Edward Lowassa Richmond kuibuliwa 2008 kama si mapenzi ya Mungu Israel na aseme

Edward Lowassa Richmond kuibuliwa 2008 kama si mapenzi ya Mungu Israel na aseme

Tusiwe maskini wa akili hakuna Aja ya kupoteza muda kujadili uyu fisadi mkuu nchini,kama

Amebeba mazambi ya wengine hata akiwa raisi ataendelea ivyoivyo kubeba mazambi ya wengine,,muogopeni kama ukoma.

Kiswahili lugha ya taifa ndugu yangu. Hebu rekebisha hayo maneno ya rangi nyekundu kisha urudi tena ujieleze ulikuwa unataka kusema nini?
 
kwa hiyo EL nai sawa na zile gari zinapeleka takataka Pugu Kinyamwezi ndipo akabeba mzigo wa Richmond?kwa hiyo alilipwa ngapi?yaani kama DAD WA RIZ ni dreva kaleta ajali halafu hana leseni anamtafuta mwenye leseni BabaMonduli amwuzie kesi?kumbe ndo maana DAD WA RIZ akasema ile songombongo ni ajali ya kisiasa bila kusema majeruhi ni wakina nani?ajali kasababisdha nani na ripoti ya trafiki hakuna?jamani mnajadili wazoa taka ama mnataka Rais?huyo ni dhaifu kipeuo cha nne cha dhaifu aliyepo!
 
Binafsi niungane na wale wasemao kila jambo linapotokea kuna sababu. Zaidi ya hili kuna wasemao apangalo Mungu mwanadamu hawezi kulipangua.

Nasema haya kwa moyo wa dhati kabisa baada ya kukaa na kufikiri dhoruba aliyoipata Mhe. Edward Lowassa mwaka 2008 jambo ambalo wahuni wachache waliamua kulitumia ili kumwaribia heshima yake pamoja na kutaka kumchonganisha yeye na Watanzania.

Ila kwa kuwa Mungu hali ugali wala hanywi uji na kwa kuwa vile vile Mungu si Mwakyembe wala si Sitta hata kabla ya muhusika kuwaeleza Watanzania hali halisi juu tuhuma zile Mungu ameanza kuyadhihirisha haya kwa Watanzania bila shaka yoyote.

Alisema yeye si Mungu wa dhuluma wala si Mungu wa visasi ila yeye ni Mungu wa HAKI kwa watu wake wote na haki yake hiyo ndiyo aliyoanza kuidhihirisha mbele ya jamii na hata kuanza kuonekana kwamba hili jembe na huyu Raisi tumtazamiaye alibebeshwa furushi la misuri lisilomuhusu

Japo amekuwa akilaumiwa sana ila imeendelea kudhihirika kuwa yaliyomfanya kufikia uamuzi ule si mengine bali ni maadili yake aliyofundishwa Chamani na hivyo kuamua kuangikwa msalabani ili kuendelea kukipa heshima Chama chake na viongozi wake.*

Niseme tu Edward si jembe tu bali ni rato, reki, beleshi ni kila kitu. Nimejaribu kutazama tu tena kupitia ktk ile Mikoa inayojifanya eti haimkubali Mikoa ambayo haizidi 9 (na naamini tu hawamkubali Mdomoni ila Moyoni jamaa wanamkubali sana).

Katika hii Mikoa sasa, toka Mwaka 2010 ukianzia ngazi ya Kitongoji kila siku iwayo kwa Mungu watu 5-10 humzungumzia na humkubali sana huyu jamaa, ukienda ngazi ya Kijiji ni watu 11-30, Kata ni watu 31-50, Tarafa ni watu 51-80, Wilaya ni watu 81-199, na Mkoa ni watu 200-399 ndio ambao humzungumzia na zaidi humkubali huyu mtu.

Sasa kama hivi ndivyo zidisha mara Mikoa tuliyo nayo mara siku 365 mara miaka iliyobaki ili tuingie kwenye uchaguzi halafu jumlisha utendaji wake halafu vile vile toa maadui zake walioanza kurudi kwake bila kushurutishwa then nipe jibu Uraisi ataukosea wapi Nchi hii.......

Baada*ya hesabu hizo sasa fikiri je huyo balaa aliyepewa jina la Richmond kama angetokea mwaka huu ama mwaka kesho Urais Edward angeupata je manake ingemchukua muda sana kutumia busara kama aliyoitumia toka Mwaka 2008 hadi leo. Mwacheni Mungu aitwe Mungu bana......

You know what Edward; Haters hate b'se they hate seeing you DO BETTER!

