Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Mungu amsaidie apate "haja" kama wengine.... inshallah..!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana tofauti.Mungu ampe nafuu mzee wa watu, ni mzee mstaarabu sana tofauti na yule cheupe wa kutabasamu.
Watu million sita ni wengi Kiasi Kwamba laana yake haiwezi kusambaa kwa Wote na ikawadhuru!! Lakini huyu Nape ni mmoja peke yake aliyekuwa anamrushia Edward matusi ya nguoni!!! Alitakiwa ampe Heshima ile ile anayompa Mwandosya!!!Yeye Lowasa aliwaomba radhi lini Watanzania waliomwamini na kumpigia kura zaidi ya million 6?
Laana imuandame yeye(Manvi) km Nani!?Nape kama ana akili , huu ni wakati wake muafaka kukimbia na kwenda kumuomba msamaha Edward; asipofanya hivyo laana ya Lowassa itamuandama hadi kaburini!!!
Nami ninasubiri kwa hamu Sana JK aende. Unafiki mtupuJK akamjulie hali....alimdhuru mwenzake kwa hila na dhuluma kwenye nafasi ya uongozi wa tanzania
Longido na Monduli njia moja.Homeboy
Mnafiki Sana yule jamaa,EL atakua hataki hata kumsikia.Nami ninasubiri kwa hamu Sana JK aende. Unafiki mtupu
Yawapate hao wanaovumishaTetesi zinazosambaa mtaani kwa sasa hazifai. Uchimvi.