Wote ccm na chadema waliimba huo wimbo.siasa ni mchezo wa hovyo sanaa nakumbuka wale waliokuwa wakiimba siku ile dodoma ktk ule ukumbi wao walikuwa wakiimba '' ninaa imaniii na Lowasaaaa nina imaniiii na Lowasaaaaa '' ss sijui itakuwaje
Waulize chadema waanzilishi wa wimbo kuwa Lowassa fisadi je ni fisadi au la waulize
Kamanda katema ngese,kavua gwanda kwe,,kwe,,, kwe,,,,siasa uchwara bongo nyoko,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu mwema,huku kuna wenyewe alooo!! Huwa nakusoma soma japo kama guest,hongera umepawezaNiko bomba aisee namshukuru Mwenyezi Mungu 2019 nimeiona na mambo yangu bado bomba. Nimefurahi kukuona japo huku usikokupenda.
Ok
Ufunuo huo umefunuliwa Leo ? Lowassa alipokuja kwenu ulikuwa umejaa mapepo au ? Hukufunuliwa Lowassa mjaa mapepo wewe?
Eeeh! Hii imetoka wapi? Sijawahi sikia hii methali!Msambaa mmoja havunji gulio
Na watu wanalupa likea kabisa kwa ulichoandika.Ruge huyu jamaa itakuwa ameuwawa na sumu kali sana sana kama polonium-210 tena itakuwa alikula, aliivuta au alikunywa huenda ilikuwa ni dozi ndogo aliyopewa na mtaalam wa hali ya juu. Mazingira yanaonyesha kabisa maana tangia mwaka jana alipoanza kujisikia vibaya akiwa kwenye hafla fulani.
Dalili za kupewa sumu ndo hizo kujisikia vibaya kuharisha, kutapika na baadhi ya organ za mwili kushindwa kufanya kazi vizuri na mwishowe kifo. Anyway hii inaonyesha serekale tuliyonayo ni ya aina gani.
Kwenye kumuaga Ruge kuna watu watalia sana kuliko wenye msiba ila ili ku shift attention wakaona wafanye wanamleta mzee Lowassa ila watambue CCM makada ipo siku watakuwa wakimbizi. Waanze kuandaa sehemu z kukimbilia maana sasa mambo yamekwiva
Sent using Jamii Forums mobile app