Ngororo
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 235
- 414
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa imani zako hizi ni lazima haya maisha yatakushangaza sana.1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob
Hapana. Huwezi kuwa na moyo mgumu kiasi hicho.
Huwezi kuona mkakati na maana ya tendo hilo kwa wakati huo na kuweka 'exception'?
Lisu ni CCM .1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob
MAENDELEO HAYANA CHAMAMh Lowassa amerudi nyumbani.full stop.
Hawatakiwi kule1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob
Mwanasiasa akikuambia usiku mwema toka nje kwanza uangalie kama kuna giza.Inahitaji uwe na moyo wa chuma kuwaamini wanasiasa. Hakuna lisilowezekana kwa hawa viumbe wetu wanaoitwa wanasiasa.
Namba 3 very soon1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob
Chochote kinachoweza kuwaondoa CCM ni msaada, hata kama sio malaika.Mkuu Lowassa hakuwahi kuwa na msaada wowote ndani ya cdm sio wakati huo, au wakati huu na hatokaa awe na msaada wowote.
Muondoe meya Boniface weka mbowe. Sio kwamba Boniface yupo legelege ila kwasababu Boniface ametokea ccm. Ni vigumu an mtoto wa upinzani kuhamia ccm . Ni rahisi sana mtoto alietokea ccm kuhamia ccm hata km yupo ngangari kiasi gn1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob
hata Mwakajoka ntashangaa!1: Tundu Lissu
2: Godbless Lema
3: Meya Boniface Jacob
Chochote kinachoweza kuwaondoa CCM ni msaada, hata kama sio malaika.
Kwa wakati huo, dalili zilionyesha kulikuwepo na matumaini ya Lowassa kusaidia kuwaondoa CCM. Na kwa maoni yangu uwezekano huo ulikuwepo sana, lakini kampeni alizofanya (muonekano wa kuwa kama mgonjwa), hazikusaidia.
Angekuwa ni Lowassa mwenye uhai kama yule wa mwanzoni mwa utawala wa Kikwete kabla ya Richmond, CCM ingeondoka hata kama wangelazimisha kuiba kura.
Na hapa siwezi kamwe kukubishia kuhusu lebo ya "Fisadi" anayobeba ambayo ilimnata barabara; hasa wakati wa Richmond, ambayo kihalisi haikuwa yake, ilikuwa ya Kikwete!
Simtakasi kwa lolote, kwa sababu najua hili ni kundi la wapigaji wakubwa, na kuwa kwake ndani ya CHADEMA kusingewaongezea au kuwapunguzia CHADEMA nao kuwa na mwelekeo huo.
Sasa hapa sijui kama utanielewa ninachokieleza hapa, lakini basi ngoja nimalizie hivyo.
Tumefikia hatua Tanzania , bora ya kumweka yeyote madarakani badala ya CCM, hata kama hatujui huyo anayeingia atafanya nini.
ntashangaa... ila wengine wote waliobaki upinzani sitashangaa
Mtu kama Lisu anaweza kuhamia chama chochote lakini sio ccm.Labda kama wasingeumizwa na ccm.Huwezi umiza MTU kisha uliyemuumiza awe upande wako tena