Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Anaaminika membe tu ndani ya ccmMbowe haaminiki kabisa
In God we trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaaminika membe tu ndani ya ccmMbowe haaminiki kabisa
Koroshow imewatoa show ya kibabeAmemshinda yule mzee wa vitambulisho vya wanyonge hivi wanajeshi wamemaliza kubangua korosho kwa meno?
Ana mbwembwe sana meko mar hela za korosho zipo mara korosho hazina ubora huyu haaminiki na genge lake la wakina rostam
Mungu aepushie mbali1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob
Sugu Rais wa Mkoa wa Mbeya hujasema loloteUnamaana Mbowe anaweza kuhama?
Wasiyo na misimamo ya kutetereka4. Mbowe
5. John Heche.
Hata ahame Tundu Lissu nitabaki upinzani.
1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob
Kwa taarifa yako na mazezeta wenzako hapo Lumumba kuondoka kwa huyo mzee ni Faraja kubwa sana kwetu, ametukwaza sana ila tulimvumilia kwa kumheshimu tu lakini baada ya uchaguzi mkuu hakuwa na mchango wowote kwa chama,hivyo tunamshukuru kwa kuondoka na tunamtakia maisha mema huko chooni kwani Dr. Slaa alitulaumu kumchukua na kufananisha kitendo hicho sawa na kuhamiasha kinyesi toka chooni (CCM) na kukipeleka sebuleni(Chadema).Lowassa alikuwa mgombea Urais akiwakilisha vyama vilivyokuwa vinaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi ( UKAWA) mwaka 2015. Mwaka 2016, Juma Duni Hali aliyekuwa mgmbea mwenza wa Lowassa alirejea Chama cha Wananchi (CUF).
Wakati Lowassa anarudi CCM alisema hakuna sababu yoyote Zaidi ya kurudi nyumbani. Juma Duni Haji yeye akasema CHADEMA ina Wenyewe.
Kwanini Chadema wanaona kukerwa sana na kuhama kwa Lowassa kuliko Juma Dini Haji?
Aliyekuwa Mgombea Mwenza wa Urais CHADEMA, Juma Duni Haji amerejea CUF huko Zanzibar - JamiiForums
Hayo ni mwawazo yako Kwa mtizamo chanya amekipa chama cha Chadema ahueni kubwa sana km siyo asilimia 1000000% ''Hon.Lowasa can not contest for Presidency 2020 for any party ''Lowassa alikuwa mgombea Urais akiwakilisha vyama vilivyokuwa vinaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi ( UKAWA) mwaka 2015. Mwaka 2016, Juma Duni Hali aliyekuwa mgmbea mwenza wa Lowassa alirejea Chama cha Wananchi (CUF).
Wakati Lowassa anarudi CCM alisema hakuna sababu yoyote Zaidi ya kurudi nyumbani. Juma Duni Haji yeye akasema CHADEMA ina Wenyewe.
Kwanini Chadema wanaona kukerwa sana na kuhama kwa Lowassa kuliko Juma Dini Haji?
Aliyekuwa Mgombea Mwenza wa Urais CHADEMA, Juma Duni Haji amerejea CUF huko Zanzibar - JamiiForums
unawasemea Mbowe na kundi lake? umesoma Makala ya Mwenezi wa Chama hicho ambaye alihama na LOWASSA na kundi lake la 4U, Hemedi Ally? wewe hata Ofis za CHADEMA unajua zilipo? umesoma andiko la Lissu akikiri Lowassa alifanya kazi nzuri?Kwa taarifa yako na mazezeta wenzako hapo Lumumba kuondoka kwa huyo mzee ni Faraja kubwa sana kwetu, ametukwaza sana ila tulimvumilia kwa kumheshimu tu lakini baada ya uchaguzi mkuu hakuwa na mchango wowote kwa chama,hivyo tunamshukuru kwa kuondoka na tunamtakia maisha mema huko chooni kwani Dr. Slaa alitulaumu kumchukua na kufananisha kitendo hicho sawa na kuhamiasha kinyesi toka chooni (CCM) na kukipeleka sebuleni(Chadema).
Sent using Jamii Forums mobile app
unawasemea Mbowe na kundi lake? umesoma Mkala ya Mwenezi wa Chama hicho ambaye alihama na LOWASSA na kundi lake la 4U, Hemedi Ally?