Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu achana na hao wazushi na waongo. Wamezoea uongo mpaka wanasema meli ya kijeshi ya China wamelipia ilete matibabu kwa wananchi bila hata haya. Nasikia Mkwere aliposikia hayo akiwa huko Morogoro alicheka kidogo azimie!Pamoja na Chadema kupoteza mwelekeo lakini bado mna hofu na Chadema kufanya mikutano nchini kwa kuivuruga kupitia polisiccm. Bado mnahofia uchaguzi huru na wa haki kupitia rasimu ya Warioba na Tume huru ya uchaguzi!!!! Kweli Chadema imepoteza mwelekeo kama bado mnaihofia kiasi hiki.
Kuna wenzako walikimbiaga post zaoWEWE NI UCHUMIA TUMBO NDIYO UNAKUSUMBUA NA LAANA YA KUTAFUTIA KUTEGEMEA NA KUCHUMIA TUMBO....NA MZIDI KULAANI KWA KUTEGEMEA VIUNGO VYA MWILI NA WANA WA ADAM ILI MUISHI NA WATU WOTE WASEME AMINA.
Na uonevu dhidi ya Zitto,, hili liliniudhi sana.,,,Dhambi ya Usaliti ya Mbowe Kumkaanga Dr Slaa itamtafutaa.
Unatema big G kwa karanga za kuonjeshwaa
Wadau, amani iwe kwenu,
Ni dhahiri kwamba Lowassa na Sumaye hawana amani ndani ya CHADEMA. Hawana dira wala mwelekeo. Kila wanalopanga halipangiki na CHADEMA hakionekani kuwa chama chenye mwelekeo wa kushika dola.
Kamera ya Lizaboni imenasa kikao cha mkakati wa Lowassa kutaka kujiengua na CHADEMA na kurejea CCM. Kwa sasa anaendelea na mazungumzo makali na baadhi ya wafuasi wake waliobaki CCM ambao wamemgomea kwenda upinzani. Kilichomshtua zaidi Lowassa ni hili wimbi la sasa lililoshika kasi la viongozi na wafuasi wa chama ambao aliona kuwa ni kimbilio lake wakimkimbia na kujiunga na CCM.
Je, viongozi wangu watampokea Lowassa? Mimi nasema wasiwe wepesi kukubali ujio wa Lowassa. Ni vema tukafunga gate valve ili asiruhusiwe kurejea tena chamani. Ameshaivuruga CHADEMA na sasa anataka kurejea tena CCM na kutuvuruga. Nasikia anataka kurejea kabla ya uchaguzi wa ndani wa CCM ngazi ya Taifa. Tusiruhusu jinamizi likatukumba tena ndani ya CCM.
Maajabu sasa CCM wanambembeleza fisadi LowassaWadau, amani iwe kwenu,
Ni dhahiri kwamba Lowassa na Sumaye hawana amani ndani ya CHADEMA. Hawana dira wala mwelekeo. Kila wanalopanga halipangiki na CHADEMA hakionekani kuwa chama chenye mwelekeo wa kushika dola.
Kamera ya Lizaboni imenasa kikao cha mkakati wa Lowassa kutaka kujiengua na CHADEMA na kurejea CCM. Kwa sasa anaendelea na mazungumzo makali na baadhi ya wafuasi wake waliobaki CCM ambao wamemgomea kwenda upinzani. Kilichomshtua zaidi Lowassa ni hili wimbi la sasa lililoshika kasi la viongozi na wafuasi wa chama ambao aliona kuwa ni kimbilio lake wakimkimbia na kujiunga na CCM.
Je, viongozi wangu watampokea Lowassa? Mimi nasema wasiwe wepesi kukubali ujio wa Lowassa. Ni vema tukafunga gate valve ili asiruhusiwe kurejea tena chamani. Ameshaivuruga CHADEMA na sasa anataka kurejea tena CCM na kutuvuruga. Nasikia anataka kurejea kabla ya uchaguzi wa ndani wa CCM ngazi ya Taifa. Tusiruhusu jinamizi likatukumba tena ndani ya CCM.
Hii ungehamishia jukwaa la Utani ingependeza
Mungu akuhurimie ikiwa wasema ukweli ikiwa wadanganya pia Mungu akuadhibu kwa kusema wongoHakuna utani kamanda. Nina uhakika na nilichoandika
It's sad ...lakini kwa chadema hii tunafanyaje? ..Ukishalifungia jini kwenye chupa tupa huko baharini wakaokote wenye bahati mbaya.
Huwa nikiwaza wapigania chama kama kina Aweda walivyojiweka pembeni sababu ya hawa mamluki naishiwa nguvu kabisa.It's sad ...lakini kwa chadema hii tunafanyaje? ..
LOWASA: Sina mpango wa kurudi CCMWadau, amani iwe kwenu,
Ni dhahiri kwamba Lowassa na Sumaye hawana amani ndani ya CHADEMA. Hawana dira wala mwelekeo. Kila wanalopanga halipangiki na CHADEMA hakionekani kuwa chama chenye mwelekeo wa kushika dola.
Kamera ya Lizaboni imenasa kikao cha mkakati wa Lowassa kutaka kujiengua na CHADEMA na kurejea CCM. Kwa sasa anaendelea na mazungumzo makali na baadhi ya wafuasi wake waliobaki CCM ambao wamemgomea kwenda upinzani. Kilichomshtua zaidi Lowassa ni hili wimbi la sasa lililoshika kasi la viongozi na wafuasi wa chama ambao aliona kuwa ni kimbilio lake wakimkimbia na kujiunga na CCM.
Je, viongozi wangu watampokea Lowassa? Mimi nasema wasiwe wepesi kukubali ujio wa Lowassa. Ni vema tukafunga gate valve ili asiruhusiwe kurejea tena chamani. Ameshaivuruga CHADEMA na sasa anataka kurejea tena CCM na kutuvuruga. Nasikia anataka kurejea kabla ya uchaguzi wa ndani wa CCM ngazi ya Taifa. Tusiruhusu jinamizi likatukumba tena ndani ya CCM.
Wakat anahamia upinzani ni huyu huyu aliwapa intro na mkam beza pia na maneno na maneno ya shombo pia mlimpa,Lèo anawapa za jikoni hamtaki, andaeni maneno mapya zee la monduli linatimkaNaomba kuuliza kipindi unaandika ulikua aujatumia kilevi chochote kiongozi?
Kama aujatumia nakushauri nenda kweny meli ya wachina haraka sana unamatatizo ya dish kucheza