Elections 2015 Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni...

Elections 2015 Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni...

Mwisho wa Rais muhuni na mwizi katika ikulu yetu ni huyu aliyepo sasa. Tunataka kurudisha utakatifu wa ikulu. Lowasa hana nafasi maana ni mwizi mwingine.
 
Twende nae huyu ndio mwenyewe anafaa hakuna mwingine zaidi yake

Mimi nakwenda na huyu hapa......... ImageUploadedByJamiiForums1423412962.941224.jpgImageUploadedByJamiiForums1423413009.357391.jpg
 
Akawe raisi wa Monduri lakini si kwa nchi yetu,never ever!
 
Bobani umenena sana BASHE NA GENGE LAKE WANATAKA KUUZA NCHI
Mwl. Nyerere,,,,,HAKUNA MTANZANIA ANAYE WEZA KUNUNUA WATU KABLA YA YEYE KUWA AMENUNULIWA.

haya maneno ya kuuza nchi yapo tangu enz za mkoloni na bado nchi ipo. Propaganda tu hizi.
 
We mburula kweli nimekosa cha kuandika kwani huoni nimesema kuwa Lowasa ni fisadi mimi siendi naye mie nahitaji kiongozi mzalendo na mwenye mipango ya kuwaletee maendeleo watanzania siyo fisadi kama Lowasa.

neno fisadi limekukaa kichwani kama konda na vituo, twende kazi.
 
Ni ukweli ulio wazi bila kificho, kwa hali ilivyo sasa ukiweka unafikiri, uzushi, kejeli, matusi, kashfa pembeni Edward Lowassa ndiye chaguo la wengi isipokuwa wachache tu.

Kwa hali ilivyo, Lowassa ni raisi hata bila kuwepo na kupigiwa kura wala kampeni. Napredict BIG IMPACT endapo chama cha mapinduzi hakitampitisha kupeperusha bendera ya ccm.

Enyi ccm na wanaccm, mpetisheni Lowassa kwani ni chaguo la wananchi wengi bila kujali ushabiki wa vyama vyao. Hata wapinzani wanakiri hawana ubavu wa kupambana nae katika uraisi.

Twende na Lowassa 2015.com

chaguo la wengi chaguo la wengi maana yake nini hata khanga yenye maua mazuri wengi wanaitaka aende upinzani
 
....kwani malinzi amemaliza muda wake ? au uraisi gani...
 
Mkuu Ugonjwa wa Ukimwi, kwa taarifa yako, chaguo la Kikwete kwa rais ajaye, sio determinant ya nani atakuwa mgombea wa CCM 2015, bali ni persuasive tuu, Mwinyi hakuwa chaguo la Mwalimu, Mkapa hakuwa chaguo la Mwinyi!, Kikwete hakua chaguo la Mkapa!. Determinant ni "wale wapima upepo" kama nia ni CCM kupata ushindi wa kishindo, watapima upepo wananchi wanamtaka nani, jee ni mgombea gani atakayepatia ushindi wa kishindo, then watakielekeza chama ni fulani!.

2005, finalist walikuwa Dr. Salim, Prof. Mwandosya na Jakaya Kikwete, kama ni merits, uwezo, akili na usafi, JK ndie alikuwa mchavu, mzinzi, uwezo duni na kilaza!, lakini ndie aliyekuwa anapendwa, ana sura nzuri, anasmile vizuri, akapitishwa, wale waadilifi, wenye uwezo na briliant brains wakatupwa!. Ndio maana nikasema EL akatwe kwa haki, Ufisadi, Afya sio hoja, hoja ni kukubalika na uwezo tuu!.

Ukawa mpaka sasa hawana mgombea anayekubalika na atakayeuzika kwa urahisi, japo Chadema tayari chaguo lao ni Dr. Slaa, Chadewa wana mtihani mgumu kuwashawishi washirika wao CUF, ambao ni muslim fundamentalists na ma extremist kumkubali ex catholic priest!, CCM wakimtosa EL, akicross into Ukawa, that is the only way wapinzani watakanyaga ikulu ya magogoni na litimie lile neno la Mwalimu "Rais Bora atatoka CCM!", wasiwasi wangu kwa hili CCM inalijua, hivyo wakidhamiria kwa dhati kumchinjia EL baharini, hawatasubiri zoezi la uchukuaji fomu, aje kukipasua chama, watamshungulikia mapema kabla kuhakikisha EL akikatwa, there will be no EL wa ku cross to opposition!, EL nae hili analijua fika kuwa hawezi kuachwa hivi hivi ajiunge Ukawa!, kuliko CCM kumfia mkuu, bora huyo muuaji wa CCM atangulie yeye!, ndio maana EL amemuweka yule 'jamaa' kuwa Mwenyekiti wake wa mipango mkakati!.

