WalaaaniweUnajua wanasiasa wa bongo au unawasikia? Nafikiri bado.
Watakuja na maua kabisa na watakua wanafuta na vimachozi vya kuact
Je aliyetaka alitoboa? Vijana kuweni na Akili basi. Kitu unaongea as if una bima ya maishaHuyu ndo alitaka urais 2015 sijui kama angetoboa nchi ingemuua
The sun is going down to ChioluView attachment 2478242
A lion sleeps tonight
Umesahau rekodi yake kubwa ya kuvinunua vyama vyote vya upinzani vikijiita ukawa?Edward Ngoyai Lowassa (amezaliwa Agosti 26, 1953) ni mwanasiasa Mtanzania ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2005 hadi 2008, akihudumu chini ya Rais Jakaya Kikwete. Lowassa ameingia katika rekodi ya kuwa Waziri Mkuu wa kwanza kulazimishwa kujiuzulu kutokana na kashfa ya utapeli katika historia ya Tanzania.View attachment 2478209
Hii tuhuma ilishawahi kuthibitishwa?Umesahau rekodi yake kubwa ya kuvinunua vyama vyote vya upinzani vikijiita ukawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani jambo Si lilifanyika hadharani?Hii tuhuma ilishawahi kuthibitishwa?
Umesahau rekodi yake kubwa ya kuvinunua vyama vyote vya upinzani vikijiita ukawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi na ikitokea msoga crew bila aibu watahudhuria?