Edward Lowassa ni mtu mwenye maono, uthubutu na misimamo, anafaa kuwa Rais ajaye wa Tanzania, Mungu akutangulie, akulinde na akupiganie

🙏 Amina ! Japo yule wa ubelgiji sijui ataupokeaje huu waraka.
 
Mmeona jiwe hana mvuto na ameanza kuogopa hicho cheo baada ya kukuza deni la taifa na sasa anaogopa yajayo, mnatafuta mtu wa kumpa mkidhani anakubalika na wote. Huyo mzee sio mwanasiasa bali ni tapeli la siasa lililoukwaa utajiri kupitia siasa.
Daa ! Watu bwana ! Oct 2015 lugha yako ilikua hivi kweli !
 
Next time changeni karata zenu vizuri ! Groom your own people ! Sio kudaka dropped candidates from ruling party au defectors!
 
Daa ! Watu bwana ! Oct 2015 lugha yako ilikua hivi kweli !

Nimejiunga hapa jf 2011 kwa id hii, pitia popote ikiwepo hiyo 2015 kama niliwahi kubadili kauli juu ya hilo tapeli la kisiasa. Au unadhani kila mtu alibadili gia angani nini?
 
Nimejiunga hapa jf 2011 kwa id hii, pitia popote ikiwepo hiyo 2015 kama niliwahi kubadili kauli juu ya hilo tapeli la kisiasa. Au unadhani kila mtu alibadili gia angani nini?
Aaa! Kweli mkuu nimekumbuka! 🙏
 
Mmeona jiwe hana mvuto na ameanza kuogopa hicho cheo baada ya kukuza deni la taifa na sasa anaogopa yajayo, mnatafuta mtu wa kumpa mkidhani anakubalika na wote. Huyo mzee sio mwanasiasa bali ni tapeli la siasa lililoukwaa utajiri kupitia siasa.
Heri mwenye mawazo ya kitajiri kuliko mawazo ya kufukarisha watu
 
Next time changeni karata zenu vizuri ! Groom your own people ! Sio kudaka dropped candidates from ruling party au defectors!
Nimedaka kutoka wapi mkuu na kwenda wapi? I have just commented my opinions!!!! Sijadaka mtu yeyote kutoka kokote!!!!
 
Wote tuseme Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…