Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Mwenyekiti ashatoka
 
Mkuu na Chadema wana mshipa wa aibu? Wao si ndiyo waasisi? Sidhani kama kuna wa kumcheka mwenzake. Tena bora CCM walimnyima tiketi ya urais. Chadema walimteua!
CDM had a purpose and the mission was accomplished with many legislators, diwanis, village chairs,and the like.......
Mnamrudisha ili afanye nini? hana mvuto tena kama 2015! Bila mizengwe, bila kumnyima ushindi wake, angelikuwa rais. Lowasa alikuwa anakubalika sana. Haikuwa hasara kumpokea!
 
Mh. rais wetu kipenzi alichanga sh. mil 50 za matibabu ya ruge wakati akiwa mgonjwa, we unaehuzunika sahz ulichanga sh ngapi?
 
Lowassa alipojiunga Chadema tuliona mbwembwe za Mwenyekiti chadema Freeman Mbowe akiitisha press conference akiongea kwa complex superiority na mbwembwe nyingi kutamgaza ujio wa Lowassa Chadema.Mbona Mbowe hutoi tamko kulikoni? Unaumwa au?
 
Nae kanunuliwa, kweli CCM kwa usajili ni hatarii!
 
Si useme wewe sasa !.

Tawala za ki Africa zinatumia mbinu chafu kwa wapinzani wao. Badala ya kubadilisha sera na uongozi kuvutia wapiga kura, zenyewe hutumia vyombo vya Dola kudhibiti wapinzani wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chama cha Upinzani chenye zaidi ya miaka 26 kwenye siasa lakini bado wanategemea ruzuku ya Serikali ambayo haijulikani inaendaga wapi, bado wanalia kuibiwa kura. Media kwa ajili ya kukitangaza chama hakuna wanalia na TBC, gazeti limebinafsishwa na mwenyekiti, Makao Makuu ya Chama yapo uchochoroni. Yaani hakuna mbinu zozote za kupambana na watawala ni Bussiness as Usual na ulaghai. Halafu mnalalamikia eti mbinu chafu. Nyinyi mbinu zenu safi ziko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye vijiji Lowasa alikuwa hajajiunga na CDM. Unapingana na wanaosema pengine bila Lowasa CDM ingepata wabunge na madiwani wengi kuliko iliopata 2015?
 
Lowassa alipojiunga Chadema tuliona mbwembwe za Mwenyekiti chadema Freeman Mbowe akiitisha press conference akiongea kwa complex superiority na mbwembwe.nyingi kumtamgaza ujio wa Lowassa Chadema.Mbona Mbowe hutoi tamko kulikoni? Unaumwa au?

Atoe tamko gani wakati mkeka wake umechanika?
 
Wewe bimkubwa una mtindio wa ubongo
Lowassa alipojiunga Chadema tuliona mbwembwe za Mwenyekiti chadema Freeman Mbowe akiitisha press conference akiongea kwa complex superiority na mbwembwe.nyingi kumtamgaza ujio wa Lowassa Chadema.Mbona Mbowe hutoi tamko kulikoni? Unaumwa au?

In God we Trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…