barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Nijipange vipi??Siku nyingine ni bora ukajipange kabla ya kuleta uzi!
Tena katika mkutano huu hao wako mbali sana inawezekanaMsukuma bashite kibajaji sijui wana hali gani huko waliomdhihaki karudi home
Ni lazima Mbowe nae atoke. Ampe chama Mnyika.Baada ya mzee Lowasa kurudi nyumbani sasa wapenda mabadiriko tunataka radical politics, kale kazee kalikosema muache siasa za uanaharakati aliwapoteza, Jiwe linahitaji radical politics za jino kwa jino, Mbowe amuondowe sasa Katibu mkuu, na ajihudhuru uenyekiti apewe Lisu na Mbowe arudi kwenye ukatibu mkuu, Mashinji ni mzigo aondolewe haraka, ni Lisu pekee mwenye sifa za kuliongoza jahazi la chadema kwa sasa kuelekea uchaguzi mkuu. Mwisho samahani kwa uandishi mbovu device yangu ina matatizo nimeshindwa kuweka paragraph
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeanza kuongelea afya yake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]Zile nguo ni nzito za kimapambano sio shati za mbogamboga zile
Sasa kwa afya ya mzee sio rahisi kusimama na kutembea nazo
Na mimi pia, ni msiba kama misiba mingine tu iliyotokea juzi na jana na leo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba mamvi mmoja alikuwa na akili kuliko chama kizimakura za uraisi nipatie mimi na wabunge wengi wa ccm..huyu mamvi huwa simwelewi kabisa.
alimzuia mke wake asiteuliwe viti maalum,akamzuia mtoto wake asigombee kwenye marudio ya uchaguzi kumbe alikuwa na la kwake jambo.
Mzee amevuka kiwango cha unafiki ni malaya wa kisiasa kama alivyowahi kusema baba wa taifaKama ulifikiria imekujengea historia yoyote ya maana, basi aliyekushauri amekudanganya/amekupoteza. Hata huyo aliyekupokea naye anaingia katika historia za wanasiasa wa hovyo katika historia ya siasa za Tanzania. Kama kuna historia concrete itaandikwa na wana vyuoni, basi jina lako litaandikwa kwnye karatasi za mawe!
Ungeli retire siasa labda ingelikujengea heshima zaidi. Kashifa za ufisadi unaotuhumiwa nao hakuna mwenye ushahidi usiokuwa na mashaka! Hivyo bado heshima yako ingelisimama
Rostam ni mwanachama wa ccm bepari mkubwa. Chama cha kijamaa yafaa kumshika hatamu maana dini ya bepari ni faida 'profits'. Siamini bepari rostam azzizi ni kama bepari mengi ambae ana roho ya huruma kwa maskini anapenda haki na ana upendo kwa jamii. Ccm iwe macho usiku na mchana wanachama bepari wasije teka chama kwa faida yao kwa mara ya pili.
Nijuavyo ukawa wataanza kumwambia Lowassa ni MASAI na si Mmeru.
Ameshapona ugonjwa wa akili?Ni lazima Mbowe nae atoke. Ampe chama Mnyika.
Kwani Ruge kufa kwake kuna mchango wowote katika maisha ya watanzania? Vipi huduma za afya zitapatikana? Vipi elimu itaboreshwa kwa sababu ya msiba wa Ruge? Vipi huduma ya maji? Vipi mafao ya wastaafu ambao wameitumikia nchi yao for more than 40years? Nchi ina mambo lukuki ya kufanya wewe unaleta habari za msiba wa Ruge? What a shame comrade? Kuna watanzania kibao wamefiwa na wapendwa wao mbona serikali haijawapa pole?Hii picha haingii akilini hata chembe. Nianze kwa kuuliza .''HUU KAMA SIYO UNAFIKI WA WATANZANIA ULIOPITILIZA NI KITU GANI...???
Kwamba Watanzania wote wako kwenye musiba mzito wa kifo cha Mkurugenzi wa Uzalishaji na Vipindi wa CMG marehemu Ruge Mutahaba anajitokeza Edward Ngoyai Lowassa kutangaza kuhama CHADEMA na kurudi CCM inakuwa ni tukio muhimu zaidi kuliko musiba....!!!Rais wa JMT Mhe. John Joseph Magufuli ame-tweet kwenye mtandao wa tweeter kuelezea masikitiko ya kifo cha Ruge lakini hajafika nyumbani kwao na Marehemu Ruge kuwapa pole wafiwa.
Lakini baada ya Lowasa kutangaza kurudi CCM pale Lumumba Rais Magufuli yuko mbele kushangilia na kusherekea kurudi kwa Lowassa. Makada wa CCM wanashangilia na kufurahi katikati ya musiba mzito wa kijana Mtanzania ambaye amegusa nyoyo za Watanzania wengi.
Je, hili limepangwa au ni bakti mbaya? Kama CCM walikuwa wamepanga Lowassa arejee CCM tarehe ya 1 March, 2019 wameshindwa nini kuahirisha sherehe hiyo ambayo haina tija yoyote kwa Watanzania? Je, haya ni maksudi ya kuumiza nyonyo za Watanzania hasa Wana-media na wale wa vyama vingine vya siasa hususan CHADEMA? Maswali ni mengi kuliko majibu....!!
Nihitimishe kwa kusema hivi, kama Taifa, Tanzania tumeshapoteza mwelekeo wa mambo ya msingi ambayo tuliachiwa na mwasisi wetu Baba wa Taifa JK Nyerere(rip). Ni ubazazi wa hali ya juu kuimngiza siasa katikati ya musina mzito kama huu. Matukio haya mawili: KIFO CHA RUGE MUTAHABA na KUREJEA KWA LOWASSA CCM kwa hakika kimeonesha UNAFIKI WA HALI YA JUU usiozingatia UTU, HESHIMA na USTAARABU katika jamii ya walio HAI na WAFU. CCM wamekuwa ni mafundi sana wa kutengeneza PICHA ZA KINAFIKI ambazo kuna siku zitaleta matokeo HASI ambayo Wanasiasa hasa wa CCM hawajawahi kuzitarajia.
Hivi Rais Magufuli haoni aibu? Rais Magufuli amedhihirisha unafiki wake kwa Lowasa. Hivi yale maneno na kauli aliyoitamka siku ile kuwa WALE WAJUMBE WOTE WA MKUTANO MKUU WA CCM WALIOKUWA WAKIIMBA WANA IMANI NA LOWASSA ANGELIWAPOTEZA ZAIDI YA NUSU YAO... ameyafuta lini? Wahenga walisema ukitaka kuwa mwongo na mnafiki mzuri usiwe msahaulifu...!Je, waliokuwa wanashangilia, kuimba na kusherekea kurudi kwa Lowassa CCM jana pale Lumumba basi Magufuli atuambie atawapoteza wangapi?
Tafakuri.
Rostam ni mwanachama wa ccm bepari mkubwa. Chama cha kijamaa yafaa kumshika hatamu maana dini ya bepari ni faida 'profits'. Siamini bepari rostam azzizi ni kama bepari mengi ambae ana roho ya huruma kwa maskini anapenda haki na ana upendo kwa jamii. Ccm iwe macho usiku na mchana wanachama bepari wasije teka chama kwa mara ya pili.
mwanamke unamtuhumu kwa tabia chafu , unamuacha anaolewa na mwanaume mwingine anakaa weee kisha wewe unaendlea kumtuhumu... baadae anaondoka alikosnda kuolewa tena ukidai aliolewa kwa kununua taasis leo karudi wewe unashangilia ati wapanikk? si mlisema oil chafu?Tangu jana mpaka muda vijana wa bavicha wamepandisha nyuzi nyingi sana kumuhusu Lowassa,
Kuhama kwake wengi wanajifanya kutoshangazwa wala kushitushwa na uondokaji wake.
Lakini kitendo cha kufungua nyuzi mfululizo linatoa picha ni jinsi gani hili jambo limewauma kuliko hata shambulizi la Lissu kupigwa risasi,
Shambulizi baya mlengaji amepiga pigo moja lenye uzani na uchungu mwingi,kila wakikumbuka walivyomtetea na kutukana watu,walivyodeki barabara,waliamua kumtosa mtu muhimu dkt slaa kwa mustakabali wa matumbo yao na tamaa ya kuingia ikulu kwa kutumia silaha yeyote iliyopo mbele.
Ama kwa hakika vijana wamechanganyikiwa ndio kwanza hakusubiri mbowe atoke gerezani, ndio kwanza ametuonyesha Lowassa alikuwa peke yake ndani ya chadema.
Kama alivyoibuka ikulu bila itelejensia kujua ,ndivyo alivyopata mualiko katika ufunguzi wa maktaba ya chuo kikuu ,na ndivyo alivyoondoka jana na kuibukia Lumumba.
Alishawambia mkiona mtu anahama chama vuteni shuka zenu mjifunike mpaka usoni.
Bavicha wamepaniki rasmi wameamua kurudisha jina lake pendwa fisadi wakati alipokuwepo huko walimtetea kwa kila hali!
Vijana mmepaniki!