Hili la afya mgogoro is just by the look of it with naked eyes, lakini unaweza kabisa kumquat in reality he is as fit as fiddle!, kama Lyatonga Mrema alivyosema jana, japo by the look of him, you can see he is a sick man, mwenyewe kasema haumwi, vyeti vipo, na kaahidi 'hafi mtu!".

Pasco

Hizo zote ni hisia na unadhani Lowassa akitupwa na kwenda upinzani then ameshashinda ila nakukumbusha anaweza kwenda upinzani na CCM ikamsimamisha mtu anayekubalika kama Magufuli ambaye naamini hata team Lowassa wanajua ni kizingiti kwao. Na kosa kwenye kampeni za Lowassa ni kudhani pesa pekee ndio muhimili wa kupata urais na kudhani akishapitishwa na CCM ndio kazi imeisha.
Naomba nikueleze siasa zimeshabadilika CCM lazima wawe na mgombea ambaye atawapa wabunge wa kutosha (anayekubalika kwa wananchi) na ukiangalia Lowassa wapambe wake wengi ni waliochafuka kwenye maeneo wanayotoka kama akina Chenge.
Hii inamaana wasipokuwa makini na kudhani wameshapata urais watajuta na utawala unaweza kumshinda kwani idadi ya wabunge ikiwa chache hataweza kutawala hapo ndio hasa Magufuli amewazidi nguvu wengine kwani ndio mtu pekee CCM anayeweza kunadi wagombea na wakakubalika kwa wananchi.
Kitu kingine ni mfumo wa maisha yetu na fikra za wananchi huwa ni negative kwa matajiri, pale mtu anapojinadi ni tajiri tayari kwenye jamii anaonekana ni adui na mwizi hata kama ni pesa halali. Ukutaka kushinda kwenye siasa zetu kuwa mnyenyekevu kuliko kuonyesha utajiri
 
...Yule Aliyepangiwa na Mungu!.

Wanabodi,

2015 ndio hii, mimi ni miongoni mwa tuliojibainisha wazi, kumkubali Edward Lowassa as "The One and Only" Best President this country can ever have apart from Nyerere!. Hii haina manna Lowassa ndio lazima awe rais. Rais wa Tanzania kwa 2015 ni yule tuu, aliyepangiwa na Mungu, sio lazima awe ni Lowassa, ila kwa vile Mungu bado hajatuambia amempangia nani, kama aliepangiwa na Mungu ni Edward Lowassa, basi ni lazima awe yeye!.

Nakiri nimekuwa inspred kuandika mada hii, kufuaria mchango wa mwana jf huyu kwenye uzi fulani!

Mkuu So Notorious, kwanza nakubaliana na wewe, Pasco huyu unayemjua sasa ni mshereheshaji tuu wa maonyesho ya Saba Saba na Nanenane, kwa nyie watu wa kisasa. Pasco aliondoka rasmi newroom mwaka 2002 na tangu hapo hajawahi kuajiriwa tena, sasa amebaki kama Mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea. Sasa ili kumjua Pasco, rudisha mawazo yako mwaka 2002 ulikuwa level gani, na kuanzia hapo ndipo turudi nyuma!.

Pasco hajawahi kuwa spokesperson wa Lowassa, hajawahi kufanya kazi yoyote kwa Lowassa, hajawahi kuhudhuria press conference yoyote ya Lowassa, hajawahi kuandika au kuripoti news yoyote ya Lowassa na wala hajawahi kufika Monduli, au kuhudhuria zile sherehe maarufu za Monduli!.

Kitu pekee alichofanya Pasco humu jf, ni kumkubali Lowassa, katika ukweli dhahiri usio na mawaa yoyote kuwa ndani ya CCM, Edward Ngoyai Lowassa, ndie the one and only best presidential candidate CCM has, na ikitokea asipitishwe, then asipitishwe kwa haki, vinginevyo patachimbika!.

Hata hivyo kumkubali kwangu Lowassa, ni personal tuu, tena kwa kujitolea, siko Team Lowassa!, sijawahi kuwepo!, wala sijawahi kupokea hata senti moja kutoka kwa Lowassa!, hivyo hoja ya kumlamba mtu miguu kwangu haipo!, ningekuwa mlamba miguu, ningemlamba Mkapa ambaye mtoto wake nimesoma naye darasa moja sekondari kwa miaka minne!, wakati kwa wengine wote Mkapa ni rais, mimi nimekwenda kwake kama baba fulani!. Ningekuwa ni mtu wa kujikomba komba na kujipendekeza, ningejikomba kwa Riz 1, nimekutana nae UDSM na tunaiva sana, hivyo angenishika mkono anipeleke kwa mshure wake!, why nilambe miguu ya mtu?!. Mimi niko kwenye lile kundi la "Maskini Jeuri" kama kina "Kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!".

Ila pia nina mtu wangu wa karibu kwenye Team Lowassa, hii ndio timu yenye mkono mrefu kuliko team nyingine yoyote so far!. Tatizo langu na timu hii ni moja tuu, hali ya Afya ya Mzee wetu!, kwa vile rais wa Tanzania 2015, ameishachaguliwa na Mungu, then, alilolipanga Mungu, binadamu hawezi kulipangua!, ndio maana kule nyuma Mungu aliwahi kufanya muujiza wa "Jiwe walilolikataa waashi likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", na kuna mtu alielezwa kuwa "Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu, nitalijenga taifa langu!", kwa Tanzania hapa tulipofika, tuna mwamba mmoja tuu, "Mwamba wa Kaskazini!"
Lazima awe!, na asipokuwa basi itakuwa Mungu hakumpangia!, hivyo atakayekuwa rais wetu, 2015, ni yule tuu Mungu aliyempangia!.

Wasalaam!.

Pasco.

Mafisadi wajiandaa kuchafua Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake: Taarifa tulizozipata zisizotiliwa shaka ,Ni kwamba Genge la Mafisadi likiongozwa na baadhi ya wahariri na kijana mmoja Mwenye asili ya Kisomali anayetoka kanda ya Ziwa,limejipanga kwa vita ya kuanza kuwachafua, baadhi ya viongozi wa chama na waasisi wa Taifa hili ikiwemo Familia ya mwalimu Nyerere.

Mkakati huo ni mahususi kwa ajili ya kuhakikisha kila anayejiandaa kuchukua fomu kupambana na mgombea wao anachafuliwa kama alivyochafuka Mzee wao anayetaka Urais kwa udi na uvumba.Baadhi ya vijana hao wamepanga kuendesha mkakati huo kupitia Mitandaoni na baadhi ya Wahariri,akiwemo Mhariri aliyeshambuliwa miaka miwili iliyopita na kwenda kutibiwa Afrika kusini.

Wataanza kuendesha mkakati huo kuanzia Jumatatu hii kwa kutumia vyombo vya habari vinavyomilikiwa na mafisadi hao. Hasira hizo zimekuja baada ya JK kutamka CCM haitompitisha mgombea yeyote mwenye doa,hii ni hatari sana!
Nawasilisha,
UKANA SHILUNGO.
 
hizo zote ni hisia na unadhani lowassa akitupwa na kwenda upinzani then ameshashinda ila nakukumbusha anaweza kwenda upinzani na ccm ikamsimamisha mtu anayekubalika kama magufuli ambaye naamini hata team lowassa wanajua ni kizingiti kwao. Na kosa kwenye kampeni za lowassa ni kudhani pesa pekee ndio muhimili wa kupata urais na kudhani akishapitishwa na ccm ndio kazi imeisha.
Naomba nikueleze siasa zimeshabadilika ccm lazima wawe na mgombea ambaye atawapa wabunge wa kutosha (anayekubalika kwa wananchi) na ukiangalia lowassa wapambe wake wengi ni waliochafuka kwenye maeneo wanayotoka kama akina chenge.
Hii inamaana wasipokuwa makini na kudhani wameshapata urais watajuta na utawala unaweza kumshinda kwani idadi ya wabunge ikiwa chache hataweza kutawala hapo ndio hasa magufuli amewazidi nguvu wengine kwani ndio mtu pekee ccm anayeweza kunadi wagombea na wakakubalika kwa wananchi.
Kitu kingine ni mfumo wa maisha yetu na fikra za wananchi huwa ni negative kwa matajiri, pale mtu anapojinadi ni tajiri tayari kwenye jamii anaonekana ni adui na mwizi hata kama ni pesa halali. Ukutaka kushinda kwenye siasa zetu kuwa mnyenyekevu kuliko kuonyesha utajiri

usijidanganye ndugu yangu hata huyo magufuli knows huyu leigwenan ndiye anayehitajika na wananchi, huu siyo wakati kujifariji bali ni wasaa wa kung'ata jongoo kwa meno na kuweka kinyaa pembeni. Ccm inajua hivyo na wamejiandaa.

