ho chi minh
JF-Expert Member
- Sep 27, 2016
- 32,904
- 163,073
Una roho ngumu mkuuCCM inataka kufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una roho ngumu mkuuCCM inataka kufa
Teh!Chadema imekuwa ni tishio sana kwa CCM
Licha ya kuaminishwa, kuna kitu unasahau, COMMON SENSE!
Utendaji kazi pia wa JPM nimeuona kwa miaka kama 10 hivi, UMETUKUKA.
Tafuta nyuzi za zamani humu jf kabla lowassa hajahamia chadema akiwa sisiemu UNIELEWE nilivyokuwa nampinga, sijawahi mkubali lowassa!
Hata Salary Slip na MUSSA ALLAN toka wakiwa na mzee wao akiwa sisiemu na wao wakimpigia debe na sisiemu niliwapinga!
Sio mnafiki kama nyie.
Yo yo yo Chadema walikuwa na matumaini hewa kuwa mgombea uraisi wao hewa Lowasa atashinda na akishindwa atakataa matokeo na atakiinukisha na kuitumbukiza nchi kwenye vita.Wafadhili koko wa Ndani na nje waliamini hivyo kuwa Lowasa na seif Sharif Hamad wakishindwa lazima wakatae matokeo na kuitumbukiza nchi vitani ya wewnyewe kwa wenyewe.Lowasa na seif sharif Hamad wakapiga chenga ya mwili ukawa na wafadhili koko wao wa nje ya nchi hadi Leo hawaamini kilichotokea Tanzania bara na Zanzibar na hawana hamu na CCM wanajua chama CCM ni chama dume kisichosomeka.!!!!!! Lowasa na seif Sharif Hamad wakirudi CCM poa tu .Mission accomplished
Nyinyi ni wabishi kama mashahidi wa Jehova. Kwa taarifa zilizopo ni kwamba hata mwenyekiti wa chama taifa anataka kurudi CCM, hiyo biashara ishamshinda.WEWE NI UCHUMIA TUMBO NDIYO UNAKUSUMBUA NA LAANA YA KUTAFUTIA KUTEGEMEA NA KUCHUMIA TUMBO....NA MZIDI KULAANI KWA KUTEGEMEA VIUNGO VYA MWILI NA WANA WA ADAM ILI MUISHI NA WATU WOTE WASEME AMINA.
lizabon habari zako hazina shaka hata kidogo taarifa zako nyingi huwa za kweli hawa makamanda wamechanganyikiwaHakuna utani kamanda. Nina uhakika na nilichoandika
Mkuu kati ya watu ninaowaheshimu sana hapa jukwaani ni wewe kaka...LizaboniMkuu
Lizaboni
ulipotea sana sana Mkuu Daaaa Mpaka tukasema jamani nani wa kutupa update tena kumbe upo na habari zako motomoto
Usipotee sana Mkuu...