Karibu *Ikulu Mhe. Edward Ngoyai Lowassa........

Mimi ni atheist .
 
Kama arumeru alibwagwa pamoja na mkwewe ucshangae matokeo yakionesha CCM 25%. CDM 65% WENGNE 8% ZILIZOHARIBIKA 2%
Hapo mtajua huyo ni mchafu tu.
 
Binafsi niungane na wale wasemao kila jambo linapotokea kuna sababu. Zaidi ya hili kuna wasemao apangalo Mungu mwanadamu hawezi kulipangua.

Nasema haya kwa moyo wa dhati kabisa baada ya kukaa na kufikiri dhoruba aliyoipata Mhe. Edward Lowassa mwaka 2008 jambo ambalo wahuni wachache waliamua kulitumia ili kumwaribia heshima yake pamoja na kutaka kumchonganisha yeye na Watanzania.

Ila kwa kuwa Mungu hali ugali wala hanywi uji na kwa kuwa vile vile Mungu si Mwakyembe wala si Sitta hata kabla ya muhusika kuwaeleza Watanzania hali halisi juu tuhuma zile Mungu ameanza kuyadhihirisha haya kwa Watanzania bila shaka yoyote.

Alisema yeye si Mungu wa dhuluma wala si Mungu wa visasi ila yeye ni Mungu wa HAKI kwa watu wake wote na haki yake hiyo ndiyo aliyoanza kuidhihirisha mbele ya jamii na hata kuanza kuonekana kwamba hili jembe na huyu Raisi tumtazamiaye alibebeshwa furushi la misuri lisilomuhusu

Japo amekuwa akilaumiwa sana ila imeendelea kudhihirika kuwa yaliyomfanya kufikia uamuzi ule si mengine bali ni maadili yake aliyofundishwa Chamani na hivyo kuamua kuangikwa msalabani ili kuendelea kukipa heshima Chama chake na viongozi wake.*

Niseme tu Edward si jembe tu bali ni rato, reki, beleshi ni kila kitu. Nimejaribu kutazama tu tena kupitia ktk ile Mikoa inayojifanya eti haimkubali Mikoa ambayo haizidi 9 (na naamini tu hawamkubali Mdomoni ila Moyoni jamaa wanamkubali sana).

Katika hii Mikoa sasa, toka Mwaka 2010 ukianzia ngazi ya Kitongoji kila siku iwayo kwa Mungu watu 5-10 humzungumzia na humkubali sana huyu jamaa, ukienda ngazi ya Kijiji ni watu 11-30, Kata ni watu 31-50, Tarafa ni watu 51-80, Wilaya ni watu 81-199, na Mkoa ni watu 200-399 ndio ambao humzungumzia na zaidi humkubali huyu mtu.

Sasa kama hivi ndivyo zidisha mara Mikoa tuliyo nayo mara siku 365 mara miaka iliyobaki ili tuingie kwenye uchaguzi halafu jumlisha utendaji wake halafu vile vile toa maadui zake walioanza kurudi kwake bila kushurutishwa then nipe jibu Uraisi ataukosea wapi Nchi hii.......

Baada*ya hesabu hizo sasa fikiri je huyo balaa aliyepewa jina la Richmond kama angetokea mwaka huu ama mwaka kesho Urais Edward angeupata je manake ingemchukua muda sana kutumia busara kama aliyoitumia toka Mwaka 2008 hadi leo. Mwacheni Mungu aitwe Mungu bana......

You know what Edward; Haters hate b'se they hate seeing you DO BETTER!

Karibu *Ikulu Mhe. Edward Ngoyai Lowassa........
Hivi mmekwisha wasiliana na Mungu?
Huwa hapendi wizi wala rushwa.
 
lowassa aliniboa tu alipoamua kumsupport his son in law SIOI maana yule asingefaa kua mbunge wa arumeru ukiachia hilo...the rest ninampa big up sana tuu
 
Kuna watu hawana kazi. Eti anakaa chini na kukodolea computer yake kuandika juu ya lowassa. Sio siri wewe humjui lowassa, kwanza nikuulize wewe wa wapi? Maaana sisi wa kwao hatumtaki. Usiandike jambo kama hulijui kwa ndani.
Mwakyembe aliibua Richmond,kwa manufaa ya taifa na EL na JK ndio wahusika wakuu.
Je, kilichufuatia kwa Mwakyembe nini? Wewe unajua na Watanzania wanajua. Tuache ushabiki wa kipumbavu ambao haona hoja za msingi usiokuwa na maana kwa mstakabali wa taifa letu.

Vijana wa kitanzania wamesoma lakni intellectually hamna kitu. Hakuna kitu reasoning. Na hii inanitisha sana kwa taifa letu lijalo.
 
Asante Kama Mimi ni kipofu Sijui nchi inavokwenda lowasa msafi nk. Ila embu JIULIZE kwanza kwanini lowasa hamtaji Richmond ni nani? Anasema kaonewa Ina maana aliye muonea Yuko juu yake au chini yake? Kama ameweza kuficha maovu kwa maslahi ya wachache ndio mtu unayesema anafaa??? Anakufaa wewe Mkuu na ubarikiwe kwa kujua nchi hii Zaidi ya tuijuavo sisi..kifupi nikukumbushe usimdharau usiye mjua huenda Mimi baba yako Kama sio mzazi basi wa kambo Wacha kauli chafu
Hebu sasa leta basi document za kuproove na uende mahakamani ukamshitaki. Mbona unatoa maneno tu ya propaganda?
Acha wewe ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi. Umri wako sio kigezo cha kuropoka na sisi kukaa kimya. Leta evidence au vipi nenda mahakamani la sivyo nitakufananisha na mfuko wa rambo.
 
Binafsi niungane na wale wasemao kila jambo linapotokea kuna sababu. Zaidi ya hili kuna wasemao apangalo Mungu mwanadamu hawezi kulipangua.

Nasema haya kwa moyo wa dhati kabisa baada ya kukaa na kufikiri dhoruba aliyoipata Mhe. Edward Lowassa mwaka 2008 jambo ambalo wahuni wachache waliamua kulitumia ili kumwaribia heshima yake pamoja na kutaka kumchonganisha yeye na Watanzania.

Ila kwa kuwa Mungu hali ugali wala hanywi uji na kwa kuwa vile vile Mungu si Mwakyembe wala si Sitta hata kabla ya muhusika kuwaeleza Watanzania hali halisi juu tuhuma zile Mungu ameanza kuyadhihirisha haya kwa Watanzania bila shaka yoyote.

Alisema yeye si Mungu wa dhuluma wala si Mungu wa visasi ila yeye ni Mungu wa HAKI kwa watu wake wote na haki yake hiyo ndiyo aliyoanza kuidhihirisha mbele ya jamii na hata kuanza kuonekana kwamba hili jembe na huyu Raisi tumtazamiaye alibebeshwa furushi la misuri lisilomuhusu

Japo amekuwa akilaumiwa sana ila imeendelea kudhihirika kuwa yaliyomfanya kufikia uamuzi ule si mengine bali ni maadili yake aliyofundishwa Chamani na hivyo kuamua kuangikwa msalabani ili kuendelea kukipa heshima Chama chake na viongozi wake.*

Niseme tu Edward si jembe tu bali ni rato, reki, beleshi ni kila kitu. Nimejaribu kutazama tu tena kupitia ktk ile Mikoa inayojifanya eti haimkubali Mikoa ambayo haizidi 9 (na naamini tu hawamkubali Mdomoni ila Moyoni jamaa wanamkubali sana).

Katika hii Mikoa sasa, toka Mwaka 2010 ukianzia ngazi ya Kitongoji kila siku iwayo kwa Mungu watu 5-10 humzungumzia na humkubali sana huyu jamaa, ukienda ngazi ya Kijiji ni watu 11-30, Kata ni watu 31-50, Tarafa ni watu 51-80, Wilaya ni watu 81-199, na Mkoa ni watu 200-399 ndio ambao humzungumzia na zaidi humkubali huyu mtu.

Sasa kama hivi ndivyo zidisha mara Mikoa tuliyo nayo mara siku 365 mara miaka iliyobaki ili tuingie kwenye uchaguzi halafu jumlisha utendaji wake halafu vile vile toa maadui zake walioanza kurudi kwake bila kushurutishwa then nipe jibu Uraisi ataukosea wapi Nchi hii.......

Baada*ya hesabu hizo sasa fikiri je huyo balaa aliyepewa jina la Richmond kama angetokea mwaka huu ama mwaka kesho Urais Edward angeupata je manake ingemchukua muda sana kutumia busara kama aliyoitumia toka Mwaka 2008 hadi leo. Mwacheni Mungu aitwe Mungu bana......

You know what Edward; Haters hate b'se they hate seeing you DO BETTER!

