Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Kwa sasa huwa naangalia Star TV vipindi 2 tu; Medani za Siasa na BBC ambacho Star TV wanakipitisha tu kwenye kituo chao.
Star TV kwisha kabisa haina vipindi vyenye mvuto zaidi ya Medani za Siasa cha Edwin Odemba aka Chief Odemba
Huyu nguli wa maswali ambayo ni multi task, multi discipline ni sawa na tembo aliyejificha sebuleni. Uwezo wake ni mkubwa kama yule Mganda wa VOA aliyestaafu Shaka Ssali enzi zake.
Kuendelea kutumikia STAR TV kwa namna yeyote ni sawa na kuchimbia shekeli ndani ya udongo (Mathayo 25:14-30)
Ushauri:-
(1) Tafuta tajiri mwenye hela kisha ingia mkataba uikodishe Star TV kutoka kwa Diallo.
Au
(2) Ondoka Star TV nenda kwenye TV Station kubwa ukakuze brand yako