ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,856
Intelijesia inasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
New discovery. TS Elliot was right.
Tena kumenoga sana, yaani kupita kiasi.
Kwa wajingaTena kumenoga sana, yaani kupita kiasi.
contact itapendeza zaidi
Mungu mbariki Lowassa, rais wao wa mioyoni (makamanda wazungusha mikono).Kwa wajinga
Mungu mbariki Lowassa, rais wao wa mioyoni (makamanda wazungusha mikono).
Kwa sisi wazungusha mikono Lowassa ndie rais wetu wa mioyoni. Tulikuwa tayari hata kupiga deki barabara ili tu apite pasi na kuchafuka. Mungu mbariki Lowassa.Ambariki na mbunge Msukuma pia aliyesema mzee wa watu'alichafua hali ya hewa' pale Geita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sisi wazungusha mikono Lowassa ndie rais wetu wa mioyoni. Tulikuwa tayari hata kupiga deki barabara ili tu apite pasi na kuchafuka. Mungu mbariki Lowassa.
Mbona unapatwa na mchecheto? Mungu mbariki Lowassa, rais wa mioyoni wa wazungusha mikono wote duniani.Amen,huku ukikumbuka
Mafisadi yamekimbilia Chadema-Mwenyekiti
Mh. Lowassa amerudi nyumbani,karibu sana-Mwenyekiti.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaaaaKwa sisi wazungusha mikono Lowassa ndie rais wetu wa mioyoni. Tulikuwa tayari hata kupiga deki barabara ili tu apite pasi na kuchafuka. Mungu mbariki Lowassa.
Mbona unapatwa na mchecheto? Mungu mbariki Lowassa, rais wa mioyoni wa wazungusha mikono wote duniani.
Wazungusha mikono ha ha ha; mabadilikooo lowassa, lowassa mabadilikooooooo. Nyumbani kumenoga. Mungu mbariki Lowassa.Amen amen,mbariki pia mwenyekiti aliyempokea Lowassa akirudi CCM.
Bila kumsahau Polepole na Musukuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
That's stupidTena kumenoga sana, yaani kupita kiasi.
Mlikuwa mnasema kajinyea, mara mafisadi yamekimbilia Chadema. Mara mgonjwa,Sasa nyienyie..mnakula matapishi yenu!!! Ccm wajinga kabisaWazungusha mikono ha ha ha; mabadilikooo lowassa, lowassa mabadilikooooooo. Nyumbani kumenoga. Mungu mbariki Lowassa.
You are a nincompoop, just to put it euphemistically.That's stupid
Upuuzi mtupu.Mlikuwa mnasema kajinyea, mara mafisadi yamekimbilia Chadema. Mara mgonjwa,Sasa nyienyie..mnakula matapishi yenu!!! Ccm wajinga kabisa