gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,048
Anaweza kwenda tu, ila hii taarifa siamini kama iko na chanzo cha uhakika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hukujua kwani ulishawahi kumuona Mh . Lowassa kala gwanda? Mbowe hoiiiiiiiiiWala sitaki hata kumsikia huyu mtu kuanzia leo. Kaniharibia siku hakuna kunacholika wala kunyweka mpaka muda huu. Heri nikapumzike kambi za alshababu!!
Mbona wale wabakaji wa watoto wasiojiweza hata kujitetea wametoka na kukaribishwa lunch mahali patakatifu ilileta picha gani kwa wabakaji watarajiwa mtaani na wananchi wa kawaida wenye watoto wadogo mashuleni na mtaani?Hiyo sababu ya kwanza ina maana akiachiliwa ni sawa na kusema kuwa either madaraka yalitumika vibaya katika kumuweka ndani or upendeleo umechangia kutolewa kwake (ni sawa na rushwa in kind). Inatoa picha gani kwa wananchi wa kawaida?
Hizi ndio siasa zetu zinachanganya kichwa kama mtu aliyepata CannabisNgoja aunge mkono juhudi za Magufuli, sijui makamanda watamuita fisadi tena, halafu wale wakijani watamsafisha, hapa patamu, akivuka upande wa pili hamna aliye salama wote wataonekana wanafiki, yetu macho😀
True, na ni mmoja wa watanzania wachache wanaoishi bila unafiki. Na unajua nini...kila siku inayoenda kwa Mungu anaiishi kwa ukamilifu wakeKuwa mpinzani Africa ni sawa na kuzimu kwa hili Mbowe anastahili pongezi ana kifua cha kiume na ngozi ngumu kama nyegere
Kwa nilichokiona leo, huyu sio fisadi tena as far as CCM is concerned. Leo JPM kampa sifa za nguvu sana mpaka nikahisi muda si mrefu EL atafanya maamuzi magumu kwa mara ya pili.Ngoja aunge mkono juhudi za Magufuli, sijui makamanda watamuita fisadi tena..
Huu ni upotoshaji tuHiyo press naona mleta mada amelala akaota ila hakuna jambo kama hilo. Mods nao naona wapo tu
Hahah sio Rais wa moyo wako TenaWala sitaki hata kumsikia huyu mtu kuanzia leo. Kaniharibia siku hakuna kunacholika wala kunyweka mpaka muda huu. Heri nikapumzike kambi za alshababu!!
Mimi nina pesa ambazo nikizatandaza barabarani zinaanzia dar to dodoma halaf unasema unataka kuninunua nihamie....nikuambie tu ntahama kwa mapenzi tu au sababu nyingine ya kisiasa ila sio PESA
Mnajiriwaza poleni sana. Endapo hatahama mtamfurahia na kumpongeza sana. Poleni sana, naona furaha zenu ni za msimu. Dah, Polepole mliyemdharau kwa upole kutokana mwendo pole wake naona taratiiiibu anawamalizia watu pumzi. Kazi imebakia kukalia kujiliwaza na Lissu.Kwanini?Kama anapigania Tumbo lake kwanini uache kunywa na kula?
Hivi ng'ombe akirudi zizini alikozoea kuna shida?Rafiki huyo si mwenzetu pigana na hali yako