Edward Lowassa Richmond kuibuliwa 2008 kama si mapenzi ya Mungu Israel na aseme

Tusiwe maskini wa akili hakuna Aja ya kupoteza muda kujadili uyu fisadi mkuu nchini,kama

Amebeba mazambi ya wengine hata akiwa raisi ataendelea ivyoivyo kubeba mazambi ya wengine,,muogopeni kama ukoma.

Kiswahili lugha ya taifa ndugu yangu. Hebu rekebisha hayo maneno ya rangi nyekundu kisha urudi tena ujieleze ulikuwa unataka kusema nini?
 
kwa hiyo EL nai sawa na zile gari zinapeleka takataka Pugu Kinyamwezi ndipo akabeba mzigo wa Richmond?kwa hiyo alilipwa ngapi?yaani kama DAD WA RIZ ni dreva kaleta ajali halafu hana leseni anamtafuta mwenye leseni BabaMonduli amwuzie kesi?kumbe ndo maana DAD WA RIZ akasema ile songombongo ni ajali ya kisiasa bila kusema majeruhi ni wakina nani?ajali kasababisdha nani na ripoti ya trafiki hakuna?jamani mnajadili wazoa taka ama mnataka Rais?huyo ni dhaifu kipeuo cha nne cha dhaifu aliyepo!
 

Mimi ni atheist .
 
Kama arumeru alibwagwa pamoja na mkwewe ucshangae matokeo yakionesha CCM 25%. CDM 65% WENGNE 8% ZILIZOHARIBIKA 2%
Hapo mtajua huyo ni mchafu tu.
 
Hivi mmekwisha wasiliana na Mungu?
Huwa hapendi wizi wala rushwa.
 
lowassa aliniboa tu alipoamua kumsupport his son in law SIOI maana yule asingefaa kua mbunge wa arumeru ukiachia hilo...the rest ninampa big up sana tuu
 
Kuna watu hawana kazi. Eti anakaa chini na kukodolea computer yake kuandika juu ya lowassa. Sio siri wewe humjui lowassa, kwanza nikuulize wewe wa wapi? Maaana sisi wa kwao hatumtaki. Usiandike jambo kama hulijui kwa ndani.
Mwakyembe aliibua Richmond,kwa manufaa ya taifa na EL na JK ndio wahusika wakuu.
Je, kilichufuatia kwa Mwakyembe nini? Wewe unajua na Watanzania wanajua. Tuache ushabiki wa kipumbavu ambao haona hoja za msingi usiokuwa na maana kwa mstakabali wa taifa letu.

Vijana wa kitanzania wamesoma lakni intellectually hamna kitu. Hakuna kitu reasoning. Na hii inanitisha sana kwa taifa letu lijalo.
 
Hebu sasa leta basi document za kuproove na uende mahakamani ukamshitaki. Mbona unatoa maneno tu ya propaganda?
Acha wewe ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi. Umri wako sio kigezo cha kuropoka na sisi kukaa kimya. Leta evidence au vipi nenda mahakamani la sivyo nitakufananisha na mfuko wa rambo.
 
Aaah hii dunia kweli kuna watu na viatu.lowasa?kuwa rais wa tz?kwa lipi jema hasa?watanzania 45milioni tumchague mtu mwenye kashfa ya ufisadi siyo rahisi kihivyo.Nchi hii ni MTIKILA na dk SLAA TU 2015 URAIS
 

kwani muda wa kampeni umefika jaman maana sielewi haya mambo!
 
UNANE EMEKA NA UTENDAJI WAKE? TEH TEH
 
Siku za mwisho zikikaribia (read 2015). Watakuja manabii wengi wa UONGO kwa jina langu.

Jamani kesheni mkiomba zile siku zilizotabiliwa (read 2015) zinakaribia.
 
Shondola njaa zenu zitawamaliza. Una uhakika na hayo unayosema? Huyo jamaa ni hatari . Baba wa wataifa alikuwa hataki kumsikia kwa sababu alimjua alichokuwa anafanya, yule ni msanii lakini Richmond na yeye walikuwa pamoja; halafu shule yake alisomea kucheze ngome kwa hiyo usanii anupractize hasa mimi siko tayari kutawaliwa na msanii. Mchukue nyumbani kwako mkaribishe chai ucheke nae.
 
anaweza au uthubutu kuthibitisha vyanzo vya utajiri wake?
hata mtoto mdogo anamjua huyu bwana ni fisadi na roho ilimsuta
akichaguliwa na CCM kugombea itakuwa njia nyeupe kwa chadema kuingia ikulu.
ikulu haitaki watu wezi,mafisadi,walafi wa madaraka,
mpeni urais huko umasaini.
ameshakuwa na doa hatufai, CCM ina wengi wazuri zaidi yake ingawa magamba ni magamba
 



Ushahidi UPI wakati mwenyewe kakiri kosa na akaachia uwaziri Mkuu? Kama Mimi mfuko wa Rambo basi wewe ni used condoms wa LA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…