Elections 2015 Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni...

Elections 2015 Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni...

Kitu pekee alichofanya Pasco humu jf, ni kumkubali Lowassa, katika ukweli dhahiri usio na mawaa yoyote kuwa ndani ya CCM, Edward Ngoyai Lowassa, ndie the one and only best presidential candidate CCM has, na ikitokea asipitishwe, then asipitishwe kwa haki, vinginevyo patachimbika!.

......hapo katika bold ..hapo...
 
Mkuu Bucho, CCM ni chama huru, kiko huru kujipangia taratibu zake za kupata viongozi wake kwa uhuru na haki bila kuingiliwa wala kushinikizwa, ila utaratibu huo uwe wa haki!, mfano Sitta alikuwa ni the best speaker this country had ever had apart from Chief Adam Sapi Mkwawa, Sitta akawa mwiba kwa serikali ya CCM, wakataka kumfukuza, wakashtuki chama kitaumia!, wakaamua next speaker lazima awe wa jinsia ya kike!, that was it!.

Vikao vya maamuzi kuhusu utaratibu wa CCM bado havijakaa, wanaweza as well kuamua kwa 2015, CCM imeamua kumsimamisha mgombea kutoka Zanzibar!, au wameamua mgombea awe wa jinsia ya kike!, that will be it!, lakini hawawezi kumuengua Lowasaa kwa mizengwe yoyote na CCM ikabaki Salama!, patajimbika!.

Pasco
Tumeanza lini kutishana, CC ya CCM imesema itakaa mwezi huu kuwaadhibu wote wanaoendelea na kampeni nje ya utaratibu wa chama. Tutulie tuvumilie matokeo!
 
Pasco mkuu nakupa taji kwa kuchanganya na kujichanganya kwa makusudi. Kuwa tu wakwanza kulijuza jamvi kwamba team Lowassa sasa ndani ya PCR (palliative care room) kwasababu kuu tatu . Moja timu hii imegundua kwamba chama hakipo pamoja nao na hii imewekwa wazi na jinsi Lowassa alivyofanyiwa Songea na wakuu wa chama huku hotuba ya JK ikimlenga moja kwa moja. Tathmini ya team Lowassa kwa hotuba ya JK haikufurahisha team na ndio maana sasa mkakati ni kutanganza nia kabla au siku chache baada ya adhabu yake kwisha ili kushinikiza chama kikubali kwa kuuandaa umma.

Pili, ni dhaihiri rais ajaye ni yule ambae hatatiliwa shaka kama ambavyo JK amesema kwenye hotuba Songea na tayari team husika imepigwa nusu-kaputi kwa criteria hii maana mtu wao ndio anayeongoza kwa kuwa na mashaka mengi kupita mgombea yeyote anayetarajiwa. Well labda kamzidi Chenge...sijui. Tatu UKAWA wameamua kutompokea Lowassa endapo atahasi ccm kwasababu kwamba hawataeleweka kwa umma kwa kumpokea mtu waliyemtaja miaka ya nyuma kwamba ni Fisadi Papa. Hii inaondoa plan B ya Lowassa maana team inajikuta ipo kati ya nyundo na jiwe gumu.

Sasa mkuu Pasco amesoma upepo na kutoka na gear ya afya mbaya kana kwamba ubaya wa afya yake umeanza jana.
Mkuu Ugonjwa wa Ukimwi, kwa taarifa yako, chaguo la Kikwete kwa rais ajaye, sio determinant ya nani atakuwa mgombea wa CCM 2015, bali ni persuasive tuu, Mwinyi hakuwa chaguo la Mwalimu, Mkapa hakuwa chaguo la Mwinyi!, Kikwete hakua chaguo la Mkapa!. Determinant ni "wale wapima upepo" kama nia ni CCM kupata ushindi wa kishindo, watapima upepo wananchi wanamtaka nani, jee ni mgombea gani atakayepatia ushindi wa kishindo, then watakielekeza chama ni fulani!.

2005, finalist walikuwa Dr. Salim, Prof. Mwandosya na Jakaya Kikwete, kama ni merits, uwezo, akili na usafi, JK ndie alikuwa mchavu, mzinzi, uwezo duni na kilaza!, lakini ndie aliyekuwa anapendwa, ana sura nzuri, anasmile vizuri, akapitishwa, wale waadilifi, wenye uwezo na briliant brains wakatupwa!. Ndio maana nikasema EL akatwe kwa haki, Ufisadi, Afya sio hoja, hoja ni kukubalika na uwezo tuu!.

Ukawa mpaka sasa hawana mgombea anayekubalika na atakayeuzika kwa urahisi, japo Chadema tayari chaguo lao ni Dr. Slaa, Chadewa wana mtihani mgumu kuwashawishi washirika wao CUF, ambao ni muslim fundamentalists na ma extremist kumkubali ex catholic priest!, CCM wakimtosa EL, akicross into Ukawa, that is the only way wapinzani watakanyaga ikulu ya magogoni na litimie lile neno la Mwalimu "Rais Bora atatoka CCM!", wasiwasi wangu kwa hili CCM inalijua, hivyo wakidhamiria kwa dhati kumchinjia EL baharini, hawatasubiri zoezi la uchukuaji fomu, aje kukipasua chama, watamshungulikia mapema kabla kuhakikisha EL akikatwa, there will be no EL wa ku cross to opposition!, EL nae hili analijua fika kuwa hawezi kuachwa hivi hivi ajiunge Ukawa!, kuliko CCM kumfia mkuu, bora huyo muuaji wa CCM atangulie yeye!, ndio maana EL amemuweka yule 'jamaa' kuwa Mwenyekiti wake wa mipango mkakati!.

Hili la afya mgogoro is just by the look of it with naked eyes, lakini unaweza kabisa kumquat in reality he is as fit as fiddle!, kama Lyatonga Mrema alivyosema jana, japo by the look of him, you can see he is a sick man, mwenyewe kasema haumwi, vyeti vipo, na kaahidi 'hafi mtu!".

Pasco
 
Hii lugha ya patachimbika ni hatali kwa mustakabali wa taifa letu. Kama kweli kachaguliwa na Mungu, kuna binadamu wa kuzuia? Kama Lowasa hatapitishwa, basi ujue kuwa amekataliwa na Mungu
Wahuni na wakora wanafanya njama za kumkata, kamwe Mola hawezi kukubali hilo.... naungana na Pasco na bucho kwamba patachimbika kweli kweli
 
Rais lazima awe na afya imara kutokana na mfumo wa nchi yetu mambo mengi yanategemea utendaji wa rais
Mfumo wa nchi yetu ukoje kwani? tofauti na nchi zingine.... acha kukaririshwa wewe......
 
Pasco,
Hizi Habari kua umejitoa #TeamLowassa na ndio maana siku hizi unamuandika vibaya sababu tu umenyinwa kile cheo alichonacho Abubakar Liongo ni kweli?
Mkuu Shark, sijajitoa Team Lowassa, kwa sababu sijawahi kuwepo Team Lowassa!, huwezi kujitoa mahali ambapo wala hujawahi kuwepo!.

Sio kweli kuwa ninamuandika vibaya Lowassa au kumuandika vibayo yoyote!, chochote ambacho mimi huwa ninaandika, huo ndio huwa ni ukweli wangu, sasa wewe ukiona ni vibaya its up to you!, mfano kila siku ninaundika ukweli huu kuhusu CCM kuwa ni chama kilichooza rushwa from top top to botom, na viongozi wa CCM hakuna msafi!, ila hii CCM ndilo lizimwi lililopo, ambalo tutalichagua tena 2015 simply kwa sababu so far bado hatuna any alternatives!.

Hili la kunyimwa cheo, in my life sijawahi kutafuta cheo chochote hata class monitor!, hadi ndani ya familia yangu, boss ni wife wangu!. Nakuomba tembelea face book page ya Aboubakar Liongo aungalie picha wiki jana tulikuwa nae wapi!. Mimi na Abou ni ndugu wa damu!.

Pasco
 
Katika watu wanaonishawishi sana kuzisoma post zao humu JF Pasco Wewe ni mmoja wao.

Ila nikwambie tuu kuwa bahasha za kaki zinakwaribu broo kwani ukitupiwa bahasha unakimbia jukwani fasta na ukinyimwa bahasha unakuja f
aster. Sasa sijui niseme kuwa leo mamvi kakutosa au vip.

Maana umejichanganya sana kwenye bandiko lako.
 
Katika watu wanaonishawishi sana kuzisoma post zao humu JF Pasco Wewe ni mmoja wao.

Ila nikwambie tuu kuwa bahasha za kaki zinakwaribu broo kwani ukitupiwa bahasha unakimbia jukwani fasta na ukinyimwa bahasha unakuja f
aster. Sasa sijui niseme kuwa leo mamvi kakutosa au vip.

Maana umejichanganya sana kwenye bandiko lako.
Mkuu Eddo Sambai, kwanza asante kukushawishi kunisoma, bahasha za kaki sipokei tena tangu ile 2002 nilipo walk out of newsroom, ila hizo bahasha kwa sasa mimi ndio msambaza!.

Hili la kujichanganya nalo neno, most of the times, kunisoma na kunielewa inakubidi uwe umetulia kichwani, vinginevyo utatoka kapa!.

Pasco
 
Pasco

Pasco hivi mkuu leo unasiku mbaya au? Bandiko lako la mada hii ni tofauti na bandiko hili. You don't stand up to your point. Unakaribia kunipoteza kwenye posts zako.

Just tell us is Lowassa the right person for you irrespective of his health? Is his health problematic to his bid according to you?. Put it differently, does his poor health make him unfit to the post? These were questions that solidified you main point in which you concluded that it was up to God to decide. But after some replies to your main post you seem to refute your own findings. Ohh boy!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pasco heshima kwako
Najua kuwa wewe Ni mwandishi bora kabisa lakini umeutoa wapi upofu wa namna hii kwa lowwasa labda nikwambie tu huyo former spy chief ndo mtu wa mikakati eee subiri majibu utayapata soon
 
Pasco

Naomba nikuulize jambo moja ambalo mara zote sijapata jibu:

Kwa nini huyu EL hajibu mashambulizi yanaoelekezwa kakwe? Haoni kama huo ni udhaifu uliotukuka kwenye siasa za Tazania?

Sitakaa nisahau mwaka 2010 aliposema Dr Slaa anazeeka vibaya kisa Dr Slaa alituhumu TISS kumuibia kura zake!

Hio dhambi itaendelea kumtafuna kila leo!
 
Last edited by a moderator:
Pasco

Naomba nikuulize jambo moja ambalo mara zote sijapata jibu:

Kwa nini huyu EL hajibu mashambulizi yanaoelekezwa kakwe? Haoni kama huo ni udhaifu uliotukuka kwenye siasa za Tazania?

Sitakaa nisahau mwaka 2010 aliposema Dr Slaa anazeeka vibaya kisa Dr Slaa alituhumu TISS kumuibia kura zake!

Hio dhambi itaendelea kumtafuna kila leo!
Silence is the best policy!, kwani baada ya kujiuzulu kwa kashfa ya richmond, iliwahi kumsikia akieleza lolote kuhusu richmond?!.
Subiria tuu kwani kimya kingi kina mshindo mkuu!.

Pasco
 
Back
Top Bottom