Pengine ni maono kwamba mwendo ameumaliza salama na amepolekewa mahali pemaHuyu mzee from no where almost a month ago niliota anafuraha ya ajabu. Hadi leo sijui why niote mtu ambaye sina ukaribu nae.
Namtakia afya njema mzee Lowasa.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
DuuuuuVipi kafariki?
Kwamba limelia au?Code ngumu au tupate picha View attachment 2478238
Siasa tu hiyo hakuna togetherness hapoBoys 2 men together foreverView attachment 2479798
Sorry, you might have some cognitive impairmentLakini haujajibu swali, Fedha za kujengea Shule za Kata zilitokea wapi?
inatakiwa tumuombe Bwana Mwamposa aanzishe maji ya uelewa kuna watu niwagumu kuelewa unaweza muelekeza mpaka umvue nguo lakini wapi!! [emoji1787]Sorry, you might have some cognitive impairment
Huna uelewa
AiseeHuyu mzee from no where almost a month ago niliota anafuraha ya ajabu. Hadi leo sijui why niote mtu ambaye sina ukaribu nae.
Namtakia afya njema mzee Lowasa.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Sorry, you might have some cognitive impairment
Huna uelewa
Na hakuwa na kelele za nyuki au chawa. Pia akiwa waziri wa maji enzi za mkapa alifanya maamuzi magumu dhidi ya wamisriMm nilishituka kidogo nilipo ona hili jina Nika SEMA nini tena......
Atakumbukwa Kwa kutuletea na kusimamia kujengwa shule za kata nchi nzima na chuo kikuu dodoma...Mzee wa maamuzi magumu..
Sema kupitia vyama vya upinzani na sio chamaMwanasiasa pekee aliye kipa nguvu Chama cha Upinzani Chadema kwenye uchaguzi Mkuu mwaka 2015 na kuzoa viti vya ubunge na udiwaani kwa wingi haijawi kutokea kweye siasa za vyama vingi.
lakini pia ndiye mwanasiasa pekee aliye pata kura za Urais zaidi ya 6millioni kupitia chma cha upinzani!!! haijawahi kutokea!
Brother unaelewa nini ukisikia mtu anajiita "chawa ?" Sifa ya chawa inajulikana, ukiona mtu anajiita chawa ....Jifunze kufanya mijadala ya JF.. Jibu hoja kwa hoja na sio viroja
Unaposema #"kila mtanzania"# usisahau kuwa na ndugu Mshana Jr ni Mtanzania. Neno "kila" linapoteza maana ikiwa kuna hata Mtanzania mmoja hafahamu kuhusu hiliSasa sijiona hoja ya kujibu kutoka kwako kwasababu mwaka 2015 akina mbowe na wenzake waliuza vyama vyao mbele ya macho ya Kila mtanzania
Physically au Spiritually?. Code kavu Sana hiiI meant spiritually.. Kwamba kuna vitu vinaweza kuwatokea pamoja
Nb: comment haihusiani na chawa wala nyuki. Ni mifano tu[emoji23]Brother unaelewa nini ukisikia mtu anajiita "chawa ?" Sifa ya chawa inajulikana, ukiona mtu anajiita chawa ....
Nb: comment haihusiani na chawa wala nyuki. Ni mifano tu