Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AminaMwenyezi Mungu amjaalie uponyaji, Ili arejee katika hali yake ya kawaida na kuendelea na shughuli zake.
Augue pole, na apone haraka.Kiingilish ni janga pamoja na ujuaji mwingi hapa JF
Unamsema Maghayo aliyeua kiingilishAugue pole, na apone haraka.
===
Hivi Mheshimiwa Lowassa alihudhuria kumbukumbu ya Moses Mnauye? Alialikwa?
ICU huwezi kupiga picha.Hakuna kapicha mkuu kakusindikizia uzi?
Unataka kusema nini?Huyu mzee watu walimtabiria atakufa kipindi cha Uchaguzi 2015, ila mungu si fundi maiko akawatanguliza wao kabla yake.
Yeye Lowasa aliwaomba radhi lini Watanzania waliomwamini na kumpigia kura zaidi ya million 6?Nape kama ana akili , huu ni wakati wake muafaka kukimbia na kwenda kumuomba msamaha Edward; asipofanya hivyo laana ya Lowassa itamuandama hadi kaburini!!!
Naunga mkono hojaNamtakia apone haraka Mzee Huyu mwenye busara ZAKE
USSR
Ndani ya CCM hakuna msafiNape kama ana akili , huu ni wakati wake muafaka kukimbia na kwenda kumuomba msamaha Edward; asipofanya hivyo laana ya Lowassa itamuandama hadi kaburini!!!
CCM kwa unafiki hamjambo! Wewe si ndio ulikua unamtukana huyu Mzee? Sasa hivi shetani amegeuka kuwa malaikaNamtakia apone haraka Mzee Huyu mwenye busara ZAKE
USSR
Acha ukuda wewe kwan wazungu wanaongeaje kiswahili?If anyone Dislike or hate Lowassa? Very poor english grammar! Ungesema If anyone dislikes or hates Lowassa.....Kwa nini usingeamua kuandika tu kwa kiswahili? Hapa tuna kazi na lugha ya Malkia jamani, ukute hapo una digrii na upupu wote huu! Dah!
Nape kama ana akili , huu ni wakati wake muafaka kukimbia na kwenda kumuomba msamaha Edward; asipofanya hivyo laana ya Lowassa itamuandama hadi kaburini!!!
Lowasa kazeeka umri umeenda hakuna maswali hapo maradhi kawaida tu.Lakini hawa watu umri wao inabidi uangaliwe vizuri