Ruge huyu jamaa itakuwa ameuwawa na sumu kali sana sana kama polonium-210 tena itakuwa alikula, aliivuta au alikunywa huenda ilikuwa ni dozi ndogo aliyopewa na mtaalam wa hali ya juu. Mazingira yanaonyesha kabisa maana tangia mwaka jana alipoanza kujisikia vibaya akiwa kwenye hafla fulani.
Dalili za kupewa sumu ndo hizo kujisikia vibaya kuharisha, kutapika na baadhi ya organ za mwili kushindwa kufanya kazi vizuri na mwishowe kifo. Anyway hii inaonyesha serekale tuliyonayo ni ya aina gani.
Kwenye kumuaga Ruge kuna watu watalia sana kuliko wenye msiba ila ili ku shift attention wakaona wafanye wanamleta mzee Lowassa ila watambue CCM makada ipo siku watakuwa wakimbizi. Waanze kuandaa sehemu z kukimbilia maana sasa mambo yamekwiva
Sent using
Jamii Forums mobile app