Hii imekaaje? Huu ni uchochezi wenye Akili sana.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
"Breaking News:
*Lowassa kuhudhuria Mechi baina Yanga na Simba.*
Hatimae Lowassa amekubali Ombi la Vijana wa Chadema la kumtaka kuhudhuria mechi ya Simba na Yanga, itakayochezwa Uwanja wa Taifa Tarehe 1/10/2016. Lowassa amekubali Ombi hilo na ataambatana na viongozi mbalimbali ambao ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe,Mwenyekiti wa NCCR James Mbatia, pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Chadema Tundu Lissu............"
Hahahahahaha kama ni kweli mechi lazima isogezwe mbele hii................!!!