TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,747
wanajifariji haofaraja mngekua mnatoa povu kila siku humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanajifariji haofaraja mngekua mnatoa povu kila siku humu
lini lowassa alienda ccm?acha kiwewe
Hoja zako zimewakilisha wengi nami ni mmoja wao. Kweli tupuNimependa mchango wako maana una hoja za msingi hata kama sizikubali. Sasa tuje kwenye mtazamo wangu kuhusu huyo Lowassa. Hivi Lowassa anakubalika kwa nyota au uliwahi kumuona akihutubia ukasikia falsafa zake? Lowassa nimjuaye mimi ni mtu ambaye sifa zake zinahubiriwa na wapambe na sio yeye. Hata cdm walimchukua kwa sifa za kusikia sio kwa uwezo halisi waliojiridhisha nao. Kikubwa ambacho sina shaka nacho, uwezo wake wa kipesa ambao vyanzo vyake havifahamiki ndio vilivyompa sifa zinazohubiriwa lakini sio uwezo wa kisiasa wa dhahiri.
Viongozi wa cdm nitaendelea kuwalaumu na hata kuwadharau kwakuwa cdm hizo kura milioni sita wangezipata hata kama wangenisimamisha mimi kwani ilikuwa inakubalika. Baada ya uchaguzi wa 2010-2015, cdm walianzisha operation mbalimbali nchi nzima za kupata wanachama na kupandisha hamasa kwa wananchi, na wao ndio chama kilichofanya mikutano mingi au wajibu wa chama cha siasa kuliko vyama vyote. Hata hamasa ya watu kujiandikisha na kitambulisho cha kura kuitwa kichinjio ni kwakuwa watu walijua Lowassa ndio atakuwa mgombea wa ccm ili wamchinje. Viongozi wa cdm bila kujali ukweli huu wakaingia tamaa ya pesa na kumchukua mtu ambaye hakuwa na uwezo halisi zaidi ya sifa za propaganda pekee. Hata huko ccm ambako Lowassa alikuwa anaonekana tishio ni lini ulimuona akikijenga zaidi ya kugawa pesa chafu chini ya meza na watu kumsifia? Ni lini toka Aachie uwaziri mkuu uliwahi kumuona akiongea hata dakika 10 ukavutiwa na speech yake?
Hata kama ni kutaka kuitoa ccm na kushirikiana na shetani ndio hiyo kumsimamisha mtu anaongea dakika chini ya 3 kwa kusema kipaombele changu ni "Elimu, elimu, elimu, au Lowassa mabadiliko, mabadiliko Lowassa" Mkuu hata uandike kitabu kuhusu Lowassa, nitafurahia uandishi wako lakini sio msaada wa Lowassa ndani ya cdm. Mbowe na genge lake wanapaswa kutuomba radhi watu tuliopigania mageuzi ya kweli na kisha kutuletea mtu aliyetaka urais badala ya mabadiliko.
Jimbo litarudi tu ..lowasa tumetua mzigo, Nasary tunapoteza jimbo huoni tofauti hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
jimbo ni la nassari ndio lakini akiwa ni mwana ccm sio cdm tena!
Wewe ndio msemaji wa wameru?Nassari ataenda uko lakin jimbo litabaki chadema ...Wameru Sio wajinga kiasi hicho..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mods wamefuta uziApumzike kwa amani
Uzi upi uliofutwa ?Mods wamefuta uzi
Uzi wa taarifa ya kifo cha lowasa ila baadae ulirejeshwaUzi upi uliofutwa ?
Uzi wa taarifa ya kifo cha lowasa ila baadae ulirejeshwaUzi upi uliofutwa ?