Kingunge alichofanya ni ni kuua unafiki na double standard ndani ya baraza la wazee, ile ilikuwa ni turufu ya wakubwa kutaka kuwatumia wazee kuhalalisha agenda yao huku wakijivua lawama....

Ndani ya ccm hakuna aliye juu zaidi ya ccm....na hali inawataka wote watambue jamii ili iirudishe ccm madaraka ni nani wanayemtaka bila bila kupepesa macho....

Acheni masihara ktk kulinda maslahi ya chama chetu, kama wakati wako umeisha kubali kuwapisha wengine kwa manufaa ya chama chetu na wananchi.

Anayepingana na hili haitakii mema ccm na wananchi walio wengi.

Pamoja na lowassa tutavuka tu 2015
 
...Yule Aliyepangiwa na Mungu!.

Wanabodi,

2015 ndio hii, mimi ni miongoni mwa tuliojibainisha wazi, kumkubali Edward Lowassa as "The One and Only" Best President this country can ever have apart from Nyerere!. Hii haina manna Lowassa ndio lazima awe rais. Rais wa Tanzania kwa 2015 ni yule tuu, aliyepangiwa na Mungu, sio lazima awe ni Lowassa, ila kwa vile Mungu bado hajatuambia amempangia nani, kama aliepangiwa na Mungu ni Edward Lowassa, basi ni lazima awe yeye!.

Nakiri nimekuwa inspred kuandika mada hii, kufuaria mchango wa mwana jf huyu kwenye uzi fulani!

Mkuu So Notorious, kwanza nakubaliana na wewe, Pasco huyu unayemjua sasa ni mshereheshaji tuu wa maonyesho ya Saba Saba na Nanenane, kwa nyie watu wa kisasa. Pasco aliondoka rasmi newroom mwaka 2002 na tangu hapo hajawahi kuajiriwa tena, sasa amebaki kama Mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea. Sasa ili kumjua Pasco, rudisha mawazo yako mwaka 2002 ulikuwa level gani, na kuanzia hapo ndipo turudi nyuma!.

Pasco hajawahi kuwa spokesperson wa Lowassa, hajawahi kufanya kazi yoyote kwa Lowassa, hajawahi kuhudhuria press conference yoyote ya Lowassa, hajawahi kuandika au kuripoti news yoyote ya Lowassa na wala hajawahi kufika Monduli, au kuhudhuria zile sherehe maarufu za Monduli!.

Kitu pekee alichofanya Pasco humu jf, ni kumkubali Lowassa, katika ukweli dhahiri usio na mawaa yoyote kuwa ndani ya CCM, Edward Ngoyai Lowassa, ndie the one and only best presidential candidate CCM has, na ikitokea asipitishwe, then asipitishwe kwa haki, vinginevyo patachimbika!.

Hata hivyo kumkubali kwangu Lowassa, ni personal tuu, tena kwa kujitolea, siko Team Lowassa!, sijawahi kuwepo!, wala sijawahi kupokea hata senti moja kutoka kwa Lowassa!, hivyo hoja ya kumlamba mtu miguu kwangu haipo!, ningekuwa mlamba miguu, ningemlamba Mkapa ambaye mtoto wake nimesoma naye darasa moja sekondari kwa miaka minne!, wakati kwa wengine wote Mkapa ni rais, mimi nimekwenda kwake kama baba fulani!. Ningekuwa ni mtu wa kujikomba komba na kujipendekeza, ningejikomba kwa Riz 1, nimekutana nae UDSM na tunaiva sana, hivyo angenishika mkono anipeleke kwa mshure wake!, why nilambe miguu ya mtu?!. Mimi niko kwenye lile kundi la "Maskini Jeuri" kama kina "Kozi mwana mandanda, kulala njaa kupenda!".

Ila pia nina mtu wangu wa karibu kwenye Team Lowassa, hii ndio timu yenye mkono mrefu kuliko team nyingine yoyote so far!. Tatizo langu na timu hii ni moja tuu, hali ya Afya ya Mzee wetu!, kwa vile rais wa Tanzania 2015, ameishachaguliwa na Mungu, then, alilolipanga Mungu, binadamu hawezi kulipangua!, ndio maana kule nyuma Mungu aliwahi kufanya muujiza wa "Jiwe walilolikataa waashi likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!", na kuna mtu alielezwa kuwa "Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu, nitalijenga taifa langu!", kwa Tanzania hapa tulipofika, tuna mwamba mmoja tuu, "Mwamba wa Kaskazini!"
Lazima awe!, na asipokuwa basi itakuwa Mungu hakumpangia!, hivyo atakayekuwa rais wetu, 2015, ni yule tuu Mungu aliyempangia!.

