mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
ICU chumba kigumu hicho .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee EL ataishi kuwaona wengi wakitangulia...Nape kama ana akili , huu ni wakati wake muafaka kukimbia na kwenda kumuomba msamaha Edward; asipofanya hivyo laana ya Lowassa itamuandama hadi kaburini!!!
Mzee EL tusamee sana... Tulikukosea sana!Wakuu,
Kwa taarifa za uhakika, Waziri Mkuu wa zamani, Ndg. Edward Lowassa ni mgonjwa na amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
...
Ndiyo huyu ndio...aliyewafadhili kina Msukumaa baadaye wakamtukana matusi ya nguoni,aliyesababisha wagonjwa wenye Betri moyoni waJitutumue kupiga pushup majukwaani,Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi InshaAllah..
Dah English ya wapiRais wa mioyo ya watanzania na kipenzi cha Watanzania Mungu akujalie afya na Maisha marefu .
If anyone Dislike or hate Lowasa am officially declaring humanity is doomed and faked up!
cku hiz amekuwa tikiti majiKwani kigogo bado hajatoa updates za ICU[emoji87][emoji87]
Mungu amwekee ulinzi.Wakuu,
Kwa taarifa za uhakika, Waziri Mkuu wa zamani, Ndg. Edward Lowassa ni mgonjwa na amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbil...
are you sure!Alishindwa na mgombea wa CCM John Magufuli.
Akiwa wazir mkuu, ndege ya uchumi ilipaa.Rais wa mioyo ya watanzania na kipenzi cha Watanzania Mungu akujalie afya na Maisha marefu .
If anyone Dislike or hate Lowasa am officially declaring humanity is doomed and faked up!
Kiingilish ni janga pamoja na ujuaji mwingi hapa JFRais wa mioyo ya watanzania na kipenzi cha Watanzania Mungu akujalie afya na Maisha marefu .
If anyone Dislike or hate Lowasa am officially declaring humanity is doomed and faked up!