Tetesi: Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM

Ulichoandika ni sawa na sangoma kuvamia chumba inakofanyika operesheni ya obongo na yy kutaka ashiriki kupasua
 
WEWE NI UCHUMIA TUMBO NDIYO UNAKUSUMBUA NA LAANA YA KUTAFUTIA KUTEGEMEA NA KUCHUMIA TUMBO....NA MZIDI KULAANI KWA KUTEGEMEA VIUNGO VYA MWILI NA WANA WA ADAM ILI MUISHI NA WATU WOTE WASEME AMINA.
Kaka rudia kuyasoma maneno yako tena leo halafu angalia na matukio yanayoendelea.
 
hakuna tabu,kila mtu yuko huru kufanya maamuzi yake kisiasa,huku kuswitch side ni kawaida kisiasa na wala sio usaliti,chukulia tu mfano wa siasa za israel,kila msimu watu wanaswitch side,at least sasa chadema wameachiwa nafasi ya kuchagua mgombea urais kwa kujinafasi,maana walikuwa wanajiuliza jinsi ya kumweka kando lowasa kwa busara
 
Yametimia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu wewe kama nabii

renegade
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…