Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

kale ka statement ka kukataa zoezi la bashite la kuwatokomeza kina james deli kamemponza.
 
Mh Lowassa amerudi nyumbani.full stop.
 

Kweli nakumbuka walisema Chadema imenunuliwa 10 billion, Mbowe kapokea malipo.

Tunaomba kujua Mbowe amerudisha pesa? CCM imenunuliwa kwa bei gani?

Siasa za Tanzania tamu sana.
Mh Lowassa karudi nyumbani
 
Chama kikongwe kinachojifia "Natural Death" na Chama Chenye Damu za Moto ambacho hata Risasi za moto zimeshindwa kukipooza.
Kipi kitakuwa ghali
Dua lakuku , inayokufa ni hiyo saccos ya ufipa.
 
Ndugu zangu Watanzania huu ndio wakati Muafaka wa kuihama CCM na wala msijihusishe nayo na wala msiipie Kura iogopeni kama ugonjwa wa Ukoma.
Uhame ccm , chama imara cha siasa uhamie ufipa saccos , no Big no.
 
Hahahahaha lol! Nasikia ni partnership na lile fisadi lingine Rostam Aziz. Si umeliona Ikulu imekuwa kama nyumbani kwake na huyu Rostam Kikwete alitaka kumfukuza kwa kudai anakichafua chama leo hii amekuwa LULU!

 
Nitaanzisha mahakama ya mafisadi na nitayafunga yote, mafisadi yameanza kunikimbia yanakimbilia huko kwenye vyama vya upinzani, ..JPM 2018.. Karibu sana nyumbani tena bado una fanana na CCM, karibu sana. JPM 2019...Halafu bado kuna mtu anasubiri alipwe hela za makinikia, na korosho?!!!!! Acheni tu Mkapa ajiuzulu hata huo upatanishi maana Nyumbani kumechacha na yeye ndie alie tia ndimu chachandu, Nkurunziza hataki ujinga kabisa alimuacha na unafiki wake mwenyewe kaona haya kaachia ngazi.
 
Weka Akiba ya maneno

nani sasa wewe au?

ukiingia kwenye dunia ya sisa, kuna upande utausema vibaya hapo?

au wewe ndio umejiweka kwenye angle ambayo kuna maswali ukiulizwa hauwezi kujibu

alichofanya EL, huwa akifanyiki sehemu zingine za dunia!! mgombea urais mpinzani aliyepata kura nyingi sana anarudi kwa mpinzani wake??? na bado bila aibu unaanzisha thread

una roho ngumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…