Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

1.Umati uliokuamini umewasaliti hawatakuja kukusahau wewe na kizazi chako chote! Umeingia kwenye historia
2. Kuna watu waliumia,kufa kwa kukupigania ukiwa ukawa unawaambiaje
3.Katika umri wako unahitaji nini lakini ninaamini sio cheo tena! Watu maarufu kama wewe hujenga heshima kwa maamuzi waliochukua na kuweka historian
4.Hao hao waliokwambia urudi kuanzia leo wanaanza kuwa maadui zako wapya hawakawii kukwambia unawasaliti na kutengeneza genge lako ndani ya chama
5. Umma mkubwa wa vijana wanaotarajia kufanya maamuzi makubwa ktk maisha yao umewaacha njia panda! Wanashindwa kuelewa kbs ni kama wamepigwa butwaa
Mwisho
Uamuzi pekee wa heshima ambao ungekuweka kuwa shujaa na kuenziwa milele ni " kustaafu siasa na kuwaacha vijana waendelee" Mimi si mtu wa karibu na wewe lkn nina uhakika uamuzi ulioufanya inawezekana hata mkeo hakukuunga mkono!
Kuna watu umewadhoofisha sana Lowasa, hujawaumiza eti kwa sababu ya kurudi ccm bali je haya ndio maamuzi mtu anaweza kuyafanya mtu ktk maisha?????
I bet you'll never enjoy anymore! What will you tell the people who put trust in you?
Imesononesha saana
Aliekushawishi ukakubali amekuharibia sana heshima yako
Daa , kila la kheri mkuu
 
Amewafundisha Vijana na Watanzania kuwa, Masilahi yake mbele kwanza! Uzalendo baadae


Ndio, opportunists
 
1.Umati uliokuamini umewasaliti hawatakuja kukusahau wewe na kizazi chako chote! Umeingia kwenye historia
2. Kuna watu waliumia,kufa kwa kukupigania ukiwa ukawa unawaambiaje
3.Katika umri wako unahitaji nini lakini ninaamini sio cheo tena! Watu maarufu kama wewe hujenga heshima kwa maamuzi waliochukua na kuweka historian
4.Hao hao waliokwambia urudi kuanzia leo wanaanza kuwa maadui zako wapya hawakawii kukwambia unawasaliti na kutengeneza genge lako ndani ya chama
5. Umma mkubwa wa vijana wanaotarajia kufanya maamuzi makubwa ktk maisha yao umewaacha njia panda! Wanashindwa kuelewa kbs ni kama wamepigwa butwaa
Mwisho
Uamuzi pekee wa heshima ambao ungekuweka kuwa shujaa na kuenziwa milele ni " kustaafu siasa na kuwaacha vijana waendelee" Mimi si mtu wa karibu na wewe lkn nina uhakika uamuzi ulioufanya inawezekana hata mkeo hakukuunga mkono!
Kuna watu umewadhoofisha sana Lowasa, hujawaumiza eti kwa sababu ya kurudi ccm bali je haya ndio maamuzi mtu anaweza kuyafanya mtu ktk maisha?????
I bet you'll never enjoy anymore! What will you tell the people who put trust in you?
Imesononesha saana
Aliekushawishi ukakubali amekuharibia sana heshima yako
Daa , kila la kheri mkuu
Upinzani upo kwa wananchi wenyewe
Ccm wanajidanganya kuwa kumchukua lowasa ni kuua upinzani la hasha .
Lowasa si wanansiasa bali ni mjasiliamali wa kisiasa.
Kingine lowasa ni mbinafsi .
Uraisi si cheo cha kulazimisha .
Cheo cha urais hakipimwi kwa kuhamahama bali kwa kuiangalia tanzania ya kesho .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Lowasa hakuwahi kuwa na umati huko Ccm? Rejea siku anatangaza nia ya kugombea urais (kuchukua fomu) pale Sheikh Amri Abeid, Arusha. Alijaza ule uwanja ila aliwageuka hao Ccm na kwenda Chadema.

Ukiwa mtanzania kama ni mwanaume utachezewa akili ila kama ni mwanamke utachezewa akili na mwili.
 
Un
Kwani Lowasa hakuwahi kuwa na umati huko Ccm? Rejea siku anatangaza nia ya kugombea urais (kuchukua fomu) pale Sheikh Amri Abeid, Arusha. Alijaza ule uwanja ila aliwageuka hao Ccm na kwenda Chadema.

Ukiwa mtanzania kama ni mwanaume utachezewa akili ila kama ni mwanamke utachezewa akili na mwili.
Unazungumzia umati??? Hatuzungumzii huo tunazungumzia madhara yatakayotokea kwa watu wanaomwona role model
 
Kuna mwanasiasa mmoja alienda kijijini kwao kutaka kuomba kupigiwa kura. Alipofika wanakijiji wakamwambia tuna matatizo makubwa mawili.

Mwanasiasa akauliza ni yapi hayo? Wanakijiji wakasema hatuna Daktari bingwa hapa kijijini kwetu. Mwanasiasa akanyanyua simu yake, akampigia mtu wakaongea kwa dakika kadhaa. Alipomaliza akawaambi tayari tatizo la Daktari nimelimaliza.

Akawauliza wanakijiji tatizo la pili ni lipi? Wanakijiji wakajibu na kumwambia tatizo la pili ni kwamba hapa kijijini kwetu hakuna network ya simu za mkononi kabisa.....

WANASIASA PUNGUZENI UWONGO[emoji38]
 
Mihemko ipi tena au ushanibatiza uanachama wa chadema! Shida yenu mtu akimlaumu mtu wenu tu mshajua chadema! Sheeda hii
Unahemka aliyekwambia wewe Chadema nani? Hiyo ndiyo mihemko nayosemea sasa.
 
Back
Top Bottom