Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

TATIZO NI KUWA UVCCM MLITEGEMEA KUONA POST NYINGI TOKA CHADEMA ZA KUMPONDA LOWASA, LAKINI IMEKUWA KINYUME. HIVYO IMNAANZA KUWEWESEKA KWA KUWA MLILOTEGEMEA HALIKUTOKEA
 
lini lowassa alienda ccm?acha kiwewe

Jinga kwa yuko wp nw dr slaa kadi ya chama ccm anayo tena iko active tu na sasa ivi lowassa nae anayo tena mpya tu vp taarifa ya lumumba azijakufikia tu bado badilisha vyanzo vyako vya habari mkuu unapitwa na wakat


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hoja zako zimewakilisha wengi nami ni mmoja wao. Kweli tupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lowasa alikuwa Chadema akaenda CCM watu wakaona ni Jambo la kawaida na wengine wakiwemo Chadema wakafurahia kuondoka kwake huko CCM akapokelewa kama mwanachama asiye na impact kwao huku baadhi wakijutia kumpokea.

Leo hii nassar amevuliwa ubunge watu wanazungumzia suala lake na mijadala imekuwa mipana kuliko hata yeye mwenyewe alivyokuwa anadhani. Wapo wanaomwona ni mzembe kukaa nje ya BUNGE bila ruhusa, wapo wanaoamini alidhamiria, wapo wanaoamini ni mpango wake kuekea CCM na wengine wanakubaliana naye kwamba ameonewa na hivyo aende mahakamani.

Watu Hawa wawili wanatufundisha Nini , Nassary alionekana shujaa zaidi alivyokuwa Chadema na wananchi walimuunga mkono bila kujali umri wake. Lakini pia yeye wenyewe anayo haki ya kurejesha Imani kwa wananchi kwa kuendelea kupigana Vita ya kweli au vinginevyo ahamie upande wa pili apigane Vita ya mabua.

Lakini pia graph yake ikishuka itamchukua MUDA kumpandisha kwani dhambi iliyommaliza Lowasa na Sasa si kitu Tena ni dhambi ya kuwasaliti waliouzunika nawewe.

Wanaoshawishi nao wamewekwa na watu na wanaweza kuondolewa wakaondoka na wewe.....Jenga msingi imara wa maisha take kwa kusimama imara kuliko kuyumbishwa na wanaume wasiokuwa na hati miliki ya chochote Cha kesho yako.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…