OTIS
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,252
- 832
Baada ya aibu ya mwaka kumshukia waziri mkuu mstaafu bwana sumaye sasa kiwembe kinanolewa kumnyoa Lowassa kwenye uchaguzi wa kugombea ujumbe wa NEC kuwakilisha wilaya ya monduli.
Mpaka sasa Dr Salash Mokosyo anakubalika na wana monduli wengi na kama Takukuru watafanikiwa kuziba mianya ya rushwa basi uchaguzi huu utakuwa ndio mwisho wa siasa za lowassa nchi hii.
Nakutakia Heri Dr na nina amini mizengwe yote unayopigwa na mafisadi itashindwa na wewe kuibuka kidedea.
Wana Monduli twakutegemea
Nb
Nipo monduli na nitawajulisha yote yanatakayotokea huku.
Mpaka sasa Dr Salash Mokosyo anakubalika na wana monduli wengi na kama Takukuru watafanikiwa kuziba mianya ya rushwa basi uchaguzi huu utakuwa ndio mwisho wa siasa za lowassa nchi hii.
Nakutakia Heri Dr na nina amini mizengwe yote unayopigwa na mafisadi itashindwa na wewe kuibuka kidedea.
Wana Monduli twakutegemea
Nb
Nipo monduli na nitawajulisha yote yanatakayotokea huku.