ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Achana nao hao.Kwahiyo Masha sio Kapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana nao hao.Kwahiyo Masha sio Kapi?
Lizaboni namba ingine ndie alikuwa wa kwanza kuleta taarifa humu kuwa Lowasa ananunua chadema ili agombee uraisi na ikawa kweli.Habari zake huwa naziamini sana .Mark his words.Lowasa atarudi CCM kuna presha kubwa sana hasa kutoka kwa watu wake wa karibu na familia yake.Huwa naamini sana information zako. Tunakumbuka wakati wa uchaguzi uliwaacha watu midomo wazi.
Aiseeee CHADEMA kimepoteza mwelekeo
Hujawahi kuwa na uhakika na chochote. Vyako vyote ni vya kuungaunga tu!Hakuna utani kamanda. Nina uhakika na nilichoandika
je kuna ubaya gani kama ni kweli si tutabaki sisi au pia hili hupendi/???????Kamera ya Lizaboni imenasa kikao cha mkakati wa Lowassa kutaka kujiengua na CHADEMA na kurejea CCM.
Lizaboni namba ingine ndie alikuwa wa kwanza kuleta taarifa humu kuwa Lowasa ananunua chadema ili agombee uraisi na ikawa kweli.Habari zake huwa naziamini sana .Mark his words.Lowasa atarudi CCM kuna presha kubwa sana hasa kutoka kwa watu wake wa karibu na familia yake.
Uingereza ya chato.Nipo masomoni Uingereza. Napambana na kitabu. Ndo maana sipo sana humu
Akirudi Lowasa na Sumaye CCM nitaandamana hadi Dodoma nikiwa nimevaa magunia kuirudisha kadi yangu ya CCMWadau, amani iwe kwenu,
Ni dhahiri kwamba Lowassa na Sumaye hawana amani ndani ya CHADEMA. Hawana dira wala mwelekeo. Kila wanalopanga halipangiki na CHADEMA hakionekani kuwa chama chenye mwelekeo wa kushika dola.
Kamera ya Lizaboni imenasa kikao cha mkakati wa Lowassa kutaka kujiengua na CHADEMA na kurejea CCM. Kwa sasa anaendelea na mazungumzo makali na baadhi ya wafuasi wake waliobaki CCM ambao wamemgomea kwenda upinzani. Kilichomshtua zaidi Lowassa ni hili wimbi la sasa lililoshika kasi la viongozi na wafuasi wa chama ambao aliona kuwa ni kimbilio lake wakimkimbia na kujiunga na CCM.
Je, viongozi wangu watampokea Lowassa? Mimi nasema wasiwe wepesi kukubali ujio wa Lowassa. Ni vema tukafunga gate valve ili asiruhusiwe kurejea tena chamani. Ameshaivuruga CHADEMA na sasa anataka kurejea tena CCM na kutuvuruga. Nasikia anataka kurejea kabla ya uchaguzi wa ndani wa CCM ngazi ya Taifa. Tusiruhusu jinamizi likatukumba tena ndani ya CCM.