Edson Mabele wa kipindi cha Wallpaper - Star Tv

Edson Mabele wa kipindi cha Wallpaper - Star Tv

Malalamiko mengine tuwaachie wanawake(madem) tu mkuu !

Sasa we una mwonekano wa kistaa kwani !
Labda tuanzie hapo !

Ww nae kma mungu hakukupa sura nzuri tulia kwenye kuuza mkaa au kukodisha CD sio kuwa Video Presenter mkuuu


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
1381481_538553942892301_1412805870_n.jpg
 
Malalamiko mengine tuwaachie wanawake(madem) tu mkuu !

Sasa we una mwonekano wa kistaa kwani !
Labda tuanzie hapo !

ndio maana wabongo tunaharibu mambo mengi coz hatujielewi tunafanya vitu kama fashion tuu....nna wasi wasi hata na wewe waonekana mchimba chumvi tuu na utakua unafanya kitu usichoendana nacho!
 
ndio maana wabongo tunaharibu mambo mengi coz hatujielewi tunafanya vitu kama fashion tuu....nna wasi wasi hata na wewe waonekana mchimba chumvi tuu na utakua unafanya kitu usichoendana nacho!


You've no any Idea concerning me man !
Go to sleep n have a nice day !
 
jamaa sidhani kama yuko sawa upstairs
 
Huyu mtuu hafai kwenye tv kiukweli.kwa sisi wenye cv za media huyu hatoshi my be awe producer and sio presenter wa kipindi maana sifa za kila kipindi kuna hitaji nature ya watu flani.mfano umchukue bidazani atangaze michezo so my be huyu jamaa achagua kitu kisicho switch na attitude yake.
But media tanzania inachalange kubwa kwenye.tv
 
sijabahatika kumuona aisee, anaonekana mida gani?
 
Huyu mtuu hafai kwenye tv kiukweli.kwa sisi wenye cv za media huyu hatoshi my be awe producer and sio presenter wa kipindi maana sifa za kila kipindi kuna hitaji nature ya watu flani.mfano umchukue bidazani atangaze michezo so my be huyu jamaa achagua kitu kisicho switch na attitude yake.
But media tanzania inachalange kubwa kwenye.tv

Una Cv gani kidampa wewe unaandika ushuzi..tasnia ya habari na mawasiliano ni adhim, kwasasa Azam Tv haina mpinzani, hizo takataka zenu bakini nazo, umejiita una Cv ya media, kwanini Channel Ten haikui miaka yote wakati Azam ina mwaka tu na tuzo lukuki? Ukijibu hili nakutumia tgo pesa!
 
Una Cv gani kidampa wewe unaandika ushuzi..tasnia ya habari na mawasiliano ni adhim, kwasasa Azam Tv haina mpinzani, hizo takataka zenu bakini nazo, umejiita una Cv ya media, kwanini Channel Ten haikui miaka yote wakati Azam ina mwaka tu na tuzo lukuki? Ukijibu hili nakutumia tgo pesa!

swali zuri hilo kula LIKE!
 
Kwa wale mnaofatilia show ya wallpaper startv mtakua mnamfaham huyu jamaa..mie binafsi sijamkubali huyu mshkaji naona hana swagga na maujanja ya kuwepo pale...pia hata mwonekano wa kistaa hana kabisa bora akatangaze kipindi cha michezo tu...ni maoni yangu wakuu

Weka picha.
 
Kama alivyosema lawyer

kaka Ruttashobolwa uko sawa kabisa maana kuna kipindi sauda mwilima alivyoolewa then akapata matatizo na ujauzito wake kuna huyo. mdada alianza kutazamani jaman unaweza kulia na kuona taaluma imeingiliwa sasa.

ni muda wawe makin na uchaguzi wa watangazaji kwakweli.

Lkn hata sauda alivyoanza so mnakumbuka?
Alikuwa bonge la mshamba
 
Last edited by a moderator:
Vipindi vyao vimepooza balaa kiasi cha kwamba nilikuwa natamani waanzishe channel nyingine inayoenda na wakati na wawaajiri wanaoenda na wakati na hii chaneli ya sasa iendelee kama kawaida na vipindi vyao vya kilimo,ufugaji na mambo ya vijijini.Star tv ilikuwa inawafikia wengi hata kabla ya digital ni kituo kikubwa watambue hilo.

Sshivi salim kikeke,BBC Swahili ndo inayowaweka mjini!!!
 
Una Cv gani kidampa wewe unaandika ushuzi..tasnia ya habari na mawasiliano ni adhim, kwasasa Azam Tv haina mpinzani, hizo takataka zenu bakini nazo, umejiita una Cv ya media, kwanini Channel Ten haikui miaka yote wakati Azam ina mwaka tu na tuzo lukuki? Ukijibu hili nakutumia tgo pesa!


Channel Ten ni "Pandora box" mkuu!! Ni hatari tupu, in short ni majanga basi tu tumshukuru Mungu watu wanagawana umaskini na wameridhika, otherwise...!!!
 
acha wivu wa kisenge ww wakikupa utaweza watazamaji wanafwata ubora wa kipindi co swaga kwanz kipnd kina hit ile mbaya mpaka nimekikubali
 
Back
Top Bottom