JUNI 2017The Citizen (Dar es Salaam)Edward Ngoyai Lowasa
Mchapa kazi mwenye akili zilizozidi
Mhmm tusubiri
AminaEdward Ngoyai Lowasa
Mchapa kazi mwenye akili zilizozidi
KabisaMwanasiasa pekee aliye kipa nguvu Chama cha Upinzani Chadema kwenye uchaguzi Mkuu mwaka 2015 na kuzoa viti vya ubunge vingi haijawi kutokea kweye siasa za vyama vingi.
lakini pia kupata kura za Urais zaidi ya 6millioni haijawahi kutokea!
Mkuu nini tena. Au Ngoyai katangulia Sayuni?Edward Ngoyai Lowassa (amezaliwa Agosti 26, 1953) ni mwanasiasa Mtanzania ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2005 hadi 2008, akihudumu chini ya Rais Jakaya Kikwete. Lowassa ameingia katika rekodi ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kulazimishwa kujiuzulu kutokana na kashfa ya utapeli katika historia ya Tanzania.View attachment 2478209
Na ulivyokuwa na sifa sijui unataka kusema au kutabiri nini illa mazwazwa wenzio wa jamii forum lazima uwakamate tuEdward Ngoyai Lowassa (amezaliwa Agosti 26, 1953) ni mwanasiasa Mtanzania ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2005 hadi 2008, akihudumu chini ya Rais Jakaya Kikwete. Lowassa ameingia katika rekodi ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kulazimishwa kujiuzulu kutokana na kashfa ya utapeli katika historia ya Tanzania.View attachment 2478209
Ilibadilisha chochote kuhusu huyo dhaifu?Huyu alitolewa kafara kwa ajili ya kulinda maslahi ya wakubwa, kelele za wananchi zilizidi.
Na kama angeendelea kuwepo basi ingeonekana raisi wa wakati huo ni dhaifu
JUNI 2017The Citizen (Dar es Salaam)
Na Louis Columbia
Dar es Salaam โ Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana alihojiwa kwa saa nne na polisi kwa tuhuma za kutoa matamshi ya uchochezi.
Lowassa, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, alihojiwa katika makao makuu ya polisi jijini Dar es Salaam kabla ya kuachiliwa kwa dhamana ya polisi.
Nini hiyo๐๐๐Hivi na ikitokea msoga crew bila aibu watahudhuria?