beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Wakuu,
Nawaletea taarifa hii kama nilivyopokea.
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Chadema Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari Jumatano hii kwenye hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam.
Mkutano utafanyika kuanzia saa 5 asubuhi..
=====
UPDATE: Taarifa hii imedaiwa si ya kweli hivyo thread imefungwa haitaendelea kujadiliwa
Nawaletea taarifa hii kama nilivyopokea.
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Chadema Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari Jumatano hii kwenye hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam.
Mkutano utafanyika kuanzia saa 5 asubuhi..
=====
UPDATE: Taarifa hii imedaiwa si ya kweli hivyo thread imefungwa haitaendelea kujadiliwa