Edward Snowden: Jasusi wa Kimarekani alivyopania kumdhalilisha Obama

Wamarekani waanja sana unaweza kuta huyo Snowden wamemtuma wenyewe ....avujshe taarifa alafu wanasikilizia reaction
 
Daah milioni 450 tsh kwa mwezi afu still unakuwa msaliti kwelii watu wana roho ngumu
 
Me nataka kujua hizo siri alovujisha snowden zimewasaidia nini maadui wa marekani na au ni hatua gani zimechukuliwa dhidi ya marekani au mbwembwe tu na kelele urongo nyiingi tu!?
 
mkuu uzi wako una ukwel mkubwa ndani yake marekani kwa propaganda wanatisha sana il kwa wa2 wasiojua masuala ya propaganda kwa undani wataona kama uzi wako unazingua ila huo ndo ukweli mkuu
 
Mkuu the bold kwanza habari za asubuhi..!!!
Japo uzi na comment yako ni ya mda kidogo labda niulize kaswali kidogo kwamba una uhakika gani kwamba hata hao watu 3000 walikufa kwenye hiyo milipuko??? Je tukisema hata hizo namba zimetengenezwa utatukatalia???
 
oya wana msi quote uzi wote.....tunaotumia simu mnatuzingua bwana........
 
siasa ni mbaya sana mwanasiasa anaweza fanya chochote ambacho kitampa credit kwa wapigakura wake hata ikigharimu maisha ya watu kwake poaa tu. atapandika chuki za kibaguzi kupiia kabila, kanda, dini na hata rangi. US kaiumba mwenyewe sept 11 ililengo lake litimie. mi naamini kabisa Laden bado yuko hai na still anakula salary ya CIA ambao ni mwajiri wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…