Karibu *Ikulu Mhe. Edward Ngoyai Lowassa........
Aaah hii dunia kweli kuna watu na viatu.lowasa?kuwa rais wa tz?kwa lipi jema hasa?watanzania 45milioni tumchague mtu mwenye kashfa ya ufisadi siyo rahisi kihivyo.Nchi hii ni MTIKILA na dk SLAA TU 2015 URAIS
 
Ndugu zngu habari za leo, ni muda kidogo nilikuwa nje ya ulingo, namshukuru Mungu nipo leo tena, wapendwa wapenda amani na maendeleo ya TZ naomba mkae mchunguze ukweli upo wazi, jamani Kagame ni rais ambaye alitokea jeshini na ameifanya nchi yake kuwa kama ilivyo japo ameiongoza kwa mkono wa chuma kwa muda, lkn leo, kila nyumba pale Rwanda wana ng'ombe wa maziwa waliopewa na Rais wao kwa kuwajali watu wake, rwanda leo ina ndege zinazokwenda mpaka dubai zikichukuwa wa TZ jamani nasema tena, wanaochukia huyu Ndugu yetu Lowasa kuwa rais wanampango wao, lkn kwa hapa tulipo nchi inatakiwa kuwa na kiongozi ambaye hata marafiki zake wamuogope, na waogope ikulu na waogope haki ya wa TZ, fikilini eti TANESCO tena kuna ufisadi sababu, wakubwa hawakupewa ten percent kwa ajili ya vikombe vya kwenye nguzo za umeme, jamani haya mpaka lini? Lowasa peke yake ndiyo mtu atakae tufikisha mahala pakuona mwanga na faida ya rasiimali za zetu. Najua watu wengi mtaendelea kutukana au kusema wanao sema ukweli kuhusu huyu jamaa wamehongwa lkn TZ inahitaji mtu ambaye akikohoa wakuu wa mikoa wanaamka wanauliza tuwasaidieje wa TZ, wakuu wa wilaya wawatetemekee wa TZ wanao hitaji misaada ya serikali.
Ukweli ni taa hatakama ikombali utaiona, japo ni njiti ya kiberiti katikati ya giza la nchi yetu itaonekana Lowassa analifaa taifa letu na siyo CCM, porojo siyo ufanisi, najua Dr, anafaa zaidi lkn wakuu wa mikoa wameteuliwa na CCM kwahiyo Lowassa akisema wote wataogopa kz wataifanaya,
samahani kusema san lkn ukweli umenifanya kusema yote.

kwani muda wa kampeni umefika jaman maana sielewi haya mambo!
 
Shondola u made my day,ni kweli daima mioyoni mwetu tutamkumbuka lowasa kwa kasi yake,maamuzi yake, utendaji wake,na uthubutu wake ni mtu wa kusema na kutenda,tuachane na fikra eti membe jamani membe kwa hakika ni dhaifu mara mia mbili kuliko huyu mbayuwayu...lowasa for 2015.
UNANE EMEKA NA UTENDAJI WAKE? TEH TEH
mvua.jpg
 
Siku za mwisho zikikaribia (read 2015). Watakuja manabii wengi wa UONGO kwa jina langu.

Jamani kesheni mkiomba zile siku zilizotabiliwa (read 2015) zinakaribia.
 
Shondola njaa zenu zitawamaliza. Una uhakika na hayo unayosema? Huyo jamaa ni hatari . Baba wa wataifa alikuwa hataki kumsikia kwa sababu alimjua alichokuwa anafanya, yule ni msanii lakini Richmond na yeye walikuwa pamoja; halafu shule yake alisomea kucheze ngome kwa hiyo usanii anupractize hasa mimi siko tayari kutawaliwa na msanii. Mchukue nyumbani kwako mkaribishe chai ucheke nae.
 
anaweza au uthubutu kuthibitisha vyanzo vya utajiri wake?
hata mtoto mdogo anamjua huyu bwana ni fisadi na roho ilimsuta
akichaguliwa na CCM kugombea itakuwa njia nyeupe kwa chadema kuingia ikulu.
ikulu haitaki watu wezi,mafisadi,walafi wa madaraka,
mpeni urais huko umasaini.
ameshakuwa na doa hatufai, CCM ina wengi wazuri zaidi yake ingawa magamba ni magamba
 
Hebu sasa leta basi document za kuproove na uende mahakamani ukamshitaki. Mbona unatoa maneno tu ya propaganda?
Acha wewe ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi. Umri wako sio kigezo cha kuropoka na sisi kukaa kimya. Leta evidence au vipi nenda mahakamani la sivyo nitakufananisha na mfuko wa rambo.



Ushahidi UPI wakati mwenyewe kakiri kosa na akaachia uwaziri Mkuu? Kama Mimi mfuko wa Rambo basi wewe ni used condoms wa LA
 
Back
Top Bottom