Duni hana lolote...alijawa tamaa ya madaraka.Maalim kichwa ngumu, Juma duni MTU makini sana lkn nae kaingizwa cha kike
Fisadi amewarudia mafisadi wenzake vipi mna hoja tena?complected, duh.
Lipumba atarudi Ukawa? Slaa atarudi Chadema?Mdanganyika endelea kuwaamini wanaokulisha matango poli. Mwanasiasa anayesimamia upinzani wa kweli ni prof peke yake hajawahi kuwa mnafiki. Propaganda zenu ndio zimepunguza nguvu ya CUF ASILIA lakini ukweli ndio utakaoshinda na ndio kinachotokea. Sasa hivi utasikia mbowe na maalim wanaunga juhudi.......
Malaya ni ww lakin lowasa kutusaidia kuthibitisha ukweli wa prof lipumba na dk slaa .
Lipumba ndio kazuia cuf kuuzwa
Slaa alirudi ccm kwa kwa sababu lowasa kwenda chadema,sasa mamvi karudi ccm tuone kama slaa atakimbia(tunajua hatasema kitu sababu kawekewa keki mdomoni)Dr Slaa si mwanasiasa tena hivyo hayana impact kwake. Alafu kumbe mlikuwa mnajua hizi blunders lakini mlivyokuwa mnamtetea sasa! Tukiwaita wanafiki tunakosea mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachofurahisha CCM na CHADEMA walimchafua LOWASA kwa kumuita fisadi na wote kwa pamoja wakamsafisha. Safi kabisa hiyo ndiyo akili kubwa.Hivi ni kwa vipi yule aliyeitwa fisadi no 1 nchini siku ya kurejea kwake CCM apokelewe kwa nderemo kubwa na Mheshimiwa Rais na Waziri Mkuu wake??
Mwaka 2015 na 2016 ulikuwa na msimamo gani juu ya Lowassa?Lowassa ndiye mwanasiasa wa hovyo kuliko wanasiasa wote walowahi kutokea nchi hii.... Afadhali angestaafu siasa kulinda heshima yake...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri kauli ya chadema pia, wimbo wa ufisadi utarejea?
Ha ha ha sasa futeni matusi yote mliyotukana watu kwa sababu ya huyu "dingi"Mtu mzima unapokuwa muongo,mnafiki,mbea noma sana!halafu unataka uheshimiwe. Kumbe huyu dingi alivyokuwa anatukanwa ni sawa tu
Lowasa huwa hana siasa za hivyo(labda jiwe limpe sharti hilo kwa sasa)Kama hilo uliliona mkuu nakupa big up. Lakini bado hatuko salama tumeonesha Chadema tunakumbatia ufisadi ukiwa tu na maslahi.
Damage 2020 huyu jamaa ataongea sana atataja hata kwa exagration kuwa ndani ya CDM kuna uozo ikiwemo hati miliki ya vyeo kama mwenyekiti, Ukanda , Ruzuku nk
Kwa ma Ccm mapokezi yao ni yale ya "The spy is Back" atakaa tu akila popcorn movie ikiendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Msije tu mkamtukana jamaa kama mnavyomtukana msafishiwa lami hivi leoTukutane congress huko Marekani April
Ninachokuuliza wewe kada wa Lumumba, je ufisadi wake umetoweka ghafla, hadi siku ya kurejea kwake CCM apokelewe na viongozi wakubwa kabisa ndani ya nchi, Rais Magufuli na Waziri Mkuu wake Kassim Majaliwa??Mtajiuliza maswali mengi majibu wala hamtoyapata aliingia usiku chadema watu wasimuone ametoka mchana kweupe watu wanamuona!
Mbona wakati mnaambiwa mambo haya mlikuwa wakali, kejeli na maneno kibao???Yule mzee ni afadhali tu acheni aende bhna mana mtu mwenyew ata kutembea hawezi ^hakua na msaada wowote kwetu bora katupunguzia mzigo [emoji58]
huyo huyo
Hawala yake Hamis Mgeja, sijui naye atamfuata huko lini!?Upinzani tanzania sio lelemama, mwache arudi ccm
Niliisubiri hii Siku kwa hamu kuwaona kina maalim seifu na mbowe wakiumbuka. Lipumba roho ilimsuta aliona mbali. Hence proved prof ni prof tu
Mambo ya siasa ni mtu mwenyewe na maslahi yake. Hizo safari za Ikulu na kusifiana kote mulitegemea nini. Ukizingatia vyombo vya Dola vikinyemelea maslahi yao.Kwa walivyo wanafiki hutawaona hapa kujibu hoja yako
Lakini CHADEMA ndiyo walianza kumuita Lowasa fisadi, baadae akahamia kwao na akapokelewa kwa heshima kubwa kama mkombozi, gia zikabadilishwa angani,Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Magufuli na Polepole.
Hawa watu wawili walitushambulia sana eti mafisadi yamewakimbia na yamehamia Chadema. Sisi kweli kama Chadema tulibanwa sana kuhusu Lowassa ila tulijikongoja tuu. Kiuhalisia mwaka 2015 tulipoteza uhalisia wetu kichama ingawa Lowassa kweli alikuwa mtu wa watu. Tulilazimika kuwafanya wengine kukaa kimya maana kama chama tuliua agenda zetu kuu. Hatimaye sasa tutapumua.
Nimeshangazwa sana na mapokezi ya kifalme aliyopewa Lowassa huku serikali kuu zaidi ya nusu wakihamia Lumumba kwenda kumpokea mkubwa yule. Ni kwa mara ya kwanza kuona mtu akipokewa na viongozi wote wakuu wa chama na serikali. Mtu ambaye watu hao hao walidai kawakimbia! Leo wao ndiyo waliomkimbilia! Mbaya zaidi Magufuli anampokea Lowassa huku akiwa kasimamiwa na zee la mipango aka Rostam Aziz. Dah kweli dunia ina mambo.
Lowassa najua amerudi CCM ili kulinda fursa zake kibiashara pamoja na hatima yake ya uzeeni. Ni hayo tu.
Nasubiri kuona sasa mapovu ya kina Polepole na Bashiru baada ya madon kujihakikishia kuwa sasa wamemzunguka mkubwa wao. Acha kabisa siasa hizi za kibongo. Pia nasubiri neno la Slaa (Najua hatosema chochote maana anatumikia)
siku zote nimekuwa nikisema Lowasa haaminiki nilitukanwa, mmeona wenyewe kuwa hili limeru..masai halina lolote zaidi ya kutafuta pesa na heshima pekeeKama ulifikiria imekujengea historia yoyote ya maana, basi aliyekushauri amekudanganya/amekupoteza. Hata huyo aliyekupokea naye anaingia katika historia za wanasiasa wa hovyo katika historia ya siasa za Tanzania. Kama kuna historia concrete itaandikwa na wana vyuoni, basi jina lako litaandikwa kwnye karatasi za mawe!
Ungeli retire siasa labda ingelikujengea heshima zaidi. Kashifa za ufisadi unaotuhumiwa nao hakuna mwenye ushahidi usiokuwa na mashaka! Hivyo bado heshima yako ingelisimama