Tetesi: Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari kesho kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam

Tetesi: Edward Lowassa kuongea na vyombo vya habari kesho kwenye hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam

Status
Not open for further replies.
Kosa ambalo Mbowe na CHADEMA watalijutia maisha yao yote,ndio kosa ambalo vijana wa CCM litawapa wakati mgumu kuliko kipindi chote kama kile kinachotazamiwa Mzee kukiongea kitatimia.

Wale waliosema wanakimbia CHADEMA sbb "mafisadi" wote wamehamia huko,na wale waliosema CCM sasa ni safi sababu mafisadi wapo CHADEMA.

Ili mbegu iote,ni lazima ife,ioze na hatimaye ichipue.Ukweli ni kuwa,maisha ni magumu,uchumi umeyumba,demokrasia imelegea na hakika,haki za watu kuishi zipo mashakani...Katika ukweli huu,hakuna mwenye utimamu anaweza kuupinga...Kuishi Upinzani katika Afrika,ni kukaa jehanamu ndogoo

Kaa chini tukuletee maji ya kunywa mzee unaonekana umeanza kuchanganyikiwa!
 
Hizi ndio siasa zetu zinachanganya kichwa kama mtu aliyepata Cannabis
Mkuu hii ni zaidi ya mtu aliyepata Cannabis, labda uichanganye kidogo na cocaine halafu ushushie gongo ndio unaweza kufikia level ya mkanganyiko utakaoupata ukizichukulia siasa za bongo serious sana😀
 
Wala sitaki hata kumsikia huyu mtu kuanzia leo. Kaniharibia siku hakuna kunacholika wala kunyweka mpaka muda huu. Heri nikapumzike kambi za alshababu!!
Pole sana swahiba...subiri dawa iendelee kuwaingia pooole pole
 
Mara baada ya kufanyiwa alichofanyiwa ndani ya chama chake afya ilidhoofu, hakuwa na matumaini tena. Upinzani wakampa tumaini jipya......safari ya matumaini. Siasa sio chuki lakini ajitathimini....
 
Watanzania kwanini mnapenda sana kuwa watabiri wa kitakachotokea kesho ilihali ninyi sio miungu? Subirini kesho mtakacho kisikia ni tofauti na mnachokitabiri
 
Unajua lowasa atasema nini kesho atasema hivi " asante sana mbowe kwa kunikubali na kumtimua padre slaa nashukuru kwa pendo lako lakini kule ni nyumban lazima nirud kwetu hata mashuka yangu yote kijani hadi .... " hapo ndipo nachukia siasa
 
Kosa ambalo Mbowe na CHADEMA watalijutia maisha yao yote,ndio kosa ambalo vijana wa CCM litawapa wakati mgumu kuliko kipindi chote kama kile kinachotazamiwa Mzee kukiongea kitatimia.

Wale waliosema wanakimbia CHADEMA sbb "mafisadi" wote wamehamia huko,na wale waliosema CCM sasa ni safi sababu mafisadi wapo CHADEMA.

Ili mbegu iote,ni lazima ife,ioze na hatimaye ichipue.Ukweli ni kuwa,maisha ni magumu,uchumi umeyumba,demokrasia imelegea na hakika,haki za watu kuishi zipo mashakani...Katika ukweli huu,hakuna mwenye utimamu anaweza kuupinga...Kuishi Upinzani katika Afrika,ni kukaa jehanamu ndogoo
Dah, ama kweli makamanda mnajua kujifaragua.
 
Bora huu ujinga huwa unatokea nikiwa nipo kwa mkoloni natafuta hela ya ugali

Nkirud nyumban ndio nasikia mjinga fulan kafanya ujinga fulani. Bas naona ujinga tu kuufuatilia ujinga wao
Kwa akili zako ukajua kabisa kwamba 2015 Chadema inaaminiiika na wa Tz kiasi cha kuweza kukabidhiwa dola?!
Ni suala la muda tu utaelewa kama in chama cha siasa au cha upatu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom