadhani ungemuona server ya jf ingejaa kabisa...kweli nshomile kwa ujuaji siwawezi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom