Tetesi: Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari kesho kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam

Tetesi: Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari kesho kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam

Status
Not open for further replies.
Lowassa na chadema walikutana njia panda!! Kila mmoja akiwa na matazamio yake! Ashki ya lowassa kuingia ikulu bado haijapata dawa,mwache aendelee kujaribu bahati yake,ni haki yake,kuna watu wengi tu wenye influence ambao chadema inaweza kuwatumia ku gain credibility,panic kama za lema ndiyo zinazoweza kuharibu!
 
Lowassa ni Great leader.. tatizo CHADEMA wanafanya siasa za utoto na low standards.. Mh. Lowassa nadhani kajaribu kuwarekebisha ila bado hawaelewi..

Hint: Mh. Lowassa kalelewa na kukulia CCM, hivyo akitaka kurudi hakuna shida, CCM tuko tayari kumpokea kwa mikono yote miwili..
 
Huu ni mtihani kwa pande zote mbili, wale waliosema huyu ni fisadi kakimbilia huko, je watabadili gia angani tena na kumuita msafi na je huko aliko nako watakuja na gia gani.
Kweli usimuamini mwanasiasa.
 
Shida ya lowasa haijawahi kuhamia upinzani bali azima yake ya kugombea urais hata km akikosa......ccm ni kwa ajiri ya maslahi zaidi ili mambo yako binafsi yaende vzr....hakuna aliyeko ccm anaipenda ccm ila huu uonevu na matumizi malubwa ya vyombo vya dola ili ccm ibaki madarakani ndo kinachowatisha wenye roho nyepesi
 
Msipaniki bavicha, anaenda sisitiza inawezekana kumsapoti JPM ukiwa chamani.
Ingawa imejionyesha wazi sio wazo zuri kumsapoti ukiwa chamani maana madongo anayoyapata kutoka kwa makamanda ni balaa.
 
Kwa sababu wajinga zaidi ni mashabiki wakati wote sitashangaa EL akiitwa kwa kila jina baya na wanachadema endapo atahama kuunga mkono maendeleo ya viwanda na uchumi wa kati huku wakisahau kuwa walikuwa wanamshangilia na kumdekia barabara. Hawakuishia hapo tu bali walienda mbali zaidi na kuanza kutukuza mvi za mzee na hata kila mwenye mvi nyeupe.
Vivyo hivyo wanalizombe wamekuwa wakimwita fisadi mara rejected material, watampokea kwa shangwe na nderemo huku wakisahau majina yote waliyomuita.
Ila itakuwa kilio zaodi kwa yule streka wa kufunga bao la mkono dakika ya 90 pale atakapoona mwanayanga huyu wa zamani akisajiliwa tena yanga
 
Wakuu,

Nawaletea taarifa hii kama nilivyopokea.

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Chadema Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari Jumatano hii kwenye hotel ya Serena Jijini Dar Es Salaam.

Mkutano utafanyika kuanzia saa 5 asubuhi..
Yale maandalizi makubwa ya leo yalikuwa kwa ajili yake ila kukawa kuna vitu havijakaa sawa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom