Edward Ngoyai Lowassa anaumwa, alazwa ICU Muhimbili

Edward Ngoyai Lowassa anaumwa, alazwa ICU Muhimbili

English is just a language not a measure of intelligence! Watu kama kina Messi hadi leo kiingereza kinawapiga chenga wanaongea broken but look at where they are!

Na wala hakuna anayewacheka kwanini hawajui kiingereza ila akikosea Samatta wabongo tunamcheka kuwa hajui! Lakini wengi wa wanaomcheka wamemzidi nini na kiingereza chao!

Wabongo tuache kujiona tuna akili kisa tunajua sana kiingereza wakati wengi wa wanaokijua hakuna kinachowasaidia! Kwa mtazamo kama wako bado tuna safari ndefu sana asee!
Angeandika Kiswahili tu. Halafu Messi MuArgentina lugha yake ya kimataifa na ya kusomea ni kihispaniola. Kiingereza ni lugha ya ziada kwake. Anavyoongea sawa kabisa.

Sisi watanzania lugha yetu ya kimataifa na kitaaluma ni Kiingereza. Ikikupiga chenga hakika ni tatizo. Ifanyie kazi badala ya kukimbilia kujitetea kisiasa.
 
Ni kati wazee wapole wenye unyenyekevu na busara, mzee ameubwa na roho ya ustahamilivu mkubwa. Ugua pole mzee wetu, pona na urudi katika majukumu yako ya kawaida - Mungu atakusaidia.
 
Rubbish! Kwa hiyo ndiyo unatuletea ujinga humu! Kama hujui English kaa pembeni, siyo kuja kuleta aibu humu kwenye jukwaa la wasomi, la sivyo kubali tukurekebishe siyo na wewe unavimba na kujitutumua na upupu wako wa St. Kayumba hapa.
Shida yako unafikir elim ni kukariri madaftar. Waliokuprogram ndio walikukosea ckulaum. Mnasoma kwa nguvu ili muwe kama wazungu mnasahau hakuna jamii imewahi kuendelea kwa kutegemea tamaduni za jamii nyingine chief. Mi mbona nakifahamu kifaransa ndio nimesoma sasa.
 
Angeandika Kiswahili tu. Halafu Messi MuArgentina lugha yake ya kimataifa na ya kusomea ni kihispaniola. Kiingereza ni lugha ya ziada kwake. Anavyoongea sawa kabisa.

Sisi watanzania lugha yetu ya kimataifa na kitaaluma ni Kiingereza. Ikikupiga chenga hakika ni tatizo. Ifanyie kazi badala ya kukimbilia kujitetea kisiasa.
Kwahiyo mkuu unataka kusema shule zote nchini zinafundisha kwa kiingereza? Kwa exposure ya Messi utasema hadi leo asijue kiingereza kweli?

Wakati huko Argentina aliondoka muda mrefu! Wakati Samatta amesoma shule za Kayumba akaingia moja kwa moja kwenye mpira hicho kiingereza angekijulia wapi?

My point is usijivunie kujua kiingereza wakati hakuna kilichokusaidia! Na wala siyo kwamba kujua kiingereza ndiyo kipimo cha akili ya mtu hilo halipo wala tusijidanganye!

Haya tuache mifano ya watu binafsi tuje kwenye nchi. Angalia China kule kiingereza hawakijua na hawakipendi ila angalia level yao ya maendeleo na lugha yao inavyoheshimika!

Halafu angalia nchi kama Kenya ambao wanajivunia kujua kiingereza! Yaani wanakihusudu kiasi kwamba wanatubeza watanzania na kuona kama wote hatukijui lakini wako wapi!
 
Wewe ndo mswahili hasa mana wazungu hao unaowasema hawakopeshani kwenye ujinga. Umerekebishwa the hard way so Jifunze. JF inapaswa kutusaidia. Ndo Elimu yenyewe. Kwanini achanganye lugha. Na hiyo Ni Basic english. He she it likes. Eats. Usw.
Mm ni mswahili ndio. Na hao waingereza inaonekana huwajui unajua tu lugha yao. Pia hakuna ufahari wowote wa kujua hiyo lugha kama haina mchango kwenye kipato chako au kazi yako. Nyenyenye My english is perfect, arousing pity.
 
Kama kuna ukweli wa taarifa hii, maombi yetu kwa Mungu apone na kurejea kuwa na afya njema.

Familia yake ikiwa na watoto, wajukuu na umma kwa jumla unahitaji awepo ili kutoa inputs na experience yao ili kwenye ujenzi wa taifa hili.
Let him get well soon!
 
Kwahiyo mkuu unataka kusema shule zote nchini zinafundisha kwa kiingereza? Kwa exposure ya Messi utasema hadi leo asijue kiingereza kweli?

Wakati huko Argentina aliondoka muda mrefu! Wakati Samatta amesoma shule za Kayumba akaingia moja kwa moja kwenye mpira hicho kiingereza angekijulia wapi?

My point is usijivunie kujua kiingereza wakati hakuna kilichokusaidia! Na wala siyo kwamba kujua kiingereza ndiyo kipimo cha akili ya mtu hilo halipo wala tusijidanganye!

Haya tuache mifano ya watu binafsi tuje kwenye nchi. Angalia China kule kiingereza hawakijua na hawakipendi ila angalia level yao ya maendeleo na lugha yao inavyoheshimika!

Halafu angalia nchi kama Kenya ambao wanajivunia kujua kiingereza! Yaani wanakihusudu kiasi kwamba wanatubeza watanzania na kuona kama wote hatukijui lakini wako wapi!
Mkuu hakuna ubaya wowote katika kuijua lugha kwa ufasaha esp linapokuja suala la lugha ambayo inatumika duniani kote.

Shida ni hawa wanaokosoa bila staha wengine sababu wanaaamini kiingereza ni alama ya uwezo wa juu wa kufikiri na asiyejua hiyo lugha hajaelimika.
 
Mkuu hakuna ubaya wowote katika kuijua lugha kwa ufasaha esp linapokuja suala la lugha ambayo inatumika duniani kote.

Shida ni hawa wanaokosoa bila staha wengine sababu wanaaamini kiingereza ni alama ya uwezo wa juu wa kufikiri na asiyejua hiyo lugha hajaelimika.
Na hiki ndicho hasa mkuu kilichofanya niandike shida siyo kujua kiingereza ofcourse kujua kiingereza kwa ufasaha ni vizuri

Lakini shida inakuja pale anayekijua kwa ufasaha anapojiona ana akili kumzidi asiyekijua vizuri ndipo wanapokosea hapo wabongo

Kilichofanya niwajibu ni namna walivyomkosoa aliyekosea kwa kumuona kama vile hana akili na wao ndiyo wanazo zaidi yake
 
Angeandika Kiswahili tu. Halafu Messi MuArgentina lugha yake ya kimataifa na ya kusomea ni kihispaniola. Kiingereza ni lugha ya ziada kwake. Anavyoongea sawa kabisa.

Sisi watanzania lugha yetu ya kimataifa na kitaaluma ni Kiingereza. Ikikupiga chenga hakika ni tatizo. Ifanyie kazi badala ya kukimbilia kujitetea kisiasa.
Lugha yetu ni kingereza lakini tunayo mazoezi ya kuongea ya kutosha?. Nigeria mtoto akitoka darasani anaendelea kuongea kingereza ndani ya basi na akifika nyumbani ni kingereza.

Sisi hatuko hivyo, ukitoka shuleni kwenye kingereza unakutana na kiswahili njia nzima mpaka nyumbani.
 
Rais wa mioyo ya watanzania na kipenzi cha Watanzania Mungu akujalie afya na Maisha marefu .

If anyone Dislike or hate Lowasa am officially declaring humanity is doomed and faked up!
Komenti hii ni yako kweli bro?

Lowassa tulimpenda tu pale alipounga mkono juhudi zetu kumtoa mkoloni mweusi.

Lakini ukweli mchungu Lowassa hafai hata kuwa huru uraiani.

Samia ni Matunda ya Mkwere na Lowasa...how?

Tukumbuke JK aliingia madarakani kwa figisu la kundi hatari la mtandao wa JK Lowasa akiwa injinia mkuu.

Sasa Samia ni rimoti ya mkwere ambaye nguvu hiyo alisaidiwa na Lowassa.

Tumwambie mtu ukweli akiwa hai na tuuseme akiwa amekufa pia.

Lowassa ni miongoni mwa watu hatari Tz pamoja na Rostam..
 
Kwa hiyo kumbe hata kama Rais angekuwa Lowassa stilll makamu angekuja kuwa Rais.
 
Back
Top Bottom