Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

128142928129-1.jpg
 
wale wapiga deki na kufagia barabara apite km nawaona wanavyofyonya huko walipo😀
 
Wazungusha mikono ha ha ha; mabadilikooo lowassa, lowassa mabadilikooooooo. Nyumbani kumenoga. Mungu mbariki Lowassa.
Mlikuwa mnasema kajinyea, mara mafisadi yamekimbilia Chadema. Mara mgonjwa,Sasa nyienyie..mnakula matapishi yenu!!! Ccm wajinga kabisa
 
Back
Top Bottom