Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

.
IMG-20190301-WA0007.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atasema ni asset ili asipoteze ubalozi ,kimbembe ni kwa Jiwe yaani aliowananga mafisadi Mara baada ya kuchaguliwa kaanza kuwarudisha mmoja baada ya mwingine ,maana yake yeye anawahitaji kuliko wanavyomhitaji yeye .Rostam tayari ,lowasa tayari who is next ?
 
Ingekuwa uchaguzi hauambatani na miguu ya kuku, kuna watu tungewasahau na wasingeibuka haaaata
 
Ni muda wa Lissu au Zitto... Mzee Lowassa acha achunge Ng'ombe zake huko Ccm.

Tunatembea na wakati.
 
Cdm imevunjwa uti wa mgongo,ruhusuni mikutano na shughuri za siasa tuone unavyofikiri kama ni sawa,na zaidi undeni tume huru ya uchaguzi tuone.
 
Ruge huyu jamaa itakuwa ameuwawa na sumu kali sana sana kama polonium-210 tena itakuwa alikula, aliivuta au alikunywa huenda ilikuwa ni dozi ndogo aliyopewa na mtaalam wa hali ya juu. Mazingira yanaonyesha kabisa maana tangia mwaka jana alipoanza kujisikia vibaya akiwa kwenye hafla fulani.

Dalili za kupewa sumu ndo hizo kujisikia vibaya kuharisha, kutapika na baadhi ya organ za mwili kushindwa kufanya kazi vizuri na mwishowe kifo. Anyway hii inaonyesha serekale tuliyonayo ni ya aina gani.

Kwenye kumuaga Ruge kuna watu watalia sana kuliko wenye msiba ila ili ku shift attention wakaona wafanye wanamleta mzee Lowassa ila watambue CCM makada ipo siku watakuwa wakimbizi. Waanze kuandaa sehemu z kukimbilia maana sasa mambo yamekwiva

Sent using Jamii Forums mobile app
Na watu wanalupa likea kabisa kwa ulichoandika.
 
Back
Top Bottom