msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,141
Wala sitaki hata kumsikia huyu mtu kuanzia leo. Kaniharibia siku hakuna kunacholika wala kunyweka mpaka muda huu. Heri nikapumzike kambi za alshababu!!
Mkuu cdm walipokea makapi, na waliambiwa kabisa kuwa ni makapi, ila hawakusikia!! Lowassa toka amekuja, hakuna lolote aliloongeza, zaidi ya upole. Huyu hayawan alifanya Dr Slaa kuondoka, sasa anaenda kujikomba kwa wakuu wake! Bastard!!