The Stig
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,113
- 1,105
Mbowe,na uongozi wote wajuu wa chama,achieni ngazi,waingie viongozi wapya,hata kama,CCM,ilifanya ujasusi kupandikiza mamluki,wakakivuruga chama,kitendo cha nyinyi viongozi,kushindwa kulitambua hilo,inabidi muachie ngazi,
Nia yenu aondoke Mbowe, Chadema ife au ibaki kivuli cha ilivyo sasa halafu mtengeneze upinzani katika mfano wenu, hususan ukiongozwa na mnafiki ZZK au Le Profesori. Mwisho mtamleta Bunsen Burner aeleze kuwa eti demokrasia ya nchi imeharibika baada ya Chadema kutegemea uwezo binafsi wa mtu mmoja, yaani Mbowe.
Ukweli ni kwamba Mbowe, kama ilivyo kwa Lissu, ni viongozi wenye uwezo wa kipekee kama wa Mandela hapa TZ. Wanazaliwa viongozi wachache sana wa aina hii duniani, watu wenye misimamo yao thabiti usioyumbishwa.