Wasalaam!.

Pasco.

Ahsante
 
Unajikanganya Pasco, wewe hela ya lowassa ushawahi kula au bado? Unasifia mtu wako muhimu kuwepo kwenye timu yenye hela, then eti hujawahi kuila hiyo hela, how?

Usitufanye watoto kaka!!

Mkuu;
Anadhani hatufanyi records za comments & mishauo yake.

Watu ni Vichwa Vya Panzi kwelikweli. Na hapo umemkaba sharubu vizuri sana.
Bravo!
 
Mkuu;
Anadhani hatufanyi records za comments & mishauo yake.

Watu ni Vichwa Vya Panzi kwelikweli. Na hapo umemkaba sharubu vizuri sana.
Bravo!
Mkuu Tuntemeke, kati uhuru zote, uhuru ambao ni absolute free, hauna mipaka, wewe unakuwa uko huru kufikiri chochote na hakuna mwenye uwezo wa kuuingilia uhuru huo wa kufikiri only if kama fikra hizo you can just keep them for yourself, ukiishaamua kusema, unageuka ni freedom of expression, uko huru kusema chochote, ili mradi uwe na uhakika wa unachokisema vinginevyo ni kuropoka!, na hii ndio faida ya jf, uko huru to express you thoughts hata kama ni uongo, utunzi, uzushi, ngojera etc, be free!.

enjoy your freedom in jf, seam chochote kuifurahisha nafsi yako!.

Pasco
 
Mkuu Tuntemeke, kati uhuru zote, uhuru ambao ni absolute free, hauna mipaka, wewe unakuwa uko huru kufikiri chochote na hakuna mwenye uwezo wa kuuingilia uhuru huo wa kufikiri only if kama fikra hizo you can just keep them for yourself, ukiishaamua kusema, unageuka ni freedom of expression, uko huru kusema chochote, ili mradi uwe na uhakika wa unachokisema vinginevyo ni kuropoka!, na hii ndio faida ya jf, uko huru to express you thoughts hata kama ni uongo, utunzi, uzushi, ngojera etc, be free!.

enjoy your freedom in jf, seam chochote kuifurahisha nafsi yako!.

Pasco

Na hapo ndipo ninapotofautiana na wengi(you including).

Yaan hata matusi,uchochezi na ushenziushenzi vyote sawa tu?(kisa ni JF). Jirekebisheni ndugu. Mtavuna mnayoyapanda.

Zaid nikwamba, umeruka kiunzi cha hoja ya jamaa niliyem'quote. Kuwa na kumbukumbu na muungwana tafadhali. Wewe ni mwandamizi wa Lowasa,unamtumikia (reference zmetolewa hapo juu) ila unajaribu kutusadifisha kwamba sio kweli(nadhani baada yakuona ni mwizi na tunampigia mayowe).


Over!
 
Mkuu Shark, ukweli ndio huo!, ni kweli team EL sio ina hela, bali in a mihela!, na mimi lazima nikiri, Pasco ni masikini wa kutupa!, ila kuna aina mbalimbali za masikini, na fedha sio kila kitu!, mimi ni ile type ya masikini tunaitwa masikini jeuri!, yaani ninakaa na jirani tajiri, jirani yangu anatupa mkate jalalani nje kwangu, huku mimi sina chakula kabisa!, kuliko kuuokota huo mkate, ni bora nitalala na njaa yangu. Sisi ndio tunaitwa masikini jeuri!, nilikuwa na access na Mkapa, ningemtumia kutoka, lakini sijamtumia!, nina access na JK, simtumii, naendelea na maisha yangu kwenye lindi la umasikini wa kutupa uliotopea, but I'm happy kuliko kuwa ombaomba tajiri!.

Watu wa aina yangu tupo, tena tupo wengi tuu!.

Pasco.

dalili zaonyesha wazi kuwa EL ataishia kupita tu pale kweny mtaa wa magogoni lakini hataingia na kuweka himaya yake. hii itampa presha kubwa na ndio itakuwa ni kuelekea alikoelekea yule jamaa wa ZAMBIA.
SWALI kwa nyie wapambe wake atakapoelekea hukooo alikoelekea jamaa wa ZAMBIA je NA nyie kutokana na mapenzi yenu kwake je mtamfuata huko atakoelekea baada ya kuangukia PUAAAA?
 
Back
Top Bottom