eddo lega center
Member
- Mar 1, 2019
- 7
- 13
ipo maintenance boss
Leo watapuliza Bangi ili walale kwa frustrations
unatakiwa uunde kitu ambacho kwanza tukfungua site tunaona zingine kali zaidi ,kisha tukifungua tunakuta nondo za nguvu sa we unatuwekea copy and pasteboss ndo natype habari iyo content nimepost kwanza
Mbowe mpinzani?Aibu kwa wale waliotusaliti 2015 kwa kumleta huyu kiumbe, Mbowe na genge lako siasa za Upinzani zitawalaani kwa miaka mingi.
Maza Pepsi" hahaha Mother Confessor, ndio hivo siasa ni ujanja ujanja!Hahahahha maza fanta"
Ni kweli ila timing ni mbaya. Ukweli haufichiki, lowassa alikuja na watu kama popular votes.Mkuu Lowassa Sasa hivi hamna haja ya kuhangaika naye,sasa hivi Upinzani wanadeal na Magufuli.Na Lowassa Sasa hivi hatakuwa active kwenye Siasa.Sanasana CDM walikuwa na wakati mgumu 2020 kama EL angeendelea kubaki Upinzani maana Kwa Sasa kiukweli pumzi ya kugombea 2020 ilikuwa ndogo na je angeng'ang'ania kugombea ingekuwa shida.Hapa katikati CDM iliyumba mno,sasa ni muda wa kujipanga upya
Sent using Jamii Forums mobile app
Lowassa ndio kajimezesha kwa Ruge ili watu wasijadili kurejea kwake CCM.Ikiwa taarifa za kifo cha huyu ndugu yetu Ruge zimesambaa kila kona, basi taarifa za huyu babu yetu Lowasa
-zimesambaa
-zimefika kote kila kona
-kila mtu anahitaji kuzijua na kuzifahamu kwa undani. si kijijini wala mjini!
Siyo jijini wala shambani, kote wanauliza "Lowasa kafanya nini?"
Mods hii ni "thread jitegemea" tafadhali isiunganishwe wala kupelekwa kokote.
Uzi tayari
Sasa nadhani rafiki yangu nayemuheshimu Dr Slaa atarudi CHADEMA,maana asiyempenda kaja.
Huyo yuko tayari kufa.bado Mbowe sasa
Hiyo kambi ya akina Nape na Membe zinamuhitaji sana mzee kuliko yeye anavyozihitaji! Huoni kaacha neema ya kisiasa chadema?japo vijana wake walisharudi "kwao" ila Fedha yake imeliwa barabara!! Alikuwa amepewa Tour ya bei mbaya!!!Inawezekana unachosema mkuu!
Ila lile zee watu wanalichukulia kua ndio limekufa na Jiwe aka-relax,anaweza kuumia!
CCM mle kuna kambi mbili,kambi ya jiwe haina watu wengi sana,kuna ile kambi ya akina Nape,Membe,January,etc,ile ina watu kibao na jinsi Lowassa kaingia,wanaweza piga fitina chini kwa chini Jiwe akajikuta hayupo kwenye kura!
I smell something here!