Edward Ngoyai Lowassa

Edward Ngoyai Lowassa

Mtanzania pekee mwenye roho ngumu ya kutaka madaraka kwa nguvu ya kipekee alieweza kufanya kampeni hadi akamaliza akiwa chama pinzani akashindwa alafu akaja rudi chama chake sasa
 
Boys 2 men together forever
kikwete%20na%20lowasa.jpg
 
Sorry, you might have some cognitive impairment

Huna uelewa

Mkishindwa hoja mnaishia kutukana because it’s easy lakini bado unashindwa kujibu au kusema fedha za kujengea Shule za Kata na Zahanati zilitoka wapi?

Kila mtu apewe Sifa alizostahili na siyo kuiba kazi za wengine na kusema ni za kwenu!
 
Mm nilishituka kidogo nilipo ona hili jina Nika SEMA nini tena......

Atakumbukwa Kwa kutuletea na kusimamia kujengwa shule za kata nchi nzima na chuo kikuu dodoma...Mzee wa maamuzi magumu..
Na hakuwa na kelele za nyuki au chawa. Pia akiwa waziri wa maji enzi za mkapa alifanya maamuzi magumu dhidi ya wamisri
 
Mwanasiasa pekee aliye kipa nguvu Chama cha Upinzani Chadema kwenye uchaguzi Mkuu mwaka 2015 na kuzoa viti vya ubunge na udiwaani kwa wingi haijawi kutokea kweye siasa za vyama vingi.

lakini pia ndiye mwanasiasa pekee aliye pata kura za Urais zaidi ya 6millioni kupitia chma cha upinzani!!! haijawahi kutokea!
Sema kupitia vyama vya upinzani na sio chama
 
Brother unaelewa nini ukisikia mtu anajiita "chawa ?" Sifa ya chawa inajulikana, ukiona mtu anajiita chawa ....

Nb: comment haihusiani na chawa wala nyuki. Ni mifano tu
Nb: comment haihusiani na chawa wala nyuki. Ni mifano tu[emoji23]
 
Back
Top Bottom