Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Yaonyesha Lowassa alikuwa chadema ila anajua ratiba zote za ccm. Jana kawalia taiming wapo kwenye kikao cha chama akaibuka. Ikabidi wahairishe kikao na shughuli iwe kumpokea yeye. Sio kwamba Magufuli alienda kumpokea, alikuwapo hapo kwa shughuli za chama.
 
'I will give him an offer he cannot refuse.'
Soon parts of the price tag will surface up.
 
Baada ya mzee Lowasa kurudi nyumbani sasa wapenda mabadiriko tunataka radical politics, kale kazee kalikosema muache siasa za uanaharakati aliwapoteza, Jiwe linahitaji radical politics za jino kwa jino, Mbowe amuondowe sasa Katibu mkuu, na ajihudhuru uenyekiti apewe Lisu na Mbowe arudi kwenye ukatibu mkuu, Mashinji ni mzigo aondolewe haraka, ni Lisu pekee mwenye sifa za kuliongoza jahazi la chadema kwa sasa kuelekea uchaguzi mkuu. Mwisho samahani kwa uandishi mbovu device yangu ina matatizo nimeshindwa kuweka paragraph

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni lazima Mbowe nae atoke. Ampe chama Mnyika.
 
Kabisa mkuu...kuna watu utasikia anasema "kaguswa Mh Rais na viongozi wakubwa wewe ni nani usiyeguswa" hizi ni akili za kiduwazi kabisa hata hao wengine walioenda msibani na kulia sana si kama wana uchungu ni kwakuwa tu huu msiba umekuzwa sana na hiyo media na watu wengine kutafuta fonti peji
Na mimi pia, ni msiba kama misiba mingine tu iliyotokea juzi na jana na leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaeiua chadema ni mbowe.....!!!!

Ngoja aendelee kusota huko! Akamwekaa katibu mkuu wa ma vyeti, hana ushawishi wowote kwa wananchi....!!! Inabidi wajipange upya! Katibu mkuu kiatu kimewapwaya!
 
wanasema ukiwa umefiwa basi unaweza kudhani ni dunia nzima ina majonzi lakini kiuhalisia huko duniani maisha yanaendelea kama kawaida, mara yangu ya kwanza kupatwa na msiba mzito nilijifunza hilo, wakati mimi natokwa na machozi na kamasi waliokuja msibani walikua wanapiga stori na kunywa bia!
so... yeah Lowasa ni muhimu kwa JPM!
 
kura za uraisi nipatie mimi na wabunge wengi wa ccm..huyu mamvi huwa simwelewi kabisa.
alimzuia mke wake asiteuliwe viti maalum,akamzuia mtoto wake asigombee kwenye marudio ya uchaguzi kumbe alikuwa na la kwake jambo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba mamvi mmoja alikuwa na akili kuliko chama kizima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ulifikiria imekujengea historia yoyote ya maana, basi aliyekushauri amekudanganya/amekupoteza. Hata huyo aliyekupokea naye anaingia katika historia za wanasiasa wa hovyo katika historia ya siasa za Tanzania. Kama kuna historia concrete itaandikwa na wana vyuoni, basi jina lako litaandikwa kwnye karatasi za mawe!
Ungeli retire siasa labda ingelikujengea heshima zaidi. Kashifa za ufisadi unaotuhumiwa nao hakuna mwenye ushahidi usiokuwa na mashaka! Hivyo bado heshima yako ingelisimama
Mzee amevuka kiwango cha unafiki ni malaya wa kisiasa kama alivyowahi kusema baba wa taifa
 
kwani aliondoka lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Rostam ni mwanachama wa ccm bepari mkubwa. Chama cha kijamaa yafaa kumshika hatamu maana dini ya bepari ni faida 'profits'. Siamini bepari rostam azzizi ni kama bepari mengi ambae ana roho ya huruma kwa maskini anapenda haki na ana upendo kwa jamii. Ccm iwe macho usiku na mchana wanachama bepari wasije teka chama kwa faida yao kwa mara ya pili.
 
Hii picha haingii akilini hata chembe. Nianze kwa kuuliza .''HUU KAMA SIYO UNAFIKI WA WATANZANIA ULIOPITILIZA NI KITU GANI...???
Kwamba Watanzania wote wako kwenye musiba mzito wa kifo cha Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi wa CMG marehemu Ruge Mutahaba anajitokeza Edward Ngoyai Lowassa kutangaza kuhama CHADEMA na kurudi CCM inakuwa ni tukio muhimu zaidi kuliko musiba....!!!Rais wa JMT Mhe. John Joseph Magufuli ame-tweet kwenye mtandao wa tweeter kuelezea masikitiko ya kifo cha Ruge lakini hajafika nyumbani kwao na Marehemu Ruge kuwapa pole wafiwa.

Lakini baada ya Lowasa kutangaza kurudi CCM pale Lumumba Rais Magufuli yuko mbele kushangilia na kusherekea kurudi kwa Lowassa. Makada wa CCM wanashangilia na kufurahi katikati ya musiba mzito wa kijana Mtanzania ambaye amegusa nyoyo za Watanzania wengi.
Je, hili limepangwa au ni bakti mbaya? Kama CCM walikuwa wamepanga Lowassa arejee CCM tarehe ya 1 March, 2019 wameshindwa nini kuahirisha sherehe hiyo ambayo haina tija yoyote kwa Watanzania? Je, haya ni maksudi ya kuumiza nyonyo za Watanzania hasa Wana-media na wale wa vyama vingine vya siasa hususan CHADEMA? Maswali ni mengi kuliko majibu....!!

