Edson Mabele wa kipindi cha Wallpaper - Star Tv

Edson Mabele wa kipindi cha Wallpaper - Star Tv

watu mna roho mbaaaaya. mtadute private mwambie afanyeje ili awezekutangaza vzr co kumponda hiv.
note; wewe ukipewa hicho kpnd utaweza?
 
Yaani usingeitoa wewe leo ningeiandika mimi kesho, kwakweli huyu kaka anahitaji msaada, na kile kislogani chake cha cherehani tararara..tararara nachekaga mpaka nakoma nabadili channel faster kama hakuna cha kuangalia bola niangalie katuni

hahahaha eti tararara....
 
leo ndio kwa mara ya kwanza namuona, mmh sio mshamba kwa kiasi mnavyomuelezea hapa, yes he's not good enough though he's not that bad
 
Jaman huyo dogo anaboa!
Hicho kipindi kikifika tu huwa nahamia channel za katuni much better kuliko hicho kipindi!
 
Yule jamaa mimi niliwah kumwona mapema sikumkubali nkakaa kimya kwa kujifariji labda nimetokea tu kutomkubali, sasa kama sipo peke yangu ninayeona anapwaya kuhost kile kipindi basi hyo ni shida kubwa.
 
Nimewahi kumuona mara moja kwny kipindi chake, dogo kweli msukuma yule aisee! Wangemleta akae Dar hata mwaka1 achote maujanja kwa watoto wa mjini!
 
Mnae mdiskasi huyo hapo sasa

Tobaa ndo huyu... Sijawahi kuangalia hicho kipindi ila kwa maelezo yaliyotolewa nikilinganisha na hii picha napata picha halisi ya hicho kipindi... Hivi kinahusiana na nini haswa
 
Ni mshamba pia na yule mdada wa star tv hana mvuto kabsa
 
Kwa wale mnaofatilia show ya wallpaper startv mtakua mnamfaham huyu jamaa..mie binafsi sijamkubali huyu mshkaji naona hana swagga na maujanja ya kuwepo pale...pia hata mwonekano wa kistaa hana kabisa bora akatangaze kipindi cha michezo tu...ni maoni yangu wakuu
Me nafikir halitokuwa jambo Jema kuyapa nafasi majungu yako:akati still bado unaweza kuyafikisha maon yako star tvlabda wanaweza kukufikiria..try hard
 
11049533_827724270641932_8840507370497434160_n.jpg
 
Hao wanao zungumza ni wapenzi wa Star TV na wanaiangalia ndio maana wanaizungumzia!
Nafikiri Star TV wakiona Haya wanafurahi maana wanajua kuMbe Kuna watu wana wafatilia na wana penda wabadilike!

Staa wamejaa wakina mwangosha ginehee..ulimi mzitooo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom