Elections 2015 Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni...

Elections 2015 Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni...

...Yule Aliyepangiwa na Mungu!.

Wanabodi,

2015 ndio hii, mimi ni miongoni mwa tuliojibainisha wazi, kumkubali Edward Lowassa as "The One and Only" Best President this country can ever have apart from Nyerere!. Hii haina manna Lowassa ndio lazima awe rais. Rais wa Tanzania kwa 2015 ni yule tuu, aliyepangiwa na Mungu, sio lazima awe ni Lowassa, ila kwa vile Mungu bado hajatuambia amempangia nani, kama aliepangiwa na Mungu ni Edward Lowassa, basi ni lazima awe yeye!.

Nakiri nimekuwa inspred kuandika mada hii, kufuaria mchango wa mwana jf huyu kwenye uzi fulani!

Mkuu So Notorious, kwanza nakubaliana na wewe, Pasco huyu unayemjua sasa ni mshereheshaji tuu wa maonyesho ya Saba Saba na Nanenane, kwa nyie watu wa kisasa. Pasco aliondoka rasmi newroom mwaka 2002 na tangu hapo hajawahi kuajiriwa tena, sasa amebaki kama Mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea. Sasa ili kumjua Pasco, rudisha mawazo yako mwaka 2002 ulikuwa level gani, na kuanzia hapo ndipo turudi nyuma!.

Pasco hajawahi kuwa spokesperson wa Lowassa, hajawahi kufanya kazi yoyote kwa Lowassa, hajawahi kuhudhuria press conference yoyote ya Lowassa, hajawahi kuandika au kuripoti news yoyote ya Lowassa na wala hajawahi kufika Monduli, au kuhudhuria zile sherehe maarufu za Monduli!.

Kitu pekee alichofanya Pasco humu jf, ni kumkubali Lowassa, katika ukweli dhahiri usio na mawaa yoyote kuwa ndani ya CCM, Edward Ngoyai Lowassa, ndie the one and only best presidential candidate CCM has, na ikitokea asipitishwe, then asipitishwe kwa haki, vinginevyo patachimbika!.

Hata hivyo kumkubali kwangu Lowassa, ni personal tuu, tena kwa kujitolea, siko Team Lowassa!, sijawahi kuwepo!, wala sijawahi kupokea hata senti moja kutoka kwa Lowassa!, hivyo hoja ya kumlamba mtu miguu kwangu haipo!, ningekuwa mlamba miguu, ningemlamba Mkapa ambaye mtoto wake nimesoma naye darasa moja sekondari kwa miaka minne!, wakati kwa wengine wote Mkapa ni rais, mimi nimekwenda kwake kama baba fulani!. Ningekuwa ni mtu wa kujikomba komba na kujipendekeza, ningejikomba kwa Riz 1, nimekutana nae UDSM na tunaiva sana, hivyo angenishika mkono anipeleke kwa mshure wake!, why nilambe miguu ya mtu?!. Mimi niko kwenye lile kundi la "Maskini Jeuri" kama kina "Kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!".

Ila pia nina mtu wangu wa karibu kwenye Team Lowassa, hii ndio timu yenye mkono mrefu kuliko team nyingine yoyote so far!. Tatizo langu na timu hii ni moja tuu, hali ya Afya ya Mzee wetu!, kwa vile rais wa Tanzania 2015, ameishachaguliwa na Mungu, then, alilolipanga Mungu, binadamu hawezi kulipangua!, ndio maana kule nyuma Mungu aliwahi kufanya muujiza wa "Jiwe walilolikataa waashi likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", na kuna mtu alielezwa kuwa "Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu, nitalijenga taifa langu!", kwa Tanzania hapa tulipofika, tuna mwamba mmoja tuu, "Mwamba wa Kaskazini!"
Lazima awe!, na asipokuwa basi itakuwa Mungu hakumpangia!, hivyo atakayekuwa rais wetu, 2015, ni yule tuu Mungu aliyempangia!.

Wasalaam!.

Pasco.

well said Pasco,so wote tumshabikia Lowassa tuko c.c.m or after maslahi,wengine tunampenda tu with no reason
 
Last edited by a moderator:
Safari ni hatua, kabla haujapata uhakika wa safari, unatanguliza nia ya kufanya safari, sababu ya safari hiyo ndio matumaini ya safari yako ndipo kisha sasa unatafuta uhakika!.

Lowassa kaweka nia, ana matumaini ya kuondoa Tanzania hii hapa tulipo na kuipeleka kwenye dimensions nyingine. Safari ndio imeanza kuelekea kwenye uhakika wa safari hiyo ambao utatolewa na vikao vya juu vya Chama!.

Pasco

Watu kama ww nilitegemea wathink bigger kumbe ndoroboooo!!
who's this lowasa jmn?? Ushabiki wa kipumbavu huu afadhali tungekuwa wajinga kuliko kuwa wapumbavu!!,
Lowasa lowasa MTU gani anashindwa hata kujenga hoja intellectually?? kazi kuongea subjectively tuu!!
Smart mind zitapima hoja za MTU objectively siyo blaah blaah hapa!!!
Alikua anasubiria uraisi kwa nguvu tangu ajiudhuru sasa akiupata wote waliomkamia kipindi kile atawaswaga!!!
Marafiki & genge lake linalomzunguka la kihuni na matapeli tuu!!
Kwann atumie nguvu nyingi sana kuusaka urais???
Kiongozi bora huombwa kuwaongoza watu kuliko kujipendekeza mwenyew zaidi!!?
NON-ALIGNMENT movement itatusaidia watz, TUACHANENI USHABIKI ZANDIKI nchi ibadilike, LET'S NOT LIVE WITH THE PAST TOMORROW!!!
 
Mkuu Pasco kuna jambo moja umepungukiwa, nalo ni kumsigizia Mungu kwamba atatupangia raisi watz! Nakiri wazi kwamba hili hulitambui kwamba watz hawatapata raisi aliechaguo la Mungu!
Mkuu msnajo simsingizii Mungu, bali hakuna lolote linalojitokea tuu pila kupangwa!, yaani hakuna jipya chini ya jua!, lolote linalotokea liwe zuri au baya, lilikuwa ndilo litokee tena namna hiyo hiyo litakavyotokea!, hiyo yeyote atakayepitishwa kuwa rais wetu, huyo ndiye yule aliyepangwa na Mungu!, anaweza kuwa ni mzuri hivyo Taifa letu likakombolewa na anaweza kuwa ni mbaya hivyo tukawa doomed!.
Mzee Pasco nakuheshim sana, ila kubali kataa sio Lowasaa wala CCM watakaoleta changes ndani ya hii nchi! CCM inatakiwa ikae pembeni kidogo, ione mapungufu na udhaifu wa serikali wanayosimamia, maana kuna uwezekano mkubwa kwamba hawaoni tatizo lao na la watanz kwa ujumla.
Asante kuniheshimu, heshima ni kitu cha bure, hata mimi pia naheshimu wote na ndio maana nikipandisha uzi wowote humu jf, kila atakayechangia uzi wangu, anakula like yangu, haijalishi content ya mchango huo!. hivyo asante kwa heshima!.

Hili la CCM kukaa pembeni, siku nyingi nimelizungumza humu, tatizo ni hatuna mbadala!, CCM ikae pembeni tuache vacuum?!. Unless kama unataka kuniambia CCM ikae pembeni na tuijaribu Chadema!, yaani tuifanye Ikulu yetu ni sehemu ya majaribio!.

Haiwezekan nusu karne ya uhuru, bado wanafunz wetu wanakalia mawe, haiwezekani nusu karne ya uhuru, TZ haijaweza kujtegemea kiuchumi! Mbaya zaidi kuna misamaha ya kodi ya thamani ya trillion moja kwa mwaka, na bado watu tunakaa kimya!!

Mkuu Pasco, tambua CCM ni mfumo, and body within the party can change it! Nchi hii inahitaji maamuzi magum kutoka kwa watz na sio kwa wanasiasa kama wanavyojitapa! Hainiingii akilin mtu anatangaza nia anasema eti atapambana na "ufisadi" wakati alikua na uwezo wa kufanya hivyo from the beginning, kwa nini hakufanya asubiri kuwa raisi!? Huu ni unafiki uliopitiliza na dharau kwa watz!

Ninachowasihi watz, wawapime wagombea wote na historia yao itazamwe kwa kina! Kipaombele cha kwanza kiwe uzalendo na huruma kwa watz! Mtu anakwapua billion 10 anajibu kwa kiburi kuwa ni hela ya mboga, and yet anataka kuwa mwakilishi wa wananchi. Nitashangaa na kusikitika sana nitakapomwona bunge lijalo karudi.

Tukiamua tunaweza, la msingi tuache njaa na kuwa watumwa kiakili!!

Regards to Pasco!
Hili kuhusu CCM imetufanya nini, nimeisha zungumza sana hapa Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.
nimesema
Wanabodi,
Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "ignorants!", vichwa maji kabisa!, vichwani ni weupe!, uwezo wa kufikiri, "logical thinking", ni sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi ya maana, "informed decisions", hali inayopelekea, tunapelekwa pelekwa tuu kama mazuzu!, kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues, na immaterial, ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu, badala ya kudeal na issue zenyewe ambazo ndicho chanzo, kilizopelekea haya yatokanayo, havishungulikiwi, havizungumzwi!, haviguswi!.

Hii ignorance ya Watanzania ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya bunge letu, tuna wabunge ma ignorants mule!, tuna viongozi wetu ma ignorants hadi ndani ya cabinet yetu!, tuna viongozi wa taasisi za umma ma ignorants hadi t, tuna viongozi wetu wa vyombo vya dola ni ma ignotants, na wana jf wengi pia ni ignorants tuu, nikiwemo mimi mwana JF, Pasco wa jf, tofauti na wengi maignorants wenzetu, wanajikalia kimya, hivyo kuificha hiyo ignorance yao, lakini sisi wengine ambao kwa bahati mbaya sana, hatukujaliwa aibu, tunaionyesha hiyo ignorance yetu kwa ku speak out and expressing our minds, tatizo, ni, in so doing, tunajikuta tumewaambukiza ignorance, hata wengine ambao hawakuwa ignorants!. Sorry for this.

Ni kufuatia ignorance hii, Chama cha Mapinduzi, (CCM), kinaitumia ignorance hii ipasavyo kwa kuifanya ndio mtaji wake wa kupatia kura za ushindi, mwaka hadi mwaka, na mwakani tutaichagua tena CCM kwa kuipa ushindi wa kishindo!.

Hisia za kujiuliza, kama sisi ni ma ignorants au tumelogwa, ni kufuatia kuwa na mtazamo, ya kuwa haiwezekani, watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ajabu ajabu kama haya, lakini bado tunaichagua CCM tena na tena!.

Wakati tulipopata uhuru toka kwa mkoloni, tulikuwa na maadui wakuu watatu, ujinga, umasikini na maradhi, lakini hadi leo miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru, sio tuu, wale maadui wakuu watatu bado wapo, bali ujinga umeongezeka mara dufu, umasikini sasa ni uliotopea, na maradhi hadi mengine ni janga, vimeongezeka afadhali ya zamani na enzi za mkoloni, bali pia, tumeongeza idadi ya maadui wakuu, wakiwemo rushwa na ufisadi, ambapo mazao yake ni pamoja na DCP, Deep Green, Meremeta, TanGold, Alex Stewart, EPA, Richimond, na sasa Escrow.

Kitu kizuri cha ajabu kuhusu sisi Watanzania ni kujifanya kupiga kelele sana as if tunauchukia umasikini, ujinga, maradhi, rushwa na ufisadi, lakini sisi wale wale, mwaka hadi mwaka, tunawachagua watu wale wale, chama kile kile, sera zile zile, tukitegemea matokeo tofauti!, hii ni nini kama sio ignorance at the highest levels?!. Keshokutwa tunawapa serikali za mitaa!, mwezi April tuna wapitishia ile "Bora Katiba" kwa kura za ndio za kutosha, na zisipotosha "zitatosheshwa!",na October, 2015, tunamalizia kazi, kwa kuirudisha CCM kwa ushindi wa kishindo!.

Pasco
[/CODE]
Pasco
 
...Yule Aliyepangiwa na Mungu!.

Kwa vile rais wa Tanzania 2015, ameishachaguliwa na Mungu, then, alilolipanga Mungu, binadamu hawezi kulipangua!, ndio maana kule nyuma Mungu aliwahi kufanya muujiza wa "Jiwe walilolikataa waashi likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", na kuna mtu alielezwa kuwa "Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu, nitalijenga taifa langu!", kwa Tanzania hapa tulipofika, tuna mwamba mmoja tuu, "Mwamba wa Kaskazini!"
Lazima awe!, na asipokuwa basi itakuwa Mungu hakumpangia!, hivyo atakayekuwa rais wetu, 2015, ni yule tuu Mungu aliyempangia!.

Wasalaam!.

Pasco.
Nimezisikia hizi tetesi, ndani ya saa 72, nitawaletea majibu!.

Pasco
 
...Yule Aliyepangiwa na Mungu!.

Wanabodi,

2015 ndio hii, mimi ni miongoni mwa tuliojibainisha wazi, kumkubali Edward Lowassa as "The One and Only" Best President this country can ever have apart from Nyerere!, kwa vile Mungu bado hajatuambia amempangia nani, kama aliepangiwa na Mungu ni Edward Lowassa, basi ni lazima awe yeye!.

kwa vile rais wa Tanzania 2015, ameishachaguliwa na Mungu, then, alilolipanga Mungu, binadamu hawezi kulipangua!, ndio maana kule nyuma Mungu aliwahi kufanya muujiza wa "Jiwe walilolikataa waashi likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", na kuna mtu alielezwa kuwa "Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu, nitalijenga taifa langu!", kwa Tanzania hapa tulipofika, tuna mwamba mmoja tuu, "Mwamba wa Kaskazini!"
Lazima awe!, na asipokuwa basi itakuwa Mungu hakumpangia!, hivyo atakayekuwa rais wetu, 2015, ni yule tuu Mungu aliyempangia!.

Wasalaam!.

Pasco.
Nilikuwa nalipitia hili bandiko kwenye mukhtadha wa haya madiliko ya Lowassa kuhamia Chadema, nikalikuta bado liko valid hadi October 25!.

Lowassa took a great risk kuhama kutoka CCM, the greater the risk, the greater the rewards!.

Natoa wito kwa wanabodi, mliweke bandiko hili kwenye kumbukumbu yenu, baada ya October tukumbushane,

Mwacheni Mungu aitwe Mungu!, Rais wa Tanzania kwa Awamu ya 5, ni Edwrad Ngoyai Lowassa!.

Pasco.
 

Nilikuwa nalipitia hili bandiko kwenye mukhtadha wa haya madiliko ya Lowassa kuhamia Chadema, nikalikuta bado liko valid hadi October 25!.

Lowassa took a great risk kuhama kutoka CCM, the greater the risk, the greater the rewards!.

Natoa wito kwa wanabodi, mliweke bandiko hili kwenye kumbukumbu yenu, baada ya October tukumbushane,

Mwacheni Mungu aitwe Mungu!, Rais wa Tanzania kwa Awamu ya 5, ni Edwrad Ngoyai Lowassa!.

Pasco.

Bandiko liongezewe neno hili The guy in the list of SHAME be a HERO aka FISADI AWA MFALME
 
...Yule Aliyepangiwa na Mungu!.

Wanabodi,

2015 ndio hii, mimi ni miongoni mwa tuliojibainisha wazi, kumkubali Edward Lowassa as "The One and Only" Best President this country can ever have apart from Nyerere!. Hii haina manna Lowassa ndio lazima awe rais. Rais wa Tanzania kwa 2015 ni yule tuu, aliyepangiwa na Mungu, sio lazima awe ni Lowassa, ila kwa vile Mungu bado hajatuambia amempangia nani, kama aliepangiwa na Mungu ni Edward Lowassa, basi ni lazima awe yeye!.

Nakiri nimekuwa inspred kuandika mada hii, kufuaria mchango wa mwana jf huyu kwenye uzi fulani!

Mkuu So Notorious, kwanza nakubaliana na wewe, Pasco huyu unayemjua sasa ni mshereheshaji tuu wa maonyesho ya Saba Saba na Nanenane, kwa nyie watu wa kisasa. Pasco aliondoka rasmi newroom mwaka 2002 na tangu hapo hajawahi kuajiriwa tena, sasa amebaki kama Mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea. Sasa ili kumjua Pasco, rudisha mawazo yako mwaka 2002 ulikuwa level gani, na kuanzia hapo ndipo turudi nyuma!.

Pasco hajawahi kuwa spokesperson wa Lowassa, hajawahi kufanya kazi yoyote kwa Lowassa, hajawahi kuhudhuria press conference yoyote ya Lowassa, hajawahi kuandika au kuripoti news yoyote ya Lowassa na wala hajawahi kufika Monduli, au kuhudhuria zile sherehe maarufu za Monduli!.

Kitu pekee alichofanya Pasco humu jf, ni kumkubali Lowassa, katika ukweli dhahiri usio na mawaa yoyote kuwa ndani ya CCM, Edward Ngoyai Lowassa, ndie the one and only best presidential candidate CCM has, na ikitokea asipitishwe, then asipitishwe kwa haki, vinginevyo patachimbika!.

Hata hivyo kumkubali kwangu Lowassa, ni personal tuu, tena kwa kujitolea, siko Team Lowassa!, sijawahi kuwepo!, wala sijawahi kupokea hata senti moja kutoka kwa Lowassa!, hivyo hoja ya kumlamba mtu miguu kwangu haipo!, ningekuwa mlamba miguu, ningemlamba Mkapa ambaye mtoto wake nimesoma naye darasa moja sekondari kwa miaka minne!, wakati kwa wengine wote Mkapa ni rais, mimi nimekwenda kwake kama baba fulani!. Ningekuwa ni mtu wa kujikomba komba na kujipendekeza, ningejikomba kwa Riz 1, nimekutana nae UDSM na tunaiva sana, hivyo angenishika mkono anipeleke kwa mshure wake!, why nilambe miguu ya mtu?!. Mimi niko kwenye lile kundi la "Maskini Jeuri" kama kina "Kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!".

Ila pia nina mtu wangu wa karibu kwenye Team Lowassa, hii ndio timu yenye mkono mrefu kuliko team nyingine yoyote so far!. Tatizo langu na timu hii ni moja tuu, hali ya Afya ya Mzee wetu!, kwa vile rais wa Tanzania 2015, ameishachaguliwa na Mungu, then, alilolipanga Mungu, binadamu hawezi kulipangua!, ndio maana kule nyuma Mungu aliwahi kufanya muujiza wa "Jiwe walilolikataa waashi likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", na kuna mtu alielezwa kuwa "Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu, nitalijenga taifa langu!", kwa Tanzania hapa tulipofika, tuna mwamba mmoja tuu, "Mwamba wa Kaskazini!"
Lazima awe!, na asipokuwa basi itakuwa Mungu hakumpangia!, hivyo atakayekuwa rais wetu, 2015, ni yule tuu Mungu aliyempangia!.

Wasalaam!.

Pasco.

We ushasema lazina awe afu unasema asipokuwa yeye Mungu hajapanga. So unamlazimisha Mungu?
 
We ushasema lazina awe afu unasema asipokuwa yeye Mungu hajapanga. So unamlazimisha Mungu?
Mkuu All TRUTH, kuelewa nako kuna levels, nakushauri soma tena na tena na tena, kama bado hujaelewa, rudi hapa tutakusaidia kukuelewesha!.

Kusoma huku umetulia na kutafakari, kutakusaidia kuboresha kiwango cha uelewa wako, ila kama kutokuelewa kwako ni levels za uelewa, then hakuna jinsi, bali tutalazimika kukusaidia kukuelewesha!.

Pole!.

Pasco
 
Kama Mungu atatupangia rais mwenye tuhuma za wizi tangu ujana wake, na tena mgonjwa..huyo Mungu atakuwa mwenyekiti wa CCM anaekutana na wezi kwenye kiti cha enzi (ikulu)

Nimecheka kwa sauti mie ......ahsante kwa kunichekesha mkuu
 
Mkuu Shark, ukweli ndio huo!, ni kweli team EL sio ina hela, bali in a mihela!, na mimi lazima nikiri, Pasco ni masikini wa kutupa!, ila kuna aina mbalimbali za masikini, na fedha sio kila kitu!, mimi ni ile type ya masikini tunaitwa masikini jeuri!, yaani ninakaa na jirani tajiri, jirani yangu anatupa mkate jalalani nje kwangu, huku mimi sina chakula kabisa!, kuliko kuuokota huo mkate, ni bora nitalala na njaa yangu. Sisi ndio tunaitwa masikini jeuri!, nilikuwa na access na Mkapa, ningemtumia kutoka, lakini sijamtumia!, nina access na JK, simtumii, naendelea na maisha yangu kwenye lindi la umasikini wa kutupa uliotopea, but I'm happy kuliko kuwa ombaomba tajiri!.

Watu wa aina yangu tupo, tena tupo wengi tuu!.

Pasco.

Kwanza kabisa kupitia uzi huuu nikiri tu na kusema ndio nimeelewa kuwa kumbe wewe ni Pasco wa PPR.
Anyway, tuyaache hayo. Nikija kwenye huu uzi nilipopigia mistari humo ndio kunakonipa ukakasi.
Leo hii wewe Pasco kusema kuwa wewe ni maskini wa kutupa nakataa kukubaliana na wewe hata uainishe vipi aina za umaskini unazozijua. Nadhani hujatembea kiasi cha kutosha Tanzania hii kujionea maskini wa kutupa wanafananaje ingawa 7 7 inafanyika mara kwa mara Dar es Salaam na Nane Nane inafanyika Dodoma na Lindi bila kusahau miko mingine kama Morogoro na Arusha, hakika kwa ushereheshaji wako wa matukio haya lazima utakuwa ushapata nafasi ya kutembelea sehemu hizi. Sitaki kuzichambua aina za umaskini lakini kwa hili la wewe kujiita "maskini wa kutupa" naomba urudi magotini ukamuombe Mungu msamaha kwa kuendana kinyume na uhalisia wa maisha yako.

Pili nadhani nimejibu katika kipindi tofauti na mda ulioandika uzi huu. Wakati unaandika uzi huu kilikuwa ni kipindi ambapo Lowassa bado alikuwa CCM na sasa hali ya kisiasa imebadilika kwa kiasi kikubwa na sasa Lowassa yuko UKAWA kwa tiketi ya CDM. Sijui umeliangaliaje hili kwa mapana yake.

Tukutane Nane Nane Dodoma pale wiki ijayo tutaongea mengi zaidi baada ya mahojiano ya TV
 
Last edited by a moderator:

Kitu pekee alichofanya Pasco humu jf, ni kumkubali Lowassa, katika ukweli dhahiri usio na mawaa yoyote kuwa ndani ya CCM, Edward Ngoyai Lowassa, ndie the one and only best presidential candidate CCM has, na ikitokea asipitishwe, then asipitishwe kwa haki, vinginevyo patachimbika!.
Wasalaam!.
Pasco.
Tulipoitahadharisha CCM kutenda haki, vinginevyo 'patachimbika!', tulibezwa sana humu!, leo Mwenyekiti wa CCM Arusha amehamia Chadema, huku ndiko kuchimbika kwenyewe!, sasa ni rasmi kuwa mkoa wote wa Arusha mzima mzima ni Chadema!, CCM haiwezi tena kushinda hata udiwani!, na huu ni mwanzo tuu, kilele ni tarehe 25 October, pale Utukufu wa Mungu, utakapodhihirishwa kwa Tanzania, kwa 'jiwe walilolikataa waashi, litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!.

Jumapili Njema.

Pasco
 
Mimi nilisema sio lazima Lowassa, wasikilizeni hawa wanasema nini?
Dalili za anguko la ccm na mabadiliko yaliyotabiriwa zinamwangukia LOWASA kama shujaa alyeandaliwa ktk mabadiliko hayo.
binadam wanatabia ya kupuuza utabir na kutoamn mpaka jambo litokee,hata mm mwanzon skuamn hata kidogo kama hili ndo linaweza kuwa ndo anguko kuu la ccm lililotabiriwa na hayati baba wa taifa,Julius Kambarage Nyerere.
Nmemtafakar sana lowasa alpoanzia na misukosuko ilyompata na wakati wote ktk vpind hvo alvojeruhiwa amekuwa akipita salama,nafkr nguvu ya mabadiliko alyoyabeba ndo yamekuwa yakimuchelewesha na wakati wake umefka sasa.
ukiunganisha dot zote za utabir kuanzia Nyerere alvotabir mabadiliko,TB joshua juu ya Lowasa,Mchungaj alyesema kama lowasa hatakuwa Rais auwawe,Sheikh yahaya kuhusu Lowasa 2015,Askofu kakobe juu ya anguko kuu la ccm 2015 Namna ambavyo ukawa imezaliwa na kuweza kudumu mpaka wakati huu wa uchaguz,na ngao alyoibeba ya mabadiliko iliyoaandaliwa na chadema mda mrefu ya M4C (Movement for Change) .dalil za CCM kuanza kulalamika,kuparanganyika na kuamua kutumia matus na kashifa juu ya Lowasa ni dalili za kushindwa mwaka huu.DALILI ZOTE ZINAONESHA NI LOWASA.
 
...Yule Aliyepangiwa na Mungu!.

Wanabodi,

2015 ndio hii, mimi ni miongoni mwa tuliojibainisha wazi, kumkubali Edward Lowassa as "The One and Only" Best President this country can ever have apart from Nyerere!. Hii haina manna Lowassa ndio lazima awe rais. Rais wa Tanzania kwa 2015 ni yule tuu, aliyepangiwa na Mungu, sio lazima awe ni Lowassa, ila kwa vile Mungu bado hajatuambia amempangia nani, kama aliepangiwa na Mungu ni Edward Lowassa, basi ni lazima awe yeye!.

Nakiri nimekuwa inspred kuandika mada hii, kufuaria mchango wa mwana jf huyu kwenye uzi fulani!

Mkuu So Notorious, kwanza nakubaliana na wewe, Pasco huyu unayemjua sasa ni mshereheshaji tuu wa maonyesho ya Saba Saba na Nanenane, kwa nyie watu wa kisasa. Pasco aliondoka rasmi newroom mwaka 2002 na tangu hapo hajawahi kuajiriwa tena, sasa amebaki kama Mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea. Sasa ili kumjua Pasco, rudisha mawazo yako mwaka 2002 ulikuwa level gani, na kuanzia hapo ndipo turudi nyuma!.

Pasco hajawahi kuwa spokesperson wa Lowassa, hajawahi kufanya kazi yoyote kwa Lowassa, hajawahi kuhudhuria press conference yoyote ya Lowassa, hajawahi kuandika au kuripoti news yoyote ya Lowassa na wala hajawahi kufika Monduli, au kuhudhuria zile sherehe maarufu za Monduli!.

Kitu pekee alichofanya Pasco humu jf, ni kumkubali Lowassa, katika ukweli dhahiri usio na mawaa yoyote kuwa ndani ya CCM, Edward Ngoyai Lowassa, ndie the one and only best presidential candidate CCM has, na ikitokea asipitishwe, then asipitishwe kwa haki, vinginevyo patachimbika!.

Hata hivyo kumkubali kwangu Lowassa, ni personal tuu, tena kwa kujitolea, siko Team Lowassa!, sijawahi kuwepo!, wala sijawahi kupokea hata senti moja kutoka kwa Lowassa!, hivyo hoja ya kumlamba mtu miguu kwangu haipo!, ningekuwa mlamba miguu, ningemlamba Mkapa ambaye mtoto wake nimesoma naye darasa moja sekondari kwa miaka minne!, wakati kwa wengine wote Mkapa ni rais, mimi nimekwenda kwake kama baba fulani!. Ningekuwa ni mtu wa kujikomba komba na kujipendekeza, ningejikomba kwa Riz 1, nimekutana nae UDSM na tunaiva sana, hivyo angenishika mkono anipeleke kwa mshure wake!, why nilambe miguu ya mtu?!. Mimi niko kwenye lile kundi la "Maskini Jeuri" kama kina "Kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!".

Ila pia nina mtu wangu wa karibu kwenye Team Lowassa, hii ndio timu yenye mkono mrefu kuliko team nyingine yoyote so far!. Tatizo langu na timu hii ni moja tuu, hali ya Afya ya Mzee wetu!, kwa vile rais wa Tanzania 2015, ameishachaguliwa na Mungu, then, alilolipanga Mungu, binadamu hawezi kulipangua!, ndio maana kule nyuma Mungu aliwahi kufanya muujiza wa "Jiwe walilolikataa waashi likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", na kuna mtu alielezwa kuwa "Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu, nitalijenga taifa langu!", kwa Tanzania hapa tulipofika, tuna mwamba mmoja tuu, "Mwamba wa Kaskazini!"
Lazima awe!, na asipokuwa basi itakuwa Mungu hakumpangia!, hivyo atakayekuwa rais wetu, 2015, ni yule tuu Mungu aliyempangia!.

Wasalaam!.

Pasco.
Lowassa ndie raisi wa awamu ya 5 wa JMT iwe Mungu amepanga au la
 
Back
Top Bottom