Nihitimishe kwa kusema hivi, kama Taifa, Tanzania tumeshapoteza mwelekeo wa mambo ya msingi ambayo tuliachiwa na mwasisi wetu Baba wa Taifa JK Nyerere(rip). Ni ubazazi wa hali ya juu kuimngiza siasa katikati ya musina mzito kama huu. Matukio haya mawili: KIFO CHA RUGE MUTAHABA na KUREJEA KWA LOWASSA CCM kwa hakika kimeonesha UNAFIKI WA HALI YA JUU usiozingatia UTU, HESHIMA na USTAARABU katika jamii ya walio HAI na WAFU. CCM wamekuwa ni mafundi sana wa kutengeneza PICHA ZA KINAFIKI ambazo kuna siku zitaleta matokeo HASI ambayo Wanasiasa hasa wa CCM hawajawahi kuzitarajia.

Hivi Rais Magufuli haoni aibu? Rais Magufuli amedhihirisha unafiki wake kwa Lowasa. Hivi yale maneno na kauli aliyoitamka siku ile kuwa WALE WAJUMBE WOTE WA MKUTANO MKUU WA CCM WALIOKUWA WAKIIMBA WANA IMANI NA LOWASSA ANGELIWAPOTEZA ZAIDI YA NUSU YAO... ameyafuta lini? Wahenga walisema ukitaka kuwa mwongo na mnafiki mzuri usiwe msahaulifu...!Je, waliokuwa wanashangilia, kuimba na kusherekea kurudi kwa Lowassa CCM jana pale Lumumba basi Magufuli atuambie atawapoteza wangapi?

Tafakuri.
Kwani Ruge kufa kwake kuna mchango wowote katika maisha ya watanzania? Vipi huduma za afya zitapatikana? Vipi elimu itaboreshwa kwa sababu ya msiba wa Ruge? Vipi huduma ya maji? Vipi mafao ya wastaafu ambao wameitumikia nchi yao for more than 40years? Nchi ina mambo lukuki ya kufanya wewe unaleta habari za msiba wa Ruge? What a shame comrade? Kuna watanzania kibao wamefiwa na wapendwa wao mbona serikali haijawapa pole?
Kuhusu Lowasa; serikali ya Magufuli haina dhamira yoyote ya kuwasaidia watanzania ndiyo maana tukio la Lowasa kurudi CCM limekuwa gumzo kwa sababu Magufuli anafikiria uchaguzi tu, anaota kuendelea kushika dola hata kwa miongo saba, kwa hiyo linapokuja swala la kisiasa lenye sura ya kumfanya Jiwe aendelee kukaa madarakani, hakuna kitu chochote kitakacho kuwa na umuhimu zaidi ya hicho.
In short matukio yote yaani msiba wa Ruge na Lowasa kurudi CCM hayana tija yeyote kwa watanzania, ni upuuzi tu wa kukosa utashi wa kisiasa na kutafuta kiki za kisenge!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitazama hii picha ni Slaa pekee aliyeshtukia mchezo na anaonekana kugoma kabisa
FB_IMG_15515061888484483.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu wa ajabu sana,kwahiyo unataka kila mtu amlilie huyo uliyemtaja.When u die the game is over hata tungeimba nyimbo za kila aina haisaidii
 
Chama kilishaenda tayari, unataka kiende Mara ngapi?
Rostam ni mwanachama wa ccm bepari mkubwa. Chama cha kijamaa yafaa kumshika hatamu maana dini ya bepari ni faida 'profits'. Siamini bepari rostam azzizi ni kama bepari mengi ambae ana roho ya huruma kwa maskini anapenda haki na ana upendo kwa jamii. Ccm iwe macho usiku na mchana wanachama bepari wasije teka chama kwa mara ya pili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu jana mpaka muda vijana wa bavicha wamepandisha nyuzi nyingi sana kumuhusu Lowassa,
Kuhama kwake wengi wanajifanya kutoshangazwa wala kushitushwa na uondokaji wake.
Lakini kitendo cha kufungua nyuzi mfululizo linatoa picha ni jinsi gani hili jambo limewauma kuliko hata shambulizi la Lissu kupigwa risasi,

Shambulizi baya mlengaji amepiga pigo moja lenye uzani na uchungu mwingi,kila wakikumbuka walivyomtetea na kutukana watu,walivyodeki barabara,waliamua kumtosa mtu muhimu dkt slaa kwa mustakabali wa matumbo yao na tamaa ya kuingia ikulu kwa kutumia silaha yeyote iliyopo mbele.

Ama kwa hakika vijana wamechanganyikiwa ndio kwanza hakusubiri mbowe atoke gerezani, ndio kwanza ametuonyesha Lowassa alikuwa peke yake ndani ya chadema.
Kama alivyoibuka ikulu bila itelejensia kujua ,ndivyo alivyopata mualiko katika ufunguzi wa maktaba ya chuo kikuu ,na ndivyo alivyoondoka jana na kuibukia Lumumba.
Alishawambia mkiona mtu anahama chama vuteni shuka zenu mjifunike mpaka usoni.
Bavicha wamepaniki rasmi wameamua kurudisha jina lake pendwa fisadi wakati alipokuwepo huko walimtetea kwa kila hali!
Vijana mmepaniki!
mwanamke unamtuhumu kwa tabia chafu , unamuacha anaolewa na mwanaume mwingine anakaa weee kisha wewe unaendlea kumtuhumu... baadae anaondoka alikosnda kuolewa tena ukidai aliolewa kwa kununua taasis leo karudi wewe unashangilia ati wapanikk? si mlisema oil chafu?
NI KWAKUWA TAIFA LINAONGOZWA NA VICHAA TU
 
Back
Top Bottom