Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Kuna nini tena? Mbona kama..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nini tena? Mbona kama..
hata magua aliyeaminika kua hafagi naye alifia madarakaniHuyu ndo alitaka urais 2015 sijui kama angetoboa nchi ingemuua
Nchi ngumu sanahata magua aliyeaminika kua hafagi naye alifia madarakani
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Enheeee huyo aliyepata urais 2015,na MA PUSH UP yake, yupo waaapiiii?Huyu ndo alitaka urais 2015 sijui kama angetoboa nchi ingemuua
Ndio tusema BURIANI?Edward Ngoyai Lowassa (amezaliwa Agosti 26, 1953) ni mwanasiasa Mtanzania ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2005 hadi 2008, akihudumu chini ya Rais Jakaya Kikwete. Lowassa ameingia katika rekodi ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kulazimishwa kujiuzulu kutokana na kashfa ya utapeli katika historia ya Tanzania.View attachment 2478209
Ndo nasema huyu lowasa angetoboa?Enheeee huyo aliyepata urais 2015,na MA PUSH UP yake, yupo waaapiiii?
Haoni huyo samaki bunju.hata magua aliyeaminika kua hafagi naye alifia madarakani
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
🤔Brooo!
Watu wazuri huwa "hawafi"Hivi na ikitokea msoga crew bila aibu watahudhuria?
Vipi aliyetoboa bado yupo!!???Huyu ndo alitaka urais 2015 sijui kama angetoboa nchi ingemuua