Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Hapana aisee mie siipendi siasa wala sitaki kuwa mwanasiasa lakini kuona nchi yetu inasambaratishwa na hili kundi dogo la wahuni na mafisadi ni lazima nipambane nao kitaa na hata mitandaoni hadi kieleweke.
Safi sana, wenzako tunaogopwa kupotezwa na watu wasiojulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You'll be shocked, Zitto? Endeleeni kuwaamini wanasiasa...
Atlist lkn kwa vijana, japo hili la lowasa limechelewa sana kutokea. Upinzani yatakiwa ijijengee heshima yake yenyewe, kwa huyu walikosea sana kumkaribisha lets face it Lissu ndio hope pekee iliyobaki kwa upinzani
 
Sasa wale "ALIPO TUPO" mliobakia si muondoke? Nendeni na mtu wenu maana kaenda kwingine.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Msiba wa Ruge?

Hapana. Hakuna sababu ya msingi kwa Lowassa "ku-divert attention ya Watanzania kutoka kwenye msiba wa kitaifa wa Ruge."

Hata hisia kuwa "kuna mkono wa mtu kwenye kifo cha Ruge" hazijapata umaarufu kiasi cha kupelekea Lowassa akurupushwe leo ili "azime" suala hilo.

Kuwatenga waliomtosa Lowassa?

Uwepo wa Rostam Aziz katika tukio unaweza kuwa ishara ya uhusika wake katika uamuzi wa Lowassa kurejea CCM. Na uhusika wake unaweza kumaanisha kuwa "mapacha wawili kati ya watatu" wa MTANDAO wa JK (JK mwenyewe, Lowassa na Rostam) sasa wapo kwa Jiwe.

And where does that leave JK? Well, he was the major force behind kutoswa Lowassa. With him were Mkapa na Mwinyi. Sio siri kuwa wote watatu have fallen out of favour with Jiwe.

Nadhani katika hili labda tuache muda uongee.

October surprise?

Katika siasa za uchaguzi huko Marekani, "October surprise" ni tukio la makusudi linalolenga ku-influence matokeo ya uchaguzi.

Ninaazima political jargon hiyo kumaanisha kuwa huenda tukio hilo la leo linalenga ku-preempt tukio jingine kubwa ambalo "mtu flani" anatarajia linaweza "kupozwa" na ujio wa Lowassa huko CCM pindi tukio hilo likitokea.

Ugumu wa kuongelea tukio hili kama ule uliojitokeza katika kujadili uwezekano wa Lowassa kurejea CCM. Kila baadhi yetu tulipofungua mdomo sio tu kubashiri kuwa Lowassa angerudi CCM bali pia kumtuhumu kuwa huenda anakihujumu chama hicho, tuliishia kutukanwa



Kwahiyo to be on the safer side, si vema kuongelea kitu ambacho huenda kikatafsiriwa kuwa ill wish if not sedition. But something is indeed cooking.

Nafsi inakataa sio kuamini kuwa kweli Lowassa karudi CCM (lilikuwa suala la when na sio if) bali kuamini kuwa kurudi kwake CCM LEO ni kwa vile "leo ni siku kama nyingine."

Time will tell.




Sent using Jamii Forums mobile app
Sina la kuongeza wala kupunguza bro, we ni maana halisi ya GT. Kongole.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya matukio kwa leo yameniacha mdomo wazi. Wataalamu wa maono naomba msaidie kufafanua uhusiano wa matukio haya.

Mwili wa marehemu Ruge umetua leo kutoka Afrika Kusini

Mbowe ameshinda dhamana mahakamani

Lowassa amerejea nyumbani

Raisi ametoa onyo la kutosumbuliwa kwa wamachinga
 
Watanzania wataacha kuongelea korosho sasa ivi habari kuu lowasa pumbavu zetu wote na wana jf kwa sana pumbavu sisi kila siku tunauziwa agenda pumbavu kabisa mimi meenyewe mtoa mada na kama kufungiwa nifungiwe hatuwezi kuwa eapumbavu kiasi hiki pumbavu sisi each day tunagruzwa alafu tunahisi ccm tutaiweza hatuna akili cdm wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom