Tetesi: Edward Lowasa ahaha kusaka bilioni 10 alizokopa kwa Rostam kugharamia Uchaguzi Mkuu wa 2015

Tetesi: Edward Lowasa ahaha kusaka bilioni 10 alizokopa kwa Rostam kugharamia Uchaguzi Mkuu wa 2015

Status
Not open for further replies.
Nina maswali mawili madogo

1.... ni utawala wa chama gani ambao ulikuwa unabeba hizo Biashara za Rostam?
2..... Kama alimkopesha kwa makubaliano yao shida iko wapi? mbona hata serikali inakopa?
Kula tano[emoji109]
Yani anaongelea lowasa kukopa wakati serikali pia ina madeni yasiyowezekana kuyalipa kwa wakati na bado inataka kukopa tena hahahahhahh kweli nyani aoni kundule.
 
Tehee aliyekutuma mwambie kakosea kukudanganya toka lini mgodi wenye dhahabu unaishiwa mali kirahisi..
 
Kula tano[emoji109]
Yani anaongelea lowasa kukopa wakati serikali pia ina madeni yasiyowezekana kuyalipa kwa wakati na bado inataka kukopa tena hahahahhahh kweli nyani aoni kundule.
Ni akili ya kijinga pekee yake inayoweza kufananisha serekali na lowasa kwa kitu chochote kile
 
Ni akili ya kijinga pekee yake inayoweza kufananisha serekali na lowasa kwa kitu chochote kile
Pia ni akili ya kipuuzi na ni ujinga
Kushindwa kutoa mfano kwa kufananisha na kitu Fulani.
 
hivi kuna watu bado huwa mnamsikiliza huyu mjinga?
 
Billion 10 kwa Lowerser????

Hahahaaaa Lizaboni, You must be silly.
 
Jk aliwah sema watanzania wana viwanda vya uongo......yaan unaweza kuta mtu anajidai kukufaham zaid hata ya mkeo
 
Ww hujui propaganda
Tafuta mume akuoe tatizo ni kuvizia vi bwana vya watu huko ccm na io sura mbaya ndo kabisaa utaishia kuwa kuu kuu
Humjui lowasa ww
Muulize mwinyi mkapa kikwete watakwambia kama lowasa ni mtu wa kukopa vihela vya chai ivo
Mwaka 1972 account ya lowasa ilikuwa na shilingi laki 3 mshahara wa raisi nyerere ulikiwa ni 4000 kwa mwezi unataka kutuambia nn ww
Humjui lowasa wala rostam kaa kimya
Hahaha mwaka 1972 lowassa alikuwa wapi? Wakati huo lowassa hat chuo hajaenda na alikuwa na miaka 19 tu na kwa kigezo icho hata form 4 hajamaliza pesa alitoa wapi. Wkt mwingine muwe mnapima uongo
 
Kumbe athari za kukosa kazi ni mbaya sana ingawa sijawai mpenda Lowassa lakini
Kuna tatizo kwanini kila siku tumseme yeye tu !!! Wengine tuwakingie kifua?
 
Hatari sana yaani kubwa la mafisadi hana bilion 10 wala wa kumpa ama siyo fisadi kama iliyotangazwa au story haina ukweli.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom