Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na utakufa kwa ajili yakeMimi nimelazwa hosp.leo kwa ajili yake.
Na ccm watamwita nani siwalimwita fisadi, acha umbumbu weweLowasa anaakilisana alitaka machadema wamsafishe wenyewe ili wakimaliza kumsafusha arudi Ccm.
Ngoja tuone kama akirudi watasema tena fisadi
Duuuh leo mko tayari kumpokea? Si mlikua mnamuita fisadi nyie?Lowassa ni Great leader.. tatizo CHADEMA wanafanya siasa za utoto na low standards.. Mh. Lowassa nadhani kajaribu kuwarekebisha ila bado hawaelewi..
Hint: Mh. Lowassa kalelewa na kukulia CCM, hivyo akitaka kurudi hakuna shida, CCM tuko tayari kumpokea kwa mikono yote miwili..
Umenena mkuuNever, he is leaving. Kwenda siyo hoja, hoja ni kujikomba kwa kumsifia wakati kuna maangamizi yanafanywa na huyo aliyemsifia. It is a pity kuwa yanafanywa na Lowasa. Amesahau kuwa huyu alipiga push up kuonyesha kuwa yeye si mgonjwa mgonjwa ni Lowasa, leo kasahau!
View attachment 671819
Hii ilikuwa kuonyesha kwamba yeye haumwi anayeumwa ni Lowasa
Unamaanisha Balozi Wilbroad Slaa!? Na matusi yote na kejeli mliyomtupia!?huyu babu kama anarudi ccm basi sitashangaa kusikia wilbrod slaa akirudi chadema
Leo unamtetea lowasa?Dikteta Lema anaminya uhuru wa Lowasa kutoa maoni yake
Huyo lisu wako anaoubavu wa kumtetea lowas?Au lowasa anajua lisu atamfunika kaamua kujiongeza