Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Maalim kichwa ngumu, Juma duni MTU makini sana lkn nae kaingizwa cha kike
Duni hana lolote...alijawa tamaa ya madaraka.
Hakujali anayapataje.
Akacheza kiini macho cha uhamisho feki kwenda Chadema.
Tatizo ya mambo feki huwa yanabumburuka vibaya sana.
 
Mdanganyika endelea kuwaamini wanaokulisha matango poli. Mwanasiasa anayesimamia upinzani wa kweli ni prof peke yake hajawahi kuwa mnafiki. Propaganda zenu ndio zimepunguza nguvu ya CUF ASILIA lakini ukweli ndio utakaoshinda na ndio kinachotokea. Sasa hivi utasikia mbowe na maalim wanaunga juhudi.......
Lipumba atarudi Ukawa? Slaa atarudi Chadema?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujitambui zwazwa wewe, mie najitambua mpumbavu wewe si kama huyu malaya wa kisiasa anayehaha huku na kule ili kujaza tumbo lake na uongo wake uliokubuhu.



Malaya ni ww lakin lowasa kutusaidia kuthibitisha ukweli wa prof lipumba na dk slaa .
Lipumba ndio kazuia cuf kuuzwa
 
Dr Slaa si mwanasiasa tena hivyo hayana impact kwake. Alafu kumbe mlikuwa mnajua hizi blunders lakini mlivyokuwa mnamtetea sasa! Tukiwaita wanafiki tunakosea mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Slaa alirudi ccm kwa kwa sababu lowasa kwenda chadema,sasa mamvi karudi ccm tuone kama slaa atakimbia(tunajua hatasema kitu sababu kawekewa keki mdomoni)
 
Kama hilo uliliona mkuu nakupa big up. Lakini bado hatuko salama tumeonesha Chadema tunakumbatia ufisadi ukiwa tu na maslahi.
Damage 2020 huyu jamaa ataongea sana atataja hata kwa exagration kuwa ndani ya CDM kuna uozo ikiwemo hati miliki ya vyeo kama mwenyekiti, Ukanda , Ruzuku nk
Kwa ma Ccm mapokezi yao ni yale ya "The spy is Back" atakaa tu akila popcorn movie ikiendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Lowasa huwa hana siasa za hivyo(labda jiwe limpe sharti hilo kwa sasa)
 
Mtajiuliza maswali mengi majibu wala hamtoyapata aliingia usiku chadema watu wasimuone ametoka mchana kweupe watu wanamuona!
Ninachokuuliza wewe kada wa Lumumba, je ufisadi wake umetoweka ghafla, hadi siku ya kurejea kwake CCM apokelewe na viongozi wakubwa kabisa ndani ya nchi, Rais Magufuli na Waziri Mkuu wake Kassim Majaliwa??
 
Yule mzee ni afadhali tu acheni aende bhna mana mtu mwenyew ata kutembea hawezi ^hakua na msaada wowote kwetu bora katupunguzia mzigo [emoji58]
Mbona wakati mnaambiwa mambo haya mlikuwa wakali, kejeli na maneno kibao???
 
Niliisubiri hii Siku kwa hamu kuwaona kina maalim seifu na mbowe wakiumbuka. Lipumba roho ilimsuta aliona mbali. Hence proved prof ni prof tu
Kwa walivyo wanafiki hutawaona hapa kujibu hoja yako
Mambo ya siasa ni mtu mwenyewe na maslahi yake. Hizo safari za Ikulu na kusifiana kote mulitegemea nini. Ukizingatia vyombo vya Dola vikinyemelea maslahi yao.

Africa na hasa Tanzania hamna kitu. Labda CCM itenganishwe na vyombo vya Dola na vya maamuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Magufuli na Polepole.

Hawa watu wawili walitushambulia sana eti mafisadi yamewakimbia na yamehamia Chadema. Sisi kweli kama Chadema tulibanwa sana kuhusu Lowassa ila tulijikongoja tuu. Kiuhalisia mwaka 2015 tulipoteza uhalisia wetu kichama ingawa Lowassa kweli alikuwa mtu wa watu. Tulilazimika kuwafanya wengine kukaa kimya maana kama chama tuliua agenda zetu kuu. Hatimaye sasa tutapumua.

Nimeshangazwa sana na mapokezi ya kifalme aliyopewa Lowassa huku serikali kuu zaidi ya nusu wakihamia Lumumba kwenda kumpokea mkubwa yule. Ni kwa mara ya kwanza kuona mtu akipokewa na viongozi wote wakuu wa chama na serikali. Mtu ambaye watu hao hao walidai kawakimbia! Leo wao ndiyo waliomkimbilia! Mbaya zaidi Magufuli anampokea Lowassa huku akiwa kasimamiwa na zee la mipango aka Rostam Aziz. Dah kweli dunia ina mambo.

Lowassa najua amerudi CCM ili kulinda fursa zake kibiashara pamoja na hatima yake ya uzeeni. Ni hayo tu.

Nasubiri kuona sasa mapovu ya kina Polepole na Bashiru baada ya madon kujihakikishia kuwa sasa wamemzunguka mkubwa wao. Acha kabisa siasa hizi za kibongo. Pia nasubiri neno la Slaa (Najua hatosema chochote maana anatumikia)
Lakini CHADEMA ndiyo walianza kumuita Lowasa fisadi, baadae akahamia kwao na akapokelewa kwa heshima kubwa kama mkombozi, gia zikabadilishwa angani,
 
Kama ulifikiria imekujengea historia yoyote ya maana, basi aliyekushauri amekudanganya/amekupoteza. Hata huyo aliyekupokea naye anaingia katika historia za wanasiasa wa hovyo katika historia ya siasa za Tanzania. Kama kuna historia concrete itaandikwa na wana vyuoni, basi jina lako litaandikwa kwnye karatasi za mawe!
Ungeli retire siasa labda ingelikujengea heshima zaidi. Kashifa za ufisadi unaotuhumiwa nao hakuna mwenye ushahidi usiokuwa na mashaka! Hivyo bado heshima yako ingelisimama
siku zote nimekuwa nikisema Lowasa haaminiki nilitukanwa, mmeona wenyewe kuwa hili limeru..masai halina lolote zaidi ya kutafuta pesa na